Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 2,117
- 5,240
- Thread starter
- #1,081
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SABINI NA NNE
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SABINI NA TATU:Naam wakati Higgno anaendelea kuandaa chakula, yaani anaingia na kutoka ndani, Soraya alikuwa kimya akifungua sms ya pili iliyotumwa na Talib Mwarabu kwa mmiliki wa simu ile ambayo yeye Soraya alimuona nayo mmoja kati ya watu sita waliomteka, “mjomba anataka kuwaambia polisi, hebu mtishieni” ndivyo ilivyosomeka sms ya pili, ukweli Soraya akazidi kushangazwa na jambo lile, hapo Soraya akaona bora aanze kusoma sms za mwanzo na ile kuifungua moja alijikuta anahisi kuzimia, maana hakuamini alicho kiona na kukisoma, kwamba kilikuwa ni kwaajili yake……… ENDELEA NAYO ……..
Na alie andika ni binamu yake Talib, japo hakuwa na uhakika kama kweli ni yeye, “musifanye kosa, mukisha pata fedha hakikisheni munamuua kabisa huyo kenge” ndivyo ilivyosomeka hiyo sms ambayo mtumaji alikuwa ni Talib Mwarabu, kumbuka simu hizi za kizamani usinge weza kuona sms zilizo tumwa na mwenye simu mpaka uingie kwenye sent box, Higgno akiwa anendelea na maandalizi yake ya chakula, mara afuate kachumbari, mara maji ya kunawa na vitu kama hivyo, huku Sraya alikuwa busy anaendelea kupekuwa sms kwenye ile simu, “tayari nimeshampa juice huyu mpambe wake, ana harisha kishenzi, Soraya anakuja peke yake sasa kazi kwenu” hapo ndipo Soraya alipozidi kupata uhakika kuwa aliepanga mpango ule ni binamu yake Talib, “haya sasa achana na hiyo simu uanze kula” alisema Higgno akiwa amesimama mbele ya Soraya na kikombe cha maji kwaajili ya kumsaidia kunawa, Soraya alishtuka kidogo na kuondoa sehemu ya sms kisha akamtazama Higgno, “kwani nakula peke yangu, si tuna kula wote?” aliuliza Soraya, huku akionyesha kukataa kunawa, “hiyo ni sahani yako mimi naandaa ya kwangu, alisema Higgno akiwa ameganda na kikombe cha maji mkononi, “kaongeze humu humu tule wote” alisema Soraya huku anaanza tena kupekuwa simu ile, safari hii ikiwa ni kwenye kitabu cha majina, “hoo! nasikiaga kuwa nyie huwa kila mtu anakula kwenye sahani yake” alisema Higgno huku anaweka maji pembeni na kuingia ndani.
Soraya aliitafuta namba iliyo andikwa Talib Mwarabu, na alipoipata akaiview na kuitazama namba ile halafu akaifungua simu yake na kuanza kutafuta namba kwenye phone book, mpaka alipoipata iliyoandikwa kaka Talib, akaiview kama ile ya Talib Mwarabu, na hapo akajikuta anameza mate kwa uoga, “ina maana huyu alikuwa ni Talib, na alikuwa anampango wa kuniuwa kabisa, halafu anasema amesha chukuwa funguo ya wapi na wanataka kufanya nini?” alijiuliza Soraya, ambae kiukweli hakutaka kumjulisha Higgno juu ya swala hilo, “halafu anajifanya eti hoo Higgno ndie aliepanga mpango wa kuniteka, sijui lengo lake niachane nae, sasa amenowa na kesho nina waambia baba na mama” aliwaza Soraya kimoyo moyo, ambae kiukweli ni kama alianza kujawa na furaha na matumaini mapya.
Naam Higgno akiwa mwenye shauku na moyo uliojaa furaha ya kuwa na Soraya kwa mara nyingine pale nyumbani kwake, alitumia dakika tano kuongeza chakula kwenye sahani kisha akachukuwa maji, “haya sasa tayari nawa tuanze kula uone nilivyo pika vizuri, alisema Higgno kwa sauti yake ya upole yenye dalili ya furaha, “sisi wenzako nyumbani anaanzaga kunawa baba” alisema Soraya, ambae bado alikuwa amevalia baibui lake, huku anachukuwa kikombe cha maji mkononi kwa Higgno na kuanza kumnawisha huku wote wawili wanacheka kwa furaha.
Naam wawili hawa walikuwa na wakati mzuri sana usiku ule, maana walikula kwa fauraha huku wakati mwingine wakijaribu kulishana na kufanyia michezo midogo midogo ya kimahaba, “eti! Higgno hii simu ya wale majambazi si naweza kuondoka nayo?” aliuliza Soraya wakati wanaendelea kula, “ichukuwe tu! lakini uwe makini, maana hatuwajui wenyewe” alisema Higgno akionyesha kuwa hakuwahi hata kuhangaika na ile simu.*******
Mzee Frank na mke wake hawa kuweza kupata usingizi mapema, usiku wa siku ile muda mwingi walitumia kuwaza na kupanga jinsi kesho itakavyo kuwa kule ugenini, tena kwenye nyumba ya familia ya kitajiri, “hivi amesha kutajia jina la huyo mchumba wake?” aliuliza mama Higgno, wakiwa kitandani tayari wamesha andaa nguo za kuvaa kesho, “bado haja nitajia, pengine atanitajia hiyo kesho” alijibu Mzee Frank kwa sauti ya sinto fahamu, “sasa kwanini wamesema twende sisi peke yetu na Higgno, baada ya kwenda na huyo Kijana?” aliuliza mama Higgno akionyesha mashaka, “mh! labda ni utaratibu wao, halafu kumbuka sasa yule binti amekuwa kama rafiki yetu katika familia” alijibu mzee Frank, na wakati huo simu ya mama Higgno ikaita na alipoitazama akaona ni yule nurse wa hospital ya mkoa, aliemuachia jukumu la mzee Komba, mh! kuna nini tena mbona anapiga usiku” aliuliza mama Higgno huku ana pokea simu, “naona umeshtuka simu ya usiku usiku” alisikika nurse mara baada ya mama Higgno kupokea simu, “mwenzangu umenitisha kweli, lakini vipi kuna usalama kweli?” aliuliza mama Higgno kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kuwa anahofu kubwa, “salama kabisa wala hakuna tatizo, sema tu lile ombi limekubaliwa, kesho asubuhi mgonjwa atarudishwa zahanati ya Luhila kama tulivyo omba mgonjwa akawe karibu na ndugu zake ili aweze kuhudumiwa vizuri” alisema yule nurse, “hooo sasa tunatakiwa kufanya nini?” aliuliza mama Higgno, “hapo nadhani tusubiri kesho, taarifa ipelekwe Luhila zahanati watume Nurse wa kuja kumchukuwa au atoke huku mjini kama hakutokuwa na gari la kuja huko basi itabidi tukodi Taxi” alieleza Nurse na wakakubaliana wasubiri hiyo kesho na kwamba watajulishana kinacho endelea, lakini walikubaliana kuwa wawajulishe wanafamilia ya mzee Komba, “kwahiyo inaonyesha kuwa mke wake hakwenda tena jioni hii” alisema mzee Frank, akitilia shaka mahudhurio ya shemeji yake huyo huko Hospital “sidhani kama alienda, maana hizi taarifa si angekuwa amepewa yeye” alisema mama Higgno, kisha wakaendelea kujadiri hili na lile mpaka walipopitiwa na usingizi.*******
Mahamud akiwa na mke wake kitandani nao pia walikuwa wanaendelea kujadili hili na lile juu ya ugeni wa kesho, “hivi mume wangu, una lmaana gani kuwaalika hapa nyumbani, usije ukafanya kitu mbacho kitatuondolea hesma yetu mbele za watu?” alisema mama Soraya ambae sasa alikuwa kama kigeu geu, “hebu nikuambie kitu, tuna takiwa kuwapokea vizuri sana, kwasababu mpaka sasa hatujuwi kama ni kweli au sio kweli, na kama ni kweli kuna dalili tutaziona tukipata na ushaidi wa Talib, basi moja kwa moja tuna wakamata kiulaini kabisa” alisema Mahamud, “lakini kumbuka kuwa kuna kashfa ya kuwa tuna zuia Soraya asiolewe kwasababu unatembea nae, na tukikosea kidogo katika hili lazima itaonekana zile tuhuma ni za kweli” alitoa tahadhari mama Soraya, “hilo nalizingatia, ndio maana kesho nitakuwa makini kwenye maongezi na kumsoma huyo kijana jinsi atakavyo kuwa anajibu maswali yangu, na pia tutamsoma na huyo baba yake tapeli” alisema Mahamud, “ni kweli, lakini baba Soraya, tuna takiwa tuwe makini sana kwa maneno ya Talib, mtu mwenyewe….” kabla mama Soraya hajamaliza kuongea mara mlango wa chumba chao ukagongwa, ni mara chache sana kutokea jambo kama hilo, yaani kugongewa mlango wakati wameingia kulala, “nani wewe na unashida gani?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya kiamri amri, huku akizuwia hofu ndani yake, maana kumbuka Soraya aliondoka jioni ile na walikuwa ni kama wamekosana Lugha, japo aliondoka akiwa na kijifuraha fulani, “samahani mama ni mimi Subira, nilikuwa nauliza kuhusu funguo za mlango wa nyuma, sijui mulichukuwa mmoja wapo maana naona upo mmoja na sio miwili kama ilivyo kawaida” alisikika Subira mfanyakazi wa Soraya, yaani yaya, hapo mama Soraya akamtazama mume wake.... ENDELEA NAYO
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SABINI NA TANO
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SABINI NA NNE: “nani wewe na unashida gani?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya kiamri amri, huku akizuwia hofu ndani yake, maana kumbuka Soraya aliondoka jioni ile na walikuwa ni kama wamekosana Lugha, japo aliondoka akiwa na kijifuraha fulani, “samahani mama ni mimi Subira, nilikuwa nauliza kuhusu funguo za mlango wa nyuma, sijui mulichukuwa mmoja wapo maana naona upo mmoja na sio miwili kama ilivyo kawaida” alisikika Subira mfanyakazi wa Soraya, yaani yaya, hapo mama Soraya akamtazama mume wake. mutaniwia radhi kwa ufupi huu, ni kutokana na kukosa muda wa kukaa chini kulikosababishwa na majukumu mbali mbali,…… ENDELEA ……..
ambae pia alikuwa anamtazama, wote wakashusha punzi ndefu ikionekana wote wawili walikuwa na hofu inayo fanana, na sasa walikuwa wameiondoa hawakujuwa kuwa swala la funguo ndio zito zaidi, “atakuwa Soraya amechukuwa kwa dharula kama atarudi baadae” alijibu mama Soraya akionyesha kudharau swala lile la funguo, “haa! amenishtua, mimi sijui nilidhania kuna nini kimetokea” alisema mama Soraya, huku anapelaka mkono ikulu kwa mume wake na kugusa dudu ambayo ilikuwa imetulia kimya kabisa pasipo dalili ya kuhitaji mlo wa usiku, “mwenzio nilijuwa ni taarifa mbaya ya Soraya” alisema Mahamud huku anausikilizia mkono wa mke wake, ambao sasa ulianza kuchezea chezea dudu yake taratibu na kumfanya mzee huyu wakiarabu ajisikie msisimko fulani wenye kuleta raha “wewe kama mimi, nilidhania hivyo hivyo” alisema mama Soraya huku anaendela kuchezea dudu ya mume wake aliyoijaza mkononi, ambayo sasa ilikuwa imeanza kututumka na kuvimba kwa hasira, hapo mama Soraya akamtazama mume wake kwa macho malegevu, “yaani ukibipiwa tu unapokea” alisema mama Soraya kwa sauti ya kivivu pia, huku anasogeza mdomo wake kwenye mdomo wa mume wake, mkono wake akiuacha ukichezea dudu ya mume wake, “namba nyingine ukizibip hazibipiki” alisema Mahamud kwa sauti ya kivivu huku anacheka kivivu pia na kuudaka mdomo wa mke wake na kuanza kupeana juice, sambamba na vurugu za mikono yako, ambayo ilikosa utulivu na kutembea sehemu mbali mbali, kwenda kuwaamsha waliolala.*******
Tayari Soraya na Higgno walikuwa wamesha maliza kula, na sasa walikuwa ndani wakimulikwa kwa mwanga wa taa ile ya kuchaji wamejilaza kitandani kama waliyo lala jana, yaani Higgno, upande wa ndani na Soraya upande wa ukutani wamejifunika shuka moja, lakini leo miili yao ilikuwa inagusana bila hata mmoja kumuogopa mwenzie, japo Soraya alikuwa amelala na gauni lake jepesi huku Higgno akiwa amevalia bukuta yake, lakini bado kila mmoja aliweza kulihisi joto la mwenzie lililowaletea misisimko, hasa Higgno ambae dudu ilianza tutumuka na kusimama, akijitahidi kujizuia ili soraya asiione hali ile akihofia kuonekana kuwa ni mlafi wa kitumbua, na ukizingatia jana alitoka kula kitumbua hicho na kumjeruhi binti wa watu ambae aliondoka kwa mwendo wa kuchechemea.
Kimya kilitawala kwa dakika kadhaa, kabla Soraya hajaanza kucheka cheka kiaibu akionyesha kuwa kuna jambo anataka kusema lakini anaona aibu, “mwenzio mama alijuwa kama nimesha fanya, lakini hajanigombeza” alisema Soraya huku anajichekesha na kujiinua kidogo na kuenda kulaza kichwa chake kifuani kwa Higgno akificha uso wake, huku maziwa yake magumu yaki gusa mbavu za Higgno na kumzidishia munkali ambao ulifanya dudu izidi kusimama, “weeee! alijuwaje sasa?” aliuliza Higgno kwa mshangao, huku mkono wake ukichezea nywele ndefu za mschana huyu, “si vile nilivyo kuwa natembea, nilimdanganya nimejikwaa lakini wapi, badae akaniambia ukweli” alisema Soraya, akiwa anainuwa uso wake na kumtazama Higgno usoni macho yao yalipokutana Soraya akarudisha tena uso wake kifuani kwa Higgno, safari hii alipandisha mguu juu ya mapaja ya Higgno na kufanya eneo la paja lake kugusa dudu iliyosimama vyema, “pole sana kumbe uliumia sana, kumbe mpaka nyumbani ulifika unachechemea” alisema Higgno huku kwa sauti ya upole iliyojaa upendo, “ndiyo niliumia, lakini nimeshapona” alisema Soraya kwa sauti fulani ya kudeka, huku anachezesha paja lake lililo lala juu ya dudu ya Higgno iliyosimama na kufanya kama anaisugua sugua, sijui alikuwa na maana gani, ila alionekana kupendezwa na kile alichokifanya, “pole sana, mi nilijuwa isingeuma sana” alisema Higgno akitaka kuonyesha kuwa anamjali mpenzi wake, Soraya akajichekesha tena kwa sauti ile ile tamu iliyojaa aibu, safari hii akiupeleka mkono wake kwenye dudu ya Higgno na kulaza kiganja cha mkono wake kwenye dudu hiyo, iliyotutumuka na kuwa ngumu kama muhogo, “lakini mwenzio nimeshapona kama ukifanya taratibu sitoumia” ilikuwa ni sauti nyororo na nyembamba iliyojaa aibu ya Soraya, iliyoambatana na kijicheko chake cha aibu aibu, kuomba dudu sio kazi ndogo, hapo Higgno akajuwa kuwa Soraya alikuwa anahitaji dudu, Higgno nae alietabasamu kimoyo moyo, alipeleka mkono mmoja kwenye kiuno cha Soraya ambae sasa nusu ya mwili wake ulikuwa juu yake na kuanza kupapasa taratibu akizunguka kiuno toka nyuma kuja mbele, akifuata ule mstari unaoshuka kitumbuani na kumfanya Soraya ajisikie msisimko wa ajabu, “si univue gauni ili unichezee kama jana” alisema Soraya kwa sauti ile ile ya kivivu, hapo Higgno hakuzubaa, akalikamata gauni la Soraya kwa chini na kuanza kulipandisha juu huku Soraya akijiinua kidogo kumpa nafasi mpenzi wake huyu kulivua gauni hilo, “lakini tuanze kufanya kama jana, usije kuingiza yote” alisema Soraya wakati anavuliwa gauni, akimaanisha kuwa anataka wafanye kama jana, yaani vile alivyo jipimia.******
Saa kumi na moja na robo Mahamud akiwa ana jiandaa kuelekea ofisini, ambako alipanga akamalize kazi zake mapema ili aje nyumbani kwaajili ya ugeni, mara akamuona Talib anatoka kwenye nyumba anayokaa na kueleka getini kwa tahadhari kubwa sana, kisha akaongea jambo na mlinzi, halafu akatoka na kutokomea nje, “mh! au ndio anaanza upelelezi wake” alisema Mahamud huku anatabasamu, “vipi mwenzangu mbona kama una jitabasamulia mwenyewe” aliuliza mama Soraya, ambae alikuwa anatokea bafuni, “mpwa wako ana nifurahisha sana, yaani kumuambia aanze upelelezi ameanza mara moja” alisema Mahamud huku anacheka cheka, “mh! umeona nae asubuhi hii?” aliuliza mama Soraya nae akicheka kama mume wake alivyocheka, “nime muona anatoka, unadhani anaeleka wapi mapema hii, lazima atakuwa anenda kufuatilia habari za yule kijana” alisema Mahamud ambae alionyesha kuanza kumuamini sana Talib, lakini ikawa tofauti kwa mke wake, ambae alionekana kutulia ghafla, “hivi mume wangu, ulishajaribu kumchunguza Talib tabia zake toka alipoamua kubadilika?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kumtilia mashaka Talib, “uchunguzi wa nini wakati anaonekana wazi kuwa amebadilika, na anasimamia vyema biashara zake?” aliuliza mzee Mahamud, akionyesha kupingana na mawazo ya mke wake, “lakini baba Soraya kuna umuhimu wa kumchunguza Talib ili tujiridhishe kama kweli ameacha matumizi ya bangi na hiyo biashara kama ipo” alisema mama Soraya ambae alikuwa anafahamu fika kuwa Talib bado anavuta bangi, “unajuwa mama Soraya kuna kitu unashindwa kuelewa, baada ya kumfuatiia Soraya kama kweli analala kwa Laylah au kwa huyo kijana wewe unamfikiria vibaya Talib ambae amekupa habari muhimu za huyo kijana na baba yake Tapeli” alisema Mahamud, akionyesha kuwa anaamini kuwa Talib alikuwa anasema ukweli juu ya kijana mpole ambae walisha mgundua jina kuwa anaitwa Higgno.**********
Naam mama Hilda aliamka saa mbili, kutokana na jana kulewa sana ulanzi, alimkuta mwanae Hilda akiwa amesha maliza kuchemsha viazi na uji, na sasa alikuwa amemtengea mwanae mdogo, yani yule mtoto wa Talib, “naona leo umeweza kutembea” alisema mama Hilda, huku anaeleka kwenye mtungi wa maji ulipo pale nje na kuchota kidogo ili anawe uso, “yule mzee Kiboko, yaani alichonifanya sina hamu” alisema Hilda, ambae alikuwa amekaa na mwanae aliekuwa anafakamia viazi uji bila sukari, na sasa anajiandalia mwenyewe viazi na uji, “yule kiboko, yaani bila kuwa king’ang’anizi mimi ningempa tena, lakini kwa hali ile mh! mwenzio siwezi” alisema mama Hilda, ambae hakukumbuka habari za mgonjwa, “kweli yule mzee mchawi, yayni uchi unawaka moto lakini cha ajabu bado nilikuwa najisikia kutamani tena” alisema Hilda bila kujali mwanae mdogo yupo pale pale, “bibi kwani babu yupo wapi?” aliuliza mjukuu wa mzee Komba na hapo ndio kama mtoto aliwakumbusha, “halafu kweli mama, hivi baba tuta muambia nini?” aliuliza Hilda akikumbuka kuwa baba yake alisikia walivyo kuwa wanapeana habari ya mabudi, kwa hiyo inamaanisha amesha juwa kuwa wametembea na babu huyo kwahiyo wamechangia dudu, “haaaa! atajiju, yeye kilicho mtuma aje atusikilize ni kitu gani” alisema mama Hilda kwa dharau, huku anamaliza kunawa uso na kuingia ndani, Hilda akatafakari kidogo kisha akaachia kimsonyo cha shauri zao, “wao si ndio mke na mume, watajuwa wenyewe” alijisemea Hilda huku anaendelea kula viazi na uji wake ambao haukuwa na tonye la sukari, ni kawaida yao hata sukari aliionja kipindi wanakaa kwa kina Higgno.
Naam wakiwa wanaendelea kunywa uji, mara akaja nurse wa zahanati ya kijiji akiwa ameongozana na mwenyekiti wa kijiji, “hodi jamani naona tumewahi muda wa chai huu” alisema mwenyekiti kwa sauti ya ucheshi, japo wa kulazimisha, maana alishaidharau sana familia hii kwa mambo waliyo kuwa wanayafanya, hasa kitendo kile cha kumsingizia kijana Higgno kuwa anatemba na mschana huyu maarufu kama tembele la uwani, “karibuni” alijibu Hilda kwa sauti kavu, huku kiroho kikimuenda mbio, akidhania kuwa ameletewa taarifa mbaya juu ya baba yake.
Baada ya kusalimiana na kuitwa kwa mama Hilda, nurse akaanza kueleza ujumbe wake, “nimepigiwa simu toka hospital ya mkoa, kuwa kutokana na gharama za kwenda mjini kila siku wameona wamwamishe mgonjwa aje huku, ili muweze kumpatia huduma kwa ukaribu zaidi, hivyo ameshapewa uhamisho na hapo wanasubiri gari la halmashauri ambalo linaleta dawa za shule ili lije na mgonjwa, kwahiyo saa sita mchana muje Hospital atakuwa ameshaletwa” alisema Nurse ambae alitegemea kuwa huo ujumbe ungepokelewa vyema na wanafamilia hawa, lakini cha ajabu ilikuwa tofauti kabisa na walivyo tegemea, “sawa” ilikuwa ni sauti ya kinyonge ya mama Hilda, hata wawili hawa, yaani nurse na mwenyekiti walipoondoka, waliwasindikiza kwa macho makali kama vile wamewaletea taarifa ya wito wa polisi.
“wanakimbelembele, nani kawaambia sisi hatuwezi kwenda huko mjini, kwani wao si ndio kazi yao ya kumhudumia” alisema mama Hilda kwa sauti kavu iliyo jaa chuki, huku anarudi ndani ambako alivaa upande wa pili wa kitenge chakavu, kisha akaenda kwa mzee Ngonyani ambae mara nyingi mashamba yake yapo makemba ambako, kuna dada wa mzee Komba, ambae ameolewa huko, lengo nikumuagiza kwa dada huyo wa mzee Komba akamueleze kuwa kaka yake anaumwa na kwamba aje amuuguze kaka yake.*******
“Laylah hivi simulizi mzuri kama hii TEMBELE LA UWANI bongo movie wanashindwa kutengenezea filamu mzuri wakauza? "hata hawashindwi tena kama hii hata haihitaji gharama kubwa hiiivyo sijui hata wanakwama wapi" alijibu Laylah " basi hebu tusikilize maoni ya watu wa JamiiForums wao wanasemaje kuhusu hili, na kama watataka tuwaandikie simulizi kwaajili ya move mzuri zaidi ya hii ni maelewano tu" alisema Soraya kisha akauliza tena baada ya ukimya mfupi "Layla hivi siku ile ulivyoumwa tumbo ulikunywa nini kwa Talib?” aliuliza Soraya, akiwa na Laylah, wakiwa njiani ndani ya gari wanaelekea mjini, wakitokea shambani kwa Higgno, Laylah akacheka kidogo, “nilikunywa Juice, umejuwaje?” aliuliza Laylah, aliekuwa anaendesha gari, “alikutegea ili usinipeleke shamba, ili nitekwe halafu wapewe hela kisha waniuwe” alisema Soraya ambae alikuwa anajihisi kiuchovu fulani ambacho hakujuwa kama ni cha usingizi wa kuchelewa kulala usiku au ni uchovu wa kurudia mara nne tendo la ndoa, huku mara zote akifika panapo takiwa na kumfanya azidi kufurahia dudu ya mpenzi wake Higgno, pasipo kujutia kupoteza uschana wake, “sijakuelewa Soraya, sasa juice ya Talib na kutwekwa kwako kuna husiana nini?” aliuliza Laylah, akionyesha kuwa hakuwa anamuelewa boss wake Soraya, “mh! umesha nielewa sema haujaamini ninacho kisema, ni hivi, Talib ndie alie panga mpango wa kuniteka mimi, ndio maana akakupa juice, sijui aliweka nini, lengo lake uharishe ili niende peke yangu ili wenzake waniteke” alieleza Soraya, “weee! unasema kweli ni Talib ndie aliewatuma watu wakuteke?” aliuliza Layalah kwa mshangao, sio kwamba waniteke tu! yeye aliwaambia kuwa wakishapata fedha waniuwe kabisa” alisema Soraya kwa sauti yenye masikitiko, “jamani Talib, kweli bangi zinamtuma vibaya, ndio maana wakajifanya eti fedha asiwapelekee mtu yoyote zaidi ya Talib, kumbe mpango ulikuwa ni wao wote” alisema Layalah, kwa sauti ya ung’amazi, “halafu eti ana waambia wakina baba kuwa Higgno ndio aliwatuma watu waniteke” alisema Soraya, huku anaingiza mkono kwenye mkoba wake na kuipapasa ile simu ya wale watekaji wake, ambayo iliokotwa na Higgno, alipoigusa akaiacha na kutoa mkono wake ndani ya mkoba, “mshenzi sana Talib, sasa akikuuwa atapata nini?” aliuliza Laylah, ambae sasa alikuwa anapunguza mwendo kuingia barabara kuu iendayo mikoa ya kusini mwa Tanzania, “hata mimi sijui, na jana ametuma sms anasema tayari amesha chukuwa funguo, na kwamba wasifanya makosa kama waliyo yafanya kule shamba” alisema Soraya, ambae pia hakuonyesha kama anatambua maana ya funguo ile, “kwahiyo anataka wavamie nyumbani kwenu?” aliuliza Laylah kwa mshangao uliochanganyika na uoga, “pengine wanataka kuvamia ndani, si unakumbuka zamani alikuwa anaiba vitu vya ndani anaenda kuuza?” alisema Soraya akimkumbusha Laylah, matukio ya nyuma ya Talib, “sasa wewe umeamua nini?” aliuliza Laylah, wakati huo alikuwa amesha kanyaga mafuta mengi kueleka mjini, ……… ITAENDELEA...
SEHEMU YA SABINI NA NNE
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SABINI NA TATU:Naam wakati Higgno anaendelea kuandaa chakula, yaani anaingia na kutoka ndani, Soraya alikuwa kimya akifungua sms ya pili iliyotumwa na Talib Mwarabu kwa mmiliki wa simu ile ambayo yeye Soraya alimuona nayo mmoja kati ya watu sita waliomteka, “mjomba anataka kuwaambia polisi, hebu mtishieni” ndivyo ilivyosomeka sms ya pili, ukweli Soraya akazidi kushangazwa na jambo lile, hapo Soraya akaona bora aanze kusoma sms za mwanzo na ile kuifungua moja alijikuta anahisi kuzimia, maana hakuamini alicho kiona na kukisoma, kwamba kilikuwa ni kwaajili yake……… ENDELEA NAYO ……..
Na alie andika ni binamu yake Talib, japo hakuwa na uhakika kama kweli ni yeye, “musifanye kosa, mukisha pata fedha hakikisheni munamuua kabisa huyo kenge” ndivyo ilivyosomeka hiyo sms ambayo mtumaji alikuwa ni Talib Mwarabu, kumbuka simu hizi za kizamani usinge weza kuona sms zilizo tumwa na mwenye simu mpaka uingie kwenye sent box, Higgno akiwa anendelea na maandalizi yake ya chakula, mara afuate kachumbari, mara maji ya kunawa na vitu kama hivyo, huku Sraya alikuwa busy anaendelea kupekuwa sms kwenye ile simu, “tayari nimeshampa juice huyu mpambe wake, ana harisha kishenzi, Soraya anakuja peke yake sasa kazi kwenu” hapo ndipo Soraya alipozidi kupata uhakika kuwa aliepanga mpango ule ni binamu yake Talib, “haya sasa achana na hiyo simu uanze kula” alisema Higgno akiwa amesimama mbele ya Soraya na kikombe cha maji kwaajili ya kumsaidia kunawa, Soraya alishtuka kidogo na kuondoa sehemu ya sms kisha akamtazama Higgno, “kwani nakula peke yangu, si tuna kula wote?” aliuliza Soraya, huku akionyesha kukataa kunawa, “hiyo ni sahani yako mimi naandaa ya kwangu, alisema Higgno akiwa ameganda na kikombe cha maji mkononi, “kaongeze humu humu tule wote” alisema Soraya huku anaanza tena kupekuwa simu ile, safari hii ikiwa ni kwenye kitabu cha majina, “hoo! nasikiaga kuwa nyie huwa kila mtu anakula kwenye sahani yake” alisema Higgno huku anaweka maji pembeni na kuingia ndani.
Soraya aliitafuta namba iliyo andikwa Talib Mwarabu, na alipoipata akaiview na kuitazama namba ile halafu akaifungua simu yake na kuanza kutafuta namba kwenye phone book, mpaka alipoipata iliyoandikwa kaka Talib, akaiview kama ile ya Talib Mwarabu, na hapo akajikuta anameza mate kwa uoga, “ina maana huyu alikuwa ni Talib, na alikuwa anampango wa kuniuwa kabisa, halafu anasema amesha chukuwa funguo ya wapi na wanataka kufanya nini?” alijiuliza Soraya, ambae kiukweli hakutaka kumjulisha Higgno juu ya swala hilo, “halafu anajifanya eti hoo Higgno ndie aliepanga mpango wa kuniteka, sijui lengo lake niachane nae, sasa amenowa na kesho nina waambia baba na mama” aliwaza Soraya kimoyo moyo, ambae kiukweli ni kama alianza kujawa na furaha na matumaini mapya.
Naam Higgno akiwa mwenye shauku na moyo uliojaa furaha ya kuwa na Soraya kwa mara nyingine pale nyumbani kwake, alitumia dakika tano kuongeza chakula kwenye sahani kisha akachukuwa maji, “haya sasa tayari nawa tuanze kula uone nilivyo pika vizuri, alisema Higgno kwa sauti yake ya upole yenye dalili ya furaha, “sisi wenzako nyumbani anaanzaga kunawa baba” alisema Soraya, ambae bado alikuwa amevalia baibui lake, huku anachukuwa kikombe cha maji mkononi kwa Higgno na kuanza kumnawisha huku wote wawili wanacheka kwa furaha.
Naam wawili hawa walikuwa na wakati mzuri sana usiku ule, maana walikula kwa fauraha huku wakati mwingine wakijaribu kulishana na kufanyia michezo midogo midogo ya kimahaba, “eti! Higgno hii simu ya wale majambazi si naweza kuondoka nayo?” aliuliza Soraya wakati wanaendelea kula, “ichukuwe tu! lakini uwe makini, maana hatuwajui wenyewe” alisema Higgno akionyesha kuwa hakuwahi hata kuhangaika na ile simu.*******
Mzee Frank na mke wake hawa kuweza kupata usingizi mapema, usiku wa siku ile muda mwingi walitumia kuwaza na kupanga jinsi kesho itakavyo kuwa kule ugenini, tena kwenye nyumba ya familia ya kitajiri, “hivi amesha kutajia jina la huyo mchumba wake?” aliuliza mama Higgno, wakiwa kitandani tayari wamesha andaa nguo za kuvaa kesho, “bado haja nitajia, pengine atanitajia hiyo kesho” alijibu Mzee Frank kwa sauti ya sinto fahamu, “sasa kwanini wamesema twende sisi peke yetu na Higgno, baada ya kwenda na huyo Kijana?” aliuliza mama Higgno akionyesha mashaka, “mh! labda ni utaratibu wao, halafu kumbuka sasa yule binti amekuwa kama rafiki yetu katika familia” alijibu mzee Frank, na wakati huo simu ya mama Higgno ikaita na alipoitazama akaona ni yule nurse wa hospital ya mkoa, aliemuachia jukumu la mzee Komba, mh! kuna nini tena mbona anapiga usiku” aliuliza mama Higgno huku ana pokea simu, “naona umeshtuka simu ya usiku usiku” alisikika nurse mara baada ya mama Higgno kupokea simu, “mwenzangu umenitisha kweli, lakini vipi kuna usalama kweli?” aliuliza mama Higgno kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kuwa anahofu kubwa, “salama kabisa wala hakuna tatizo, sema tu lile ombi limekubaliwa, kesho asubuhi mgonjwa atarudishwa zahanati ya Luhila kama tulivyo omba mgonjwa akawe karibu na ndugu zake ili aweze kuhudumiwa vizuri” alisema yule nurse, “hooo sasa tunatakiwa kufanya nini?” aliuliza mama Higgno, “hapo nadhani tusubiri kesho, taarifa ipelekwe Luhila zahanati watume Nurse wa kuja kumchukuwa au atoke huku mjini kama hakutokuwa na gari la kuja huko basi itabidi tukodi Taxi” alieleza Nurse na wakakubaliana wasubiri hiyo kesho na kwamba watajulishana kinacho endelea, lakini walikubaliana kuwa wawajulishe wanafamilia ya mzee Komba, “kwahiyo inaonyesha kuwa mke wake hakwenda tena jioni hii” alisema mzee Frank, akitilia shaka mahudhurio ya shemeji yake huyo huko Hospital “sidhani kama alienda, maana hizi taarifa si angekuwa amepewa yeye” alisema mama Higgno, kisha wakaendelea kujadiri hili na lile mpaka walipopitiwa na usingizi.*******
Mahamud akiwa na mke wake kitandani nao pia walikuwa wanaendelea kujadili hili na lile juu ya ugeni wa kesho, “hivi mume wangu, una lmaana gani kuwaalika hapa nyumbani, usije ukafanya kitu mbacho kitatuondolea hesma yetu mbele za watu?” alisema mama Soraya ambae sasa alikuwa kama kigeu geu, “hebu nikuambie kitu, tuna takiwa kuwapokea vizuri sana, kwasababu mpaka sasa hatujuwi kama ni kweli au sio kweli, na kama ni kweli kuna dalili tutaziona tukipata na ushaidi wa Talib, basi moja kwa moja tuna wakamata kiulaini kabisa” alisema Mahamud, “lakini kumbuka kuwa kuna kashfa ya kuwa tuna zuia Soraya asiolewe kwasababu unatembea nae, na tukikosea kidogo katika hili lazima itaonekana zile tuhuma ni za kweli” alitoa tahadhari mama Soraya, “hilo nalizingatia, ndio maana kesho nitakuwa makini kwenye maongezi na kumsoma huyo kijana jinsi atakavyo kuwa anajibu maswali yangu, na pia tutamsoma na huyo baba yake tapeli” alisema Mahamud, “ni kweli, lakini baba Soraya, tuna takiwa tuwe makini sana kwa maneno ya Talib, mtu mwenyewe….” kabla mama Soraya hajamaliza kuongea mara mlango wa chumba chao ukagongwa, ni mara chache sana kutokea jambo kama hilo, yaani kugongewa mlango wakati wameingia kulala, “nani wewe na unashida gani?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya kiamri amri, huku akizuwia hofu ndani yake, maana kumbuka Soraya aliondoka jioni ile na walikuwa ni kama wamekosana Lugha, japo aliondoka akiwa na kijifuraha fulani, “samahani mama ni mimi Subira, nilikuwa nauliza kuhusu funguo za mlango wa nyuma, sijui mulichukuwa mmoja wapo maana naona upo mmoja na sio miwili kama ilivyo kawaida” alisikika Subira mfanyakazi wa Soraya, yaani yaya, hapo mama Soraya akamtazama mume wake.... ENDELEA NAYO
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA SABINI NA TANO
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA SABINI NA NNE: “nani wewe na unashida gani?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ya kiamri amri, huku akizuwia hofu ndani yake, maana kumbuka Soraya aliondoka jioni ile na walikuwa ni kama wamekosana Lugha, japo aliondoka akiwa na kijifuraha fulani, “samahani mama ni mimi Subira, nilikuwa nauliza kuhusu funguo za mlango wa nyuma, sijui mulichukuwa mmoja wapo maana naona upo mmoja na sio miwili kama ilivyo kawaida” alisikika Subira mfanyakazi wa Soraya, yaani yaya, hapo mama Soraya akamtazama mume wake. mutaniwia radhi kwa ufupi huu, ni kutokana na kukosa muda wa kukaa chini kulikosababishwa na majukumu mbali mbali,…… ENDELEA ……..
ambae pia alikuwa anamtazama, wote wakashusha punzi ndefu ikionekana wote wawili walikuwa na hofu inayo fanana, na sasa walikuwa wameiondoa hawakujuwa kuwa swala la funguo ndio zito zaidi, “atakuwa Soraya amechukuwa kwa dharula kama atarudi baadae” alijibu mama Soraya akionyesha kudharau swala lile la funguo, “haa! amenishtua, mimi sijui nilidhania kuna nini kimetokea” alisema mama Soraya, huku anapelaka mkono ikulu kwa mume wake na kugusa dudu ambayo ilikuwa imetulia kimya kabisa pasipo dalili ya kuhitaji mlo wa usiku, “mwenzio nilijuwa ni taarifa mbaya ya Soraya” alisema Mahamud huku anausikilizia mkono wa mke wake, ambao sasa ulianza kuchezea chezea dudu yake taratibu na kumfanya mzee huyu wakiarabu ajisikie msisimko fulani wenye kuleta raha “wewe kama mimi, nilidhania hivyo hivyo” alisema mama Soraya huku anaendela kuchezea dudu ya mume wake aliyoijaza mkononi, ambayo sasa ilikuwa imeanza kututumka na kuvimba kwa hasira, hapo mama Soraya akamtazama mume wake kwa macho malegevu, “yaani ukibipiwa tu unapokea” alisema mama Soraya kwa sauti ya kivivu pia, huku anasogeza mdomo wake kwenye mdomo wa mume wake, mkono wake akiuacha ukichezea dudu ya mume wake, “namba nyingine ukizibip hazibipiki” alisema Mahamud kwa sauti ya kivivu huku anacheka kivivu pia na kuudaka mdomo wa mke wake na kuanza kupeana juice, sambamba na vurugu za mikono yako, ambayo ilikosa utulivu na kutembea sehemu mbali mbali, kwenda kuwaamsha waliolala.*******
Tayari Soraya na Higgno walikuwa wamesha maliza kula, na sasa walikuwa ndani wakimulikwa kwa mwanga wa taa ile ya kuchaji wamejilaza kitandani kama waliyo lala jana, yaani Higgno, upande wa ndani na Soraya upande wa ukutani wamejifunika shuka moja, lakini leo miili yao ilikuwa inagusana bila hata mmoja kumuogopa mwenzie, japo Soraya alikuwa amelala na gauni lake jepesi huku Higgno akiwa amevalia bukuta yake, lakini bado kila mmoja aliweza kulihisi joto la mwenzie lililowaletea misisimko, hasa Higgno ambae dudu ilianza tutumuka na kusimama, akijitahidi kujizuia ili soraya asiione hali ile akihofia kuonekana kuwa ni mlafi wa kitumbua, na ukizingatia jana alitoka kula kitumbua hicho na kumjeruhi binti wa watu ambae aliondoka kwa mwendo wa kuchechemea.
Kimya kilitawala kwa dakika kadhaa, kabla Soraya hajaanza kucheka cheka kiaibu akionyesha kuwa kuna jambo anataka kusema lakini anaona aibu, “mwenzio mama alijuwa kama nimesha fanya, lakini hajanigombeza” alisema Soraya huku anajichekesha na kujiinua kidogo na kuenda kulaza kichwa chake kifuani kwa Higgno akificha uso wake, huku maziwa yake magumu yaki gusa mbavu za Higgno na kumzidishia munkali ambao ulifanya dudu izidi kusimama, “weeee! alijuwaje sasa?” aliuliza Higgno kwa mshangao, huku mkono wake ukichezea nywele ndefu za mschana huyu, “si vile nilivyo kuwa natembea, nilimdanganya nimejikwaa lakini wapi, badae akaniambia ukweli” alisema Soraya, akiwa anainuwa uso wake na kumtazama Higgno usoni macho yao yalipokutana Soraya akarudisha tena uso wake kifuani kwa Higgno, safari hii alipandisha mguu juu ya mapaja ya Higgno na kufanya eneo la paja lake kugusa dudu iliyosimama vyema, “pole sana kumbe uliumia sana, kumbe mpaka nyumbani ulifika unachechemea” alisema Higgno huku kwa sauti ya upole iliyojaa upendo, “ndiyo niliumia, lakini nimeshapona” alisema Soraya kwa sauti fulani ya kudeka, huku anachezesha paja lake lililo lala juu ya dudu ya Higgno iliyosimama na kufanya kama anaisugua sugua, sijui alikuwa na maana gani, ila alionekana kupendezwa na kile alichokifanya, “pole sana, mi nilijuwa isingeuma sana” alisema Higgno akitaka kuonyesha kuwa anamjali mpenzi wake, Soraya akajichekesha tena kwa sauti ile ile tamu iliyojaa aibu, safari hii akiupeleka mkono wake kwenye dudu ya Higgno na kulaza kiganja cha mkono wake kwenye dudu hiyo, iliyotutumuka na kuwa ngumu kama muhogo, “lakini mwenzio nimeshapona kama ukifanya taratibu sitoumia” ilikuwa ni sauti nyororo na nyembamba iliyojaa aibu ya Soraya, iliyoambatana na kijicheko chake cha aibu aibu, kuomba dudu sio kazi ndogo, hapo Higgno akajuwa kuwa Soraya alikuwa anahitaji dudu, Higgno nae alietabasamu kimoyo moyo, alipeleka mkono mmoja kwenye kiuno cha Soraya ambae sasa nusu ya mwili wake ulikuwa juu yake na kuanza kupapasa taratibu akizunguka kiuno toka nyuma kuja mbele, akifuata ule mstari unaoshuka kitumbuani na kumfanya Soraya ajisikie msisimko wa ajabu, “si univue gauni ili unichezee kama jana” alisema Soraya kwa sauti ile ile ya kivivu, hapo Higgno hakuzubaa, akalikamata gauni la Soraya kwa chini na kuanza kulipandisha juu huku Soraya akijiinua kidogo kumpa nafasi mpenzi wake huyu kulivua gauni hilo, “lakini tuanze kufanya kama jana, usije kuingiza yote” alisema Soraya wakati anavuliwa gauni, akimaanisha kuwa anataka wafanye kama jana, yaani vile alivyo jipimia.******
Saa kumi na moja na robo Mahamud akiwa ana jiandaa kuelekea ofisini, ambako alipanga akamalize kazi zake mapema ili aje nyumbani kwaajili ya ugeni, mara akamuona Talib anatoka kwenye nyumba anayokaa na kueleka getini kwa tahadhari kubwa sana, kisha akaongea jambo na mlinzi, halafu akatoka na kutokomea nje, “mh! au ndio anaanza upelelezi wake” alisema Mahamud huku anatabasamu, “vipi mwenzangu mbona kama una jitabasamulia mwenyewe” aliuliza mama Soraya, ambae alikuwa anatokea bafuni, “mpwa wako ana nifurahisha sana, yaani kumuambia aanze upelelezi ameanza mara moja” alisema Mahamud huku anacheka cheka, “mh! umeona nae asubuhi hii?” aliuliza mama Soraya nae akicheka kama mume wake alivyocheka, “nime muona anatoka, unadhani anaeleka wapi mapema hii, lazima atakuwa anenda kufuatilia habari za yule kijana” alisema Mahamud ambae alionyesha kuanza kumuamini sana Talib, lakini ikawa tofauti kwa mke wake, ambae alionekana kutulia ghafla, “hivi mume wangu, ulishajaribu kumchunguza Talib tabia zake toka alipoamua kubadilika?” aliuliza mama Soraya kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kumtilia mashaka Talib, “uchunguzi wa nini wakati anaonekana wazi kuwa amebadilika, na anasimamia vyema biashara zake?” aliuliza mzee Mahamud, akionyesha kupingana na mawazo ya mke wake, “lakini baba Soraya kuna umuhimu wa kumchunguza Talib ili tujiridhishe kama kweli ameacha matumizi ya bangi na hiyo biashara kama ipo” alisema mama Soraya ambae alikuwa anafahamu fika kuwa Talib bado anavuta bangi, “unajuwa mama Soraya kuna kitu unashindwa kuelewa, baada ya kumfuatiia Soraya kama kweli analala kwa Laylah au kwa huyo kijana wewe unamfikiria vibaya Talib ambae amekupa habari muhimu za huyo kijana na baba yake Tapeli” alisema Mahamud, akionyesha kuwa anaamini kuwa Talib alikuwa anasema ukweli juu ya kijana mpole ambae walisha mgundua jina kuwa anaitwa Higgno.**********
Naam mama Hilda aliamka saa mbili, kutokana na jana kulewa sana ulanzi, alimkuta mwanae Hilda akiwa amesha maliza kuchemsha viazi na uji, na sasa alikuwa amemtengea mwanae mdogo, yani yule mtoto wa Talib, “naona leo umeweza kutembea” alisema mama Hilda, huku anaeleka kwenye mtungi wa maji ulipo pale nje na kuchota kidogo ili anawe uso, “yule mzee Kiboko, yaani alichonifanya sina hamu” alisema Hilda, ambae alikuwa amekaa na mwanae aliekuwa anafakamia viazi uji bila sukari, na sasa anajiandalia mwenyewe viazi na uji, “yule kiboko, yaani bila kuwa king’ang’anizi mimi ningempa tena, lakini kwa hali ile mh! mwenzio siwezi” alisema mama Hilda, ambae hakukumbuka habari za mgonjwa, “kweli yule mzee mchawi, yayni uchi unawaka moto lakini cha ajabu bado nilikuwa najisikia kutamani tena” alisema Hilda bila kujali mwanae mdogo yupo pale pale, “bibi kwani babu yupo wapi?” aliuliza mjukuu wa mzee Komba na hapo ndio kama mtoto aliwakumbusha, “halafu kweli mama, hivi baba tuta muambia nini?” aliuliza Hilda akikumbuka kuwa baba yake alisikia walivyo kuwa wanapeana habari ya mabudi, kwa hiyo inamaanisha amesha juwa kuwa wametembea na babu huyo kwahiyo wamechangia dudu, “haaaa! atajiju, yeye kilicho mtuma aje atusikilize ni kitu gani” alisema mama Hilda kwa dharau, huku anamaliza kunawa uso na kuingia ndani, Hilda akatafakari kidogo kisha akaachia kimsonyo cha shauri zao, “wao si ndio mke na mume, watajuwa wenyewe” alijisemea Hilda huku anaendelea kula viazi na uji wake ambao haukuwa na tonye la sukari, ni kawaida yao hata sukari aliionja kipindi wanakaa kwa kina Higgno.
Naam wakiwa wanaendelea kunywa uji, mara akaja nurse wa zahanati ya kijiji akiwa ameongozana na mwenyekiti wa kijiji, “hodi jamani naona tumewahi muda wa chai huu” alisema mwenyekiti kwa sauti ya ucheshi, japo wa kulazimisha, maana alishaidharau sana familia hii kwa mambo waliyo kuwa wanayafanya, hasa kitendo kile cha kumsingizia kijana Higgno kuwa anatemba na mschana huyu maarufu kama tembele la uwani, “karibuni” alijibu Hilda kwa sauti kavu, huku kiroho kikimuenda mbio, akidhania kuwa ameletewa taarifa mbaya juu ya baba yake.
Baada ya kusalimiana na kuitwa kwa mama Hilda, nurse akaanza kueleza ujumbe wake, “nimepigiwa simu toka hospital ya mkoa, kuwa kutokana na gharama za kwenda mjini kila siku wameona wamwamishe mgonjwa aje huku, ili muweze kumpatia huduma kwa ukaribu zaidi, hivyo ameshapewa uhamisho na hapo wanasubiri gari la halmashauri ambalo linaleta dawa za shule ili lije na mgonjwa, kwahiyo saa sita mchana muje Hospital atakuwa ameshaletwa” alisema Nurse ambae alitegemea kuwa huo ujumbe ungepokelewa vyema na wanafamilia hawa, lakini cha ajabu ilikuwa tofauti kabisa na walivyo tegemea, “sawa” ilikuwa ni sauti ya kinyonge ya mama Hilda, hata wawili hawa, yaani nurse na mwenyekiti walipoondoka, waliwasindikiza kwa macho makali kama vile wamewaletea taarifa ya wito wa polisi.
“wanakimbelembele, nani kawaambia sisi hatuwezi kwenda huko mjini, kwani wao si ndio kazi yao ya kumhudumia” alisema mama Hilda kwa sauti kavu iliyo jaa chuki, huku anarudi ndani ambako alivaa upande wa pili wa kitenge chakavu, kisha akaenda kwa mzee Ngonyani ambae mara nyingi mashamba yake yapo makemba ambako, kuna dada wa mzee Komba, ambae ameolewa huko, lengo nikumuagiza kwa dada huyo wa mzee Komba akamueleze kuwa kaka yake anaumwa na kwamba aje amuuguze kaka yake.*******
“Laylah hivi simulizi mzuri kama hii TEMBELE LA UWANI bongo movie wanashindwa kutengenezea filamu mzuri wakauza? "hata hawashindwi tena kama hii hata haihitaji gharama kubwa hiiivyo sijui hata wanakwama wapi" alijibu Laylah " basi hebu tusikilize maoni ya watu wa JamiiForums wao wanasemaje kuhusu hili, na kama watataka tuwaandikie simulizi kwaajili ya move mzuri zaidi ya hii ni maelewano tu" alisema Soraya kisha akauliza tena baada ya ukimya mfupi "Layla hivi siku ile ulivyoumwa tumbo ulikunywa nini kwa Talib?” aliuliza Soraya, akiwa na Laylah, wakiwa njiani ndani ya gari wanaelekea mjini, wakitokea shambani kwa Higgno, Laylah akacheka kidogo, “nilikunywa Juice, umejuwaje?” aliuliza Laylah, aliekuwa anaendesha gari, “alikutegea ili usinipeleke shamba, ili nitekwe halafu wapewe hela kisha waniuwe” alisema Soraya ambae alikuwa anajihisi kiuchovu fulani ambacho hakujuwa kama ni cha usingizi wa kuchelewa kulala usiku au ni uchovu wa kurudia mara nne tendo la ndoa, huku mara zote akifika panapo takiwa na kumfanya azidi kufurahia dudu ya mpenzi wake Higgno, pasipo kujutia kupoteza uschana wake, “sijakuelewa Soraya, sasa juice ya Talib na kutwekwa kwako kuna husiana nini?” aliuliza Laylah, akionyesha kuwa hakuwa anamuelewa boss wake Soraya, “mh! umesha nielewa sema haujaamini ninacho kisema, ni hivi, Talib ndie alie panga mpango wa kuniteka mimi, ndio maana akakupa juice, sijui aliweka nini, lengo lake uharishe ili niende peke yangu ili wenzake waniteke” alieleza Soraya, “weee! unasema kweli ni Talib ndie aliewatuma watu wakuteke?” aliuliza Layalah kwa mshangao, sio kwamba waniteke tu! yeye aliwaambia kuwa wakishapata fedha waniuwe kabisa” alisema Soraya kwa sauti yenye masikitiko, “jamani Talib, kweli bangi zinamtuma vibaya, ndio maana wakajifanya eti fedha asiwapelekee mtu yoyote zaidi ya Talib, kumbe mpango ulikuwa ni wao wote” alisema Layalah, kwa sauti ya ung’amazi, “halafu eti ana waambia wakina baba kuwa Higgno ndio aliwatuma watu waniteke” alisema Soraya, huku anaingiza mkono kwenye mkoba wake na kuipapasa ile simu ya wale watekaji wake, ambayo iliokotwa na Higgno, alipoigusa akaiacha na kutoa mkono wake ndani ya mkoba, “mshenzi sana Talib, sasa akikuuwa atapata nini?” aliuliza Laylah, ambae sasa alikuwa anapunguza mwendo kuingia barabara kuu iendayo mikoa ya kusini mwa Tanzania, “hata mimi sijui, na jana ametuma sms anasema tayari amesha chukuwa funguo, na kwamba wasifanya makosa kama waliyo yafanya kule shamba” alisema Soraya, ambae pia hakuonyesha kama anatambua maana ya funguo ile, “kwahiyo anataka wavamie nyumbani kwenu?” aliuliza Laylah kwa mshangao uliochanganyika na uoga, “pengine wanataka kuvamia ndani, si unakumbuka zamani alikuwa anaiba vitu vya ndani anaenda kuuza?” alisema Soraya akimkumbusha Laylah, matukio ya nyuma ya Talib, “sasa wewe umeamua nini?” aliuliza Laylah, wakati huo alikuwa amesha kanyaga mafuta mengi kueleka mjini, ……… ITAENDELEA...