SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI : Wote wakijihisi mikojo imebana na kuwatekenya sehemu zao za siri, kila kiungo cha uzazi cha kila mmoja wao kikitamani kupewa haki yake, .“Higgno tujaribu kufanya” alinong’ona Soraya kwa sauti iliyozidiwa na pumzi ambazo sasa ni kama zilikuwa zina mtoka juu juu, huku anaivuta dudu kuitoa ndani ya kaptulah, “hoo! samahani jamani kumbe bado mumelala” wote walishtushwa na sauti ya kike…….. ENDELEA………….
Toka mlangoni kwa haraka sana na mshtuko wa hali ya juu, Soraya aliacha alichokuwa anakifanya kwa kuisokomeza dudu ndani ya bukta huku Higgno akimfunika haraka Soraya na wote wakatazama mlango ambao ulikuwa umezuiliwa na kichanja cha miazi, ambacho kilikuwa nusu wazi, wakamuona Layla akiwa amesimama mahali hapo ana wakodolea macho, “hooo! Laylah mbona mapema sana, kwani saa hizi ni saangapi?” aliuliza Soraya huku wote yaani yeye na Higgno wanainuka toka kitandani, inakaribia saa moja na nusu da’ Soraya nimepigiwa simu na baba nikamwambia kuwa unaoga” alielezea Laylah, huku anarudi nyuma asitazame kile alichokiona mbele ya kapturah ya Higgno kijana mpole, “sijui alinipigia?” aliuliza Soraya huku anaenda kwenye meza ndogo alipoweka simu yake akaichukuwa na kutazama, kwanza alikutana na miseed call ya baba yake kisha akatazama muda, ilikuwa ni saa moja na dakika ishirini na saba, “sikuisikia hata kidogo” alisema Soraya huku anaiweka simu mezani na kupeleka mkono kwenye mkoba wake, lakini kabla hajaufungua ni kama aliona kitu fulani pale mezani, akaghairi kufungua mkoba, “hoo! Higgno kumbe una simu, basi utanipatia namba yako” alisema Soraya huku anachukuwa simu nyingine ndogo iliyokuwa mezani, “hapana sio simu yangu, ni ya wale jamaa walio kuvamia siku ile pale shambani kwako” alisema Higgno huku akionyesha wazi kujawa na aibu kwa kufumaniwa na Laylah, ambae sasa alikuwa ametoka nje kabisa, “mh! kumbe uliwapiga mpaka wakakimbia na kuacha simu yao?” aliuliza Soraya huku anaitazama ile simu, ambayo ni kweli ilifanana sana na ile ya wale jamaa waliomteka, simu ambayo walikuwa wanaitumia kuogea na baba yake na pia kutumiana ujumbe na mtu aliekuwa anawapa maelekezo.
Naam wakati Soraya anaitazama ile simu mara akasikia simu yake inaita, akaitazama ikiwa pale mezani akaona jina la mpigaji ni baba yake, akaichukuwa na kuipokea, “assalamu alaykum baba” alisalimia Soraya kwa sauti ya upole na tulivu, “waalaykum salam Soraya, vipi umeamka salama?” aliuliza Mzee Mahamud kwa sauti iliyo changamka, “nimeamka salama baba ndio najiandaa kurudi nyumbani” alisema Soraya huku akimtazama Higgno kwa sura ya tabasamu, “ok! mimi naelekea ofisini jitahidi uwahi kufika ofisini ili tuyachambue yale majina na kuyapa kipa umbele yale tunayo yahitaji” alisema mzee Mahamud kwa sauti ile ile changamfu, “sawa baba sasa hivi nitawahi nyumbani kubadili nguo na kuwahi ofisini, “alisema Soraya kwa uchangamfu, kisha wakakata simu, Soraya akamgeukia Higgno kwa macho ya tabasamu, macho yao yakakutana, hivi ukikutana na baba yangu hauto muogopa?” aliuliza Soraya huku anageuka na kuchukuwa mswaki kwenye mkoba wake akauweka dawa na kumgeukia tena Higgno, “mh! kwanini nimuogope, labda kama nitakuwa nime mkosea jambo fulani” alisema Higgno, “kwani huoni kama kulala na mtoto wake wa pekee ni kumkosea?” alisema Soraya kwa sauti ya utani, huku anamsoegelea zaidi Higgno, lakini akishindwa kumtazama usoni, “kweli hapo tume mkosea” alisema Higgno huku akimuona Soraya anamkubatia kwa kuzungusha mikono mabegani kwake, “usiogope sisi ni wapenzi, ni haki yetu kulala pamoja” ilikuwa ni sauti ya kunong’ona toka kwa Soraya ambae alijiunganisha na Higgno kuanzia kifua tumbo na hata kinena chake, ambacho kilikuwa kimeguswa na dudu ya Higgno, iliyo simama kweli kweli, mguso ambao ulimfanya Soraya ajihisi msisimko ule ule kama alioupata kitandani, akaona isiwe tabu, hivyo akajitoa kwa Higgno, “naomba maji ya kupigia mswaki” alisema Soraya kwa sauti iliyomezwa na pumzi nzito iliyosababishwa na kuzidiwa na msisiko ambao ulipelekea ngozi ya mschana huyu iweke vitu kama vijipele ya baridi, hasa sehemu zake za mikono shingo kifua na mapaja yake.
Naam, hapo Higgno akachukuwa kikombe kikubwa na kuchota maji, kisha wakatoka nje wakiongozana, nje walimkuta Laylah amesimama pembeni kidogo ya kibanda umbali kama wa mita kumi hivi, gari lilikuwa imeegeshwa kule barabarani, jiko nalo palionekana pamefunikwa bati kubwa sana na juu yake kulikuwa na mawe kadhaa makubwa, likiwa ni lengo la Higgno kuzuia viumbe walafi kama fisi wasije kupita na samaki au nyama, “nisubiri nipige mswaki tuondoke, “alisema Soraya kimueleza Laylah aliekuwa amevalia gauni refu na ushungi chwani mwake na viatu vya mikanda miguuni mwake, “sawa ila tujitahidi si unajuwa kuwa unatakiwa kuwahi ofisini” alisema Laylah, ambae sasa alikuwa anashindwa kuwatazama wawili hawa, waliokuwa wanaongozana kuelekea nyuma ya kibanda hiki cha udongo kilichoezekwa kwa vipande vya bati.
Wawili hawa walisaidiana kunawa huku Higgno akimsaidia Soraya kummiminia maji huku wakiongea mawili matatu, dakika chache baadae tayari Soraya alishajiandaa na kupewa baaddhi ya zawadi za kubeba kwao, ikiwa ni pamoja na kanga wa porini wazima na samaki walio banikwa, kisha wakaagana kwa furaha baada ya Higgno kuwa sindikiza mpaka kwenye gari akiwa amewabebea mihogo michache ambayo ilichimbwa haraka haraka kwasababu ya muda, wakina Soraya waliingia ndani ya gari na kuondoka bila kusema lolote kuhusu penzi lao, japo usoni kwake alionekana kujawa na furaha na aibu yakushindwa kumtazama Higgno usoni, hata gari ilipotoweka Higgno akabakia njia panda hakujuwa atampataje tena huyu mschana, “yaani ilibakia kidogo tu!” aliwaza Higgno wakati anarudi kibandani kwake.******
Yap! saa mbili kasoro dakika tano, ndio muda ambao Hilda alitoka nyumbani kwao na kuelekea Linjumbwi kwa mganga mabudi, kumpa matokeo ya kuungua kwa duka la bwana Frank, “hivi inawezekana tumefanya vile kwaajili ya dawa za mzee Mabudi?” aliwaza Hilda, ambae alianza kuhisi kuwa uamuzi wa kuchoma duka aliomshauri Talib ulikuwa ni nguvu za kishirikina za babu Mabudi, alisha sahau kuwa ni pombe bangi na kisasi cha Talib, “yule babu ni kiboko, yaani siku chache tu tayari mambo yamejipa, sasa leo ni kamwambie abadili dawa baada ya Higgno ampumbaze Talib, kwasababu wa kina Higgno watakuwa masikini” alijisemea Hilda, ambae alienda mbali na kuvuta picha jinsi Higgno atakavyo kuwa anasimama pembeni ya barabara, nakulitazama gari alilikuwa anaendesha Talib na yeye akikaa pembeni huku katoto kao kakicheza seat ya nyuma likiwa linapita mbele yake, “na akome kuingilia mambo ya watu” alisema Hilda ambae hakujuwa ni mambo gani ambayo Higgno aliyavuruga yanayo muhusu Talib.
Umande uliojaa kwenye nyasi zilizoinamia njia hafifu ya kuelekea mashambani huko Linjumbwi, ulimlowesha Hilda miguuni na kulowesha vumbi, lililo anza kung’ang’ania kwenye miguu ya Hilda na kutengeneza tope, ambalo lilianza kutengeneza utelezi uliosababisha mschana huyu mwenye akili kisoda kuvua kanda mbili zake na kwenda mwendo wa bata, yaani peku peku, huku kichwani mwake akiwaza jambo fulani ambalo alitamani sana kama angelipata kwa babu mabudi kabla hajaondoka kule Linjumbwi, hakuna kingine alitamani sana kuona dudu ya babu mabudi ikipenya kitumbuani kwake, alihitaji kuupata utamu alioupata siku ile kwa muda mfupi.********
Mzee Mahamud baada ya kuona na binti yake ambae alikuwa katika hali ya uchangamfu aliridhika sana, akanywa chai vizuri na kuaga kwa mke wake akielekea kule NMC ziliko ofisi za kampuni yake, huku njiani akiwaza mambo mawili matatu juu ya familia yake akianza na binti yake, “leo anaonekana ameamka akiwa mchangamfu sana, kumbe kubadili mazingira kume msaidia” aliwaza Mahamud ambae alikuwa anaendesha gari lake mwenyewe, ni lile Nissan patrol, “nadhani ni njia nzuri kwa Soraya kuondoa mawazo juu ya kile kilichotokea juzi” aliendelea kuwaza mzee Mahamud, ambae kiukweli, anampenda mwanae kupita kiasi, “Laylah, ni mschana mwema sana na ana tabia njema, maana amekuwa nae toka akiwa anasoma, sasa kama angekuwa ni mwenye tabia mbaya mpaka sasa Soraya angekuwa amesha onyesha tabia za ajabu, sina wasi wasi pale Soraya atakapo hitaji kwenda kulala kwa kwake maana kwa sasa ni kama rafiki yake tu!” aliwaza mzee Mahamud, ambae kuna kitu ambacho watu wengi hawakujuwa kuhusu yeye, ni kwamba Mahamud, alikuwa ni mtoto wa nje ya ndoa huko kwao oman, ni kwamba baba yake Abdulkarim tajiri mkubwa sana huko kwao Oman, alizaa na mfanyakazi wake wa ndani ambae pia alikuwa ni mschana mdogo masikini wa kiarabu, aliefahamika kwa jina la Aisha, kitendo hicho ambacho kilileta mtafaruku mkubwa ndani ya familia ya bwana Adulkarim yenye wake wanne na watoto kumi, na kutaka kuleta kashfa ya hali ya juu kwa tajiri huyu mkubwa nchini Oman, huku ndugu na jamaa pamoja na watoto wakubwa wa mzee huyu ambao walishafikisha miaka thelathini na mwingine ishirini na tano, walioshirikiana na mama zao kuhitaji kumuangamiza mtoto huyo wa kiume ikiwa ni chuki kubwa sana juu ya utajiri wa baba yao.
Hivyo basi mzee huyu tajiri akaenda kumficha Aisha na mwanae Mahamud kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni yake, ambae alikuwa anaishi na mfanyakazi wake toka nchini tanzania mkoa wa Ruvuma alieitwa Shani, ikiwa ni jina la kujibatiza kwaajili ya kupandia ndege kwenda omani, huku jina lake halisi likiwa ni Kachiki Matomondo.
Maisha yaliendelea huku Abdulkarim, akimtuma yule mfanyakazi wake wa kwenye kampuni yake kupeleka mahitaji kwa Aisha na kijana wake Mahamud ambae aliendelea kukuwa kwa kimo na akili, huku Aisha akiwa karibu sana na Shani ambae sasa ndie alikuwa kama rafiki yake, walitaniana na kuongea mambo mengi ya nchi aliyotokea Shani, ambae kwao alikuwa anaitwa Kachiki, ambae alimfundisha baadhi ya maneno ya Kiswahili na mpaka una katika mwaka tayari Aisha alikuwa anauwezo mdogo wa kuongea Kiswahili.
Siri haikudumu sana, kabla watoto wakubwa wa Abdulkarim hawajagundua sehemu ambayo mdogo wao alikuwa amefichwa, lakini mzee Abdulkarim aliweza kugundua hatari inayo mkaribia kijana wake mdogo, hivyo akaongea na yule mfanyakazi wake anaemtunza Aisha na kumuomba kuwa awasafirishe Aisha na Shani kwenda nchini Tanzania, ambako wangeishi huko maisha yao yote,
Ilikuwa hivyo Mahamud alisafiri akiwa na mwaka mmoja na nusu, mama yake akiwa na miaka ishirini na saba, wakiwa na akiba kubwa sana ya fedha, ambayo haikuwa msaada pekee toka kwa baba yake Mahamud, maana ile wanafika tu walipokelewa na tajiri mmoja ambae kwa nchi kama Tanzania tungesema ni mkubwa sana, ambae alikuwa ni mshirika wa kibiashara wa Abdulkarim, huyu anaitwa Shaban ambae hakuwa mwarabu kamili, ila alikuwa ni maarufu sana kwa ufadhili wa timu ya mpira wa miguu ya maji maji, ambayo ilikuwa inapatikana mkoa huo wa Ruvuma katika mji wa Songea, ambae alisha tumiwa fedha nyingi kwaaajili ya maandalizi ya kuwaandalia sehemu ya kufikia Mahamud na mama yake, huku akiwafungulia duka kubwa ambalo kwa kipindi kile kama lingemilikiwa na mwenyeji ilikuwa ni lazima uhojiwe na serikali na ueleze umetoa wapi mtaji wa kumiliki duka kama hilo, ukiachilia nyumba kubwa ambayo mpaka sasa Mahamud anaishi na familia yake, akiwa ameshaifanyia ukarabati mkubwa na kuongezea vijumba vidogo vidogo na uzio mkubwa,
Huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha ya Mahamud ambae alimpoteza mama yake akiwa na miaka ishirini na nne tu! miaka miwili baadae akaamua afunge ndoa na mama Soraya, ambae alisoma nae shule ya msingi na kupoteana sekondari wakija kukutana miaka sita baadae wakiwa wamesha maliza shule na Mahamud anafanya kazi ya kumsaidia mama yake katika biashara zake, na walidumu wakiwa marafiki mpaka mama yake yaani Aisha alipoaga dunia na yeye akakaa miaka miwili na kufunga ndoa na mama Soraya, ambae tayari alikuwa mjamzito, wa miezi nane, lakini sasa alikuwa anawasiliana na baba yake moja kwa moja, hata baada ya mwezi mmoja mke wake alijifungua salama mtoto wakike na ndie Soraya.
Miaka michache baadae Abdulkarim alibaini kuwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi mabaya ya kisukari, na ilishamshambulia kwa kiasi kikubwa sana, ukichanganya na uzee aliona kupona ni kazi ngumu sana, hivyo akampatia fedha nyingi sana mwanae na kumsaidia kufungua kampuni ya usafirishaji, ikiwa ni magari ya mizigo na magari ya abiria ya kisasa, akiwa ni mmoja wa watu walioleta mabasi ya kisasa nchi Tanzania na kujizolea abiria wengi sana, na ndio wakati ambao Abdulkarim alipoamua kuwapatanisha watoto wake, lakini ilikuwa ni vigumu sana kwao kukubaliana na baba yao.
Baada ya mzee Adulkarim kufariki na mazishi kufanyika huku Mahamud akihudhuria na familia yake, yaani mke wake na binti yao Soraya ambae alikuwa na miaka miwili, ndipo Mahamud alipoomba kuongea na ndugu zake akaomba kutambuliwa na ndugu zake kama yeye ni mdogo wao wa mwisho japo hakuhitaji chochote kinachohusu urithi wa baba yao, yeye alichohitaji wamtambue kama ndugu yao, licha ya kuwa alikuwa na ndugu zake upande wa mama yake, ambao wale wakaribu yeye ndie alielazimika kuwatunza na kuwapatia mitaji midogo midogo, ya biashara za kujikimu.
Ukweli baada ya kugawana mali za marehemu baba yao, kaka zake Mahamud ndipo walipo mkubali Mahamud kama ndugu huku wakimpatia shati na suruali kama urithi wa baba yao, sasa waliweza kushiriakiana na Mahaumd wakimtumia kama wakala wao kule Tanzania na biashara zao zikizidi kutanuka na kufanikiwa zaidi.
Sasa basi, Mahamud akiwa na Soraya kama mtoto wake wapekee, alimepnda sana na kumtunza vyema huku akiswali kila siku binti yake asikutane wala kupitia maisha aliyopitia mama yake, au yeye mwenyewe, na hii ndiyo sababu ya Mahamud kumpenda sana binti yake na hakutaka mtu yoyote aunyanyase moyo wa mwanae, hasa kwa watu wakaribu na mwanaume atakae muoa.
Mahamud aliingia eneo la ofisi yake, ambapo alikuta wafanyakazi wake wakiwa wanaendelea na kazi zao, lakini alishangaa kuona wakiwa wanamtazama kwa macho fulani ya kumshakia, (kumtilia shaka) yeye hakujali sana akashuka kama ilivyo kawaida, akaingia ndani ya ofisi na kujifungia kisha akajikagua pengine alikuwa amevaa tofauti ndio maana wafanyakazi wake wana mtazama kwa macho ya mashaka, lakini alikuwa sawa kabisa hakuwa na dosari yoyote.*******
Kitu ambacho bwana Mahamud hakuwa anakijuwa toka jana usiku kuna baadhi ya watu walikuwa wana tumiana sms kuwa imebaini kuwa tajiri mkubwa Mahamud ana lazimika kulala na binti yake kingono, ikiwa ni imani ya kishirikina ambayo ina husishwa na biashara yake ya usafirishaji, sms ziliendelea kueleza kuwa jambo hilo linalo fanywa na Mahamud ni kwamba hata mke wake analifahamu na hawezi kuliacha kwasababu ya kuokoa biashara yao, ikiwa ni shariti la mganga wao ndio maana wanatumia kila njia kumzuia binti yao asiolewe na kijana Idd Mahadhi, mwisho ukimalizia kwa kusema, “watumie wenzako wafahamu”.
Ukweli ujumbe ule ulisambaa kwa kasi ya ajabu, watu wakitumiana kwa fujo, ukweli watu wengi walishtuka sana kwa tukio lile japo mschana mwenye anaezungumziwa kwasababu hakuwa na umaarufu sana kutokana na kujifungia sana ndani na kujiziba uso anapotoka nyumbani kwao, pia wapo waliopingaswala hili kwasababu wanamfahamu Idd kuwa ni kijana muhuni anaevaa kanzu kama kificho cha mambo yake.
Kwa muda mfupi taarifa hizi zilisambaa karibu nusu ya eneo lote la katikati ya mji wa songea.******
Soraya na Laylah walioanza safari kimya kimya, walitembea huku kila mmoja akitafakari la kwake kichwani mwake, “mh! yule kijana akivua shati anaonekana ni mzuri sana, Soraya amefaidi usiku kucha” hayo yalikuwa mawazo ya Laylah, ambae alikuwa anaendesha gari kwa speed ya kawaida, huku mara chache akimtazama Soraya kwa kioo cha kati cha kutazamia nyuma, akimuona Soraya akijitabasamia mwenyewe.
Naam baada ya kutembea kwa mwendo wa mita kama mia tano hivi, wakiwa wameshakianza kijiji cha chem chem, ndipo Laylah, alipovunja ukimya, “Soraya hujaniambia kilichotokea au ni siri yako?” aliuliza Laylah huku akiendelea kutazama mbele, na kulenga barabara, Soraya alicheka “yaani tumeongea weee! tumelala pamoja mpaka asubuhi, kumbe anaongea vizuri tu!” alisema Soraya, akionekana kuwa katika hali ya uchangamfu kubwa, “hukuogopa kufanya?” aliuliza Laylah, ambae kikawaida ni mwenye umri mkubwa sana kwa Soraya, “mh! kwani nimefanya nae?, waalaaa hatujafanya lolote” alisema Soraya, kwa sauti ya kukataa, “mh! lakini mmekubaliana kuwa wapenzi sio?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya mshangao, maana kwa hali aliyoikuta pale kibandani halafu umwambie hawajafanya lolote usku kucha, kwa kweli kwa mwanaume rijali mbele ya mschana kama Soraya, ambae kiuhalisia kila mwanaume anaitamani nafasi ile kama ilivyo wakina Daudi 1 mhanuzi wangu finyango miana amor Che mittoga Tumwesige senior Mahimbo Jr, halafu usiguse kitumbua, “ndiyo Higgno sasa ni mpenzi wangu” alisema Soraya akionekana kuwa mwenye raha moyoni mwake, “mh! da’Soraya, kweli kuna uzima hapo?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya kutia shaka, “tatizo gani Laylah, Higgno ananidanganya?” aliuliza Soraya kwa sauti ya mshtuko, maana alikuwa anaamini kuwa Laylah anafahamu mambo mengi kuhusu wanaume na mapenzi, “hapana hakuna mwanaume anaeweza kukudanganya, labda unaweza kuwa umempata mwanaume ambae sio sahihi, amekuambiaje kuhusu mwanamke wake wa zamani?” aliuliza Laylah, hapo Soraya akajibu kwa furaha, “wenzio wote tumekutana, na yeye hajwahi kuwa na mwanamke” alisema Soraya na hapo Layla akaguna kidogo, “mh! nilijuwa tu, wee! mwanaume kabisaaaa akuache usiku kucha” alisema Laylah, kwa sauti ya mashaka, “kwanini unasema hivyo dada Laylah, umaana Higgno..” kabla hajamaliza kuuliza, akashangaa kuona Laylah, akisimamisha gari pembeni ya barabara, kisha akageuka na kumtazama Soraya, “sikia Soraya ulishawahi kusikia habari za wanaume ambao hawana uwezo wa kufanya mapenzi?” aliuliza Laylah, “mh! sijawahi kusikia” alikataa Soraya kuwa hajawahi kusikia, “sasa kuna wanaume ambao hawana uwezo wakufanya mapenzi hata umfanyaje” alisema Laylah akishindwa kufafanua, japo alikuwa anamaanisha kuwa jamaa inawezekana kuwa jogoo wake hawezi kupanda juu ya mtungi, “kwahiyo nitajuwaje?” aliuliza Soraya kwa sauti ambayo ilianza kukata tamaa, maana hakujuwa huyo mwanaume anakuwaje kuwaje, “ukweli hata mimi sijawahi kumuona mwanaume wa hivyo lakini mwanaume yoyote yule akilala na mwanamke na kugusana nae lazima atataka kufanya mapenzi” alisema Laylah na hapo wakaongea mawili matatu, kisha Soraya akatoa maamuzi, “basi leo nitaenda kumjaribu” alisema Soraya na hapo wakakubaliana kuwa na leo Soraya akalale kwa Higgno kwaajili ya kumjaribu kama ana uwezo wa kufanya mapenzi, lakini hakujuwa kuwa kusimamisha dudu ni dalili ya kuwa na uwezo wa kufanya mapenzi, “mh! baba atakubali kweli?” aliuliza Laylah, huku ana ingiza gia namba moja na kuondoa gari taratibu, “tutaanza kumueleza tukifika tu!” alisema Soraya, huku anamtazama mzee moja aliekuwa anakuja mbele yao na baiskeri huku macho yake yakilitazama gari lao, “hooo! Laylah simamisha gari huyo mzee ndiyo atakuwa mshenga” alipiga kelele Soraya, huku akimtazama yule mzee ambae alionekana wazi kuhitaji kuongea na Soraya, maana alikuwa anashuka toka kwenye baiskeri na kuvuka barabara akilifuata gari ambalo lilikuwa limesha simama kwa mara ya pili, haya jioni soraya anaenda kwa higg wizzy kutesti mitambo, wale wenye kiu ya kutaka kujuwa kama Higgno atafanikiwa kutatua nyuzi tukutane jioni... ITAENDELEA
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI : Wote wakijihisi mikojo imebana na kuwatekenya sehemu zao za siri, kila kiungo cha uzazi cha kila mmoja wao kikitamani kupewa haki yake, .“Higgno tujaribu kufanya” alinong’ona Soraya kwa sauti iliyozidiwa na pumzi ambazo sasa ni kama zilikuwa zina mtoka juu juu, huku anaivuta dudu kuitoa ndani ya kaptulah, “hoo! samahani jamani kumbe bado mumelala” wote walishtushwa na sauti ya kike…….. ENDELEA………….
Toka mlangoni kwa haraka sana na mshtuko wa hali ya juu, Soraya aliacha alichokuwa anakifanya kwa kuisokomeza dudu ndani ya bukta huku Higgno akimfunika haraka Soraya na wote wakatazama mlango ambao ulikuwa umezuiliwa na kichanja cha miazi, ambacho kilikuwa nusu wazi, wakamuona Layla akiwa amesimama mahali hapo ana wakodolea macho, “hooo! Laylah mbona mapema sana, kwani saa hizi ni saangapi?” aliuliza Soraya huku wote yaani yeye na Higgno wanainuka toka kitandani, inakaribia saa moja na nusu da’ Soraya nimepigiwa simu na baba nikamwambia kuwa unaoga” alielezea Laylah, huku anarudi nyuma asitazame kile alichokiona mbele ya kapturah ya Higgno kijana mpole, “sijui alinipigia?” aliuliza Soraya huku anaenda kwenye meza ndogo alipoweka simu yake akaichukuwa na kutazama, kwanza alikutana na miseed call ya baba yake kisha akatazama muda, ilikuwa ni saa moja na dakika ishirini na saba, “sikuisikia hata kidogo” alisema Soraya huku anaiweka simu mezani na kupeleka mkono kwenye mkoba wake, lakini kabla hajaufungua ni kama aliona kitu fulani pale mezani, akaghairi kufungua mkoba, “hoo! Higgno kumbe una simu, basi utanipatia namba yako” alisema Soraya huku anachukuwa simu nyingine ndogo iliyokuwa mezani, “hapana sio simu yangu, ni ya wale jamaa walio kuvamia siku ile pale shambani kwako” alisema Higgno huku akionyesha wazi kujawa na aibu kwa kufumaniwa na Laylah, ambae sasa alikuwa ametoka nje kabisa, “mh! kumbe uliwapiga mpaka wakakimbia na kuacha simu yao?” aliuliza Soraya huku anaitazama ile simu, ambayo ni kweli ilifanana sana na ile ya wale jamaa waliomteka, simu ambayo walikuwa wanaitumia kuogea na baba yake na pia kutumiana ujumbe na mtu aliekuwa anawapa maelekezo.
Naam wakati Soraya anaitazama ile simu mara akasikia simu yake inaita, akaitazama ikiwa pale mezani akaona jina la mpigaji ni baba yake, akaichukuwa na kuipokea, “assalamu alaykum baba” alisalimia Soraya kwa sauti ya upole na tulivu, “waalaykum salam Soraya, vipi umeamka salama?” aliuliza Mzee Mahamud kwa sauti iliyo changamka, “nimeamka salama baba ndio najiandaa kurudi nyumbani” alisema Soraya huku akimtazama Higgno kwa sura ya tabasamu, “ok! mimi naelekea ofisini jitahidi uwahi kufika ofisini ili tuyachambue yale majina na kuyapa kipa umbele yale tunayo yahitaji” alisema mzee Mahamud kwa sauti ile ile changamfu, “sawa baba sasa hivi nitawahi nyumbani kubadili nguo na kuwahi ofisini, “alisema Soraya kwa uchangamfu, kisha wakakata simu, Soraya akamgeukia Higgno kwa macho ya tabasamu, macho yao yakakutana, hivi ukikutana na baba yangu hauto muogopa?” aliuliza Soraya huku anageuka na kuchukuwa mswaki kwenye mkoba wake akauweka dawa na kumgeukia tena Higgno, “mh! kwanini nimuogope, labda kama nitakuwa nime mkosea jambo fulani” alisema Higgno, “kwani huoni kama kulala na mtoto wake wa pekee ni kumkosea?” alisema Soraya kwa sauti ya utani, huku anamsoegelea zaidi Higgno, lakini akishindwa kumtazama usoni, “kweli hapo tume mkosea” alisema Higgno huku akimuona Soraya anamkubatia kwa kuzungusha mikono mabegani kwake, “usiogope sisi ni wapenzi, ni haki yetu kulala pamoja” ilikuwa ni sauti ya kunong’ona toka kwa Soraya ambae alijiunganisha na Higgno kuanzia kifua tumbo na hata kinena chake, ambacho kilikuwa kimeguswa na dudu ya Higgno, iliyo simama kweli kweli, mguso ambao ulimfanya Soraya ajihisi msisimko ule ule kama alioupata kitandani, akaona isiwe tabu, hivyo akajitoa kwa Higgno, “naomba maji ya kupigia mswaki” alisema Soraya kwa sauti iliyomezwa na pumzi nzito iliyosababishwa na kuzidiwa na msisiko ambao ulipelekea ngozi ya mschana huyu iweke vitu kama vijipele ya baridi, hasa sehemu zake za mikono shingo kifua na mapaja yake.
Naam, hapo Higgno akachukuwa kikombe kikubwa na kuchota maji, kisha wakatoka nje wakiongozana, nje walimkuta Laylah amesimama pembeni kidogo ya kibanda umbali kama wa mita kumi hivi, gari lilikuwa imeegeshwa kule barabarani, jiko nalo palionekana pamefunikwa bati kubwa sana na juu yake kulikuwa na mawe kadhaa makubwa, likiwa ni lengo la Higgno kuzuia viumbe walafi kama fisi wasije kupita na samaki au nyama, “nisubiri nipige mswaki tuondoke, “alisema Soraya kimueleza Laylah aliekuwa amevalia gauni refu na ushungi chwani mwake na viatu vya mikanda miguuni mwake, “sawa ila tujitahidi si unajuwa kuwa unatakiwa kuwahi ofisini” alisema Laylah, ambae sasa alikuwa anashindwa kuwatazama wawili hawa, waliokuwa wanaongozana kuelekea nyuma ya kibanda hiki cha udongo kilichoezekwa kwa vipande vya bati.
Wawili hawa walisaidiana kunawa huku Higgno akimsaidia Soraya kummiminia maji huku wakiongea mawili matatu, dakika chache baadae tayari Soraya alishajiandaa na kupewa baaddhi ya zawadi za kubeba kwao, ikiwa ni pamoja na kanga wa porini wazima na samaki walio banikwa, kisha wakaagana kwa furaha baada ya Higgno kuwa sindikiza mpaka kwenye gari akiwa amewabebea mihogo michache ambayo ilichimbwa haraka haraka kwasababu ya muda, wakina Soraya waliingia ndani ya gari na kuondoka bila kusema lolote kuhusu penzi lao, japo usoni kwake alionekana kujawa na furaha na aibu yakushindwa kumtazama Higgno usoni, hata gari ilipotoweka Higgno akabakia njia panda hakujuwa atampataje tena huyu mschana, “yaani ilibakia kidogo tu!” aliwaza Higgno wakati anarudi kibandani kwake.******
Yap! saa mbili kasoro dakika tano, ndio muda ambao Hilda alitoka nyumbani kwao na kuelekea Linjumbwi kwa mganga mabudi, kumpa matokeo ya kuungua kwa duka la bwana Frank, “hivi inawezekana tumefanya vile kwaajili ya dawa za mzee Mabudi?” aliwaza Hilda, ambae alianza kuhisi kuwa uamuzi wa kuchoma duka aliomshauri Talib ulikuwa ni nguvu za kishirikina za babu Mabudi, alisha sahau kuwa ni pombe bangi na kisasi cha Talib, “yule babu ni kiboko, yaani siku chache tu tayari mambo yamejipa, sasa leo ni kamwambie abadili dawa baada ya Higgno ampumbaze Talib, kwasababu wa kina Higgno watakuwa masikini” alijisemea Hilda, ambae alienda mbali na kuvuta picha jinsi Higgno atakavyo kuwa anasimama pembeni ya barabara, nakulitazama gari alilikuwa anaendesha Talib na yeye akikaa pembeni huku katoto kao kakicheza seat ya nyuma likiwa linapita mbele yake, “na akome kuingilia mambo ya watu” alisema Hilda ambae hakujuwa ni mambo gani ambayo Higgno aliyavuruga yanayo muhusu Talib.
Umande uliojaa kwenye nyasi zilizoinamia njia hafifu ya kuelekea mashambani huko Linjumbwi, ulimlowesha Hilda miguuni na kulowesha vumbi, lililo anza kung’ang’ania kwenye miguu ya Hilda na kutengeneza tope, ambalo lilianza kutengeneza utelezi uliosababisha mschana huyu mwenye akili kisoda kuvua kanda mbili zake na kwenda mwendo wa bata, yaani peku peku, huku kichwani mwake akiwaza jambo fulani ambalo alitamani sana kama angelipata kwa babu mabudi kabla hajaondoka kule Linjumbwi, hakuna kingine alitamani sana kuona dudu ya babu mabudi ikipenya kitumbuani kwake, alihitaji kuupata utamu alioupata siku ile kwa muda mfupi.********
Mzee Mahamud baada ya kuona na binti yake ambae alikuwa katika hali ya uchangamfu aliridhika sana, akanywa chai vizuri na kuaga kwa mke wake akielekea kule NMC ziliko ofisi za kampuni yake, huku njiani akiwaza mambo mawili matatu juu ya familia yake akianza na binti yake, “leo anaonekana ameamka akiwa mchangamfu sana, kumbe kubadili mazingira kume msaidia” aliwaza Mahamud ambae alikuwa anaendesha gari lake mwenyewe, ni lile Nissan patrol, “nadhani ni njia nzuri kwa Soraya kuondoa mawazo juu ya kile kilichotokea juzi” aliendelea kuwaza mzee Mahamud, ambae kiukweli, anampenda mwanae kupita kiasi, “Laylah, ni mschana mwema sana na ana tabia njema, maana amekuwa nae toka akiwa anasoma, sasa kama angekuwa ni mwenye tabia mbaya mpaka sasa Soraya angekuwa amesha onyesha tabia za ajabu, sina wasi wasi pale Soraya atakapo hitaji kwenda kulala kwa kwake maana kwa sasa ni kama rafiki yake tu!” aliwaza mzee Mahamud, ambae kuna kitu ambacho watu wengi hawakujuwa kuhusu yeye, ni kwamba Mahamud, alikuwa ni mtoto wa nje ya ndoa huko kwao oman, ni kwamba baba yake Abdulkarim tajiri mkubwa sana huko kwao Oman, alizaa na mfanyakazi wake wa ndani ambae pia alikuwa ni mschana mdogo masikini wa kiarabu, aliefahamika kwa jina la Aisha, kitendo hicho ambacho kilileta mtafaruku mkubwa ndani ya familia ya bwana Adulkarim yenye wake wanne na watoto kumi, na kutaka kuleta kashfa ya hali ya juu kwa tajiri huyu mkubwa nchini Oman, huku ndugu na jamaa pamoja na watoto wakubwa wa mzee huyu ambao walishafikisha miaka thelathini na mwingine ishirini na tano, walioshirikiana na mama zao kuhitaji kumuangamiza mtoto huyo wa kiume ikiwa ni chuki kubwa sana juu ya utajiri wa baba yao.
Hivyo basi mzee huyu tajiri akaenda kumficha Aisha na mwanae Mahamud kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni yake, ambae alikuwa anaishi na mfanyakazi wake toka nchini tanzania mkoa wa Ruvuma alieitwa Shani, ikiwa ni jina la kujibatiza kwaajili ya kupandia ndege kwenda omani, huku jina lake halisi likiwa ni Kachiki Matomondo.
Maisha yaliendelea huku Abdulkarim, akimtuma yule mfanyakazi wake wa kwenye kampuni yake kupeleka mahitaji kwa Aisha na kijana wake Mahamud ambae aliendelea kukuwa kwa kimo na akili, huku Aisha akiwa karibu sana na Shani ambae sasa ndie alikuwa kama rafiki yake, walitaniana na kuongea mambo mengi ya nchi aliyotokea Shani, ambae kwao alikuwa anaitwa Kachiki, ambae alimfundisha baadhi ya maneno ya Kiswahili na mpaka una katika mwaka tayari Aisha alikuwa anauwezo mdogo wa kuongea Kiswahili.
Siri haikudumu sana, kabla watoto wakubwa wa Abdulkarim hawajagundua sehemu ambayo mdogo wao alikuwa amefichwa, lakini mzee Abdulkarim aliweza kugundua hatari inayo mkaribia kijana wake mdogo, hivyo akaongea na yule mfanyakazi wake anaemtunza Aisha na kumuomba kuwa awasafirishe Aisha na Shani kwenda nchini Tanzania, ambako wangeishi huko maisha yao yote,
Ilikuwa hivyo Mahamud alisafiri akiwa na mwaka mmoja na nusu, mama yake akiwa na miaka ishirini na saba, wakiwa na akiba kubwa sana ya fedha, ambayo haikuwa msaada pekee toka kwa baba yake Mahamud, maana ile wanafika tu walipokelewa na tajiri mmoja ambae kwa nchi kama Tanzania tungesema ni mkubwa sana, ambae alikuwa ni mshirika wa kibiashara wa Abdulkarim, huyu anaitwa Shaban ambae hakuwa mwarabu kamili, ila alikuwa ni maarufu sana kwa ufadhili wa timu ya mpira wa miguu ya maji maji, ambayo ilikuwa inapatikana mkoa huo wa Ruvuma katika mji wa Songea, ambae alisha tumiwa fedha nyingi kwaaajili ya maandalizi ya kuwaandalia sehemu ya kufikia Mahamud na mama yake, huku akiwafungulia duka kubwa ambalo kwa kipindi kile kama lingemilikiwa na mwenyeji ilikuwa ni lazima uhojiwe na serikali na ueleze umetoa wapi mtaji wa kumiliki duka kama hilo, ukiachilia nyumba kubwa ambayo mpaka sasa Mahamud anaishi na familia yake, akiwa ameshaifanyia ukarabati mkubwa na kuongezea vijumba vidogo vidogo na uzio mkubwa,
Huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha ya Mahamud ambae alimpoteza mama yake akiwa na miaka ishirini na nne tu! miaka miwili baadae akaamua afunge ndoa na mama Soraya, ambae alisoma nae shule ya msingi na kupoteana sekondari wakija kukutana miaka sita baadae wakiwa wamesha maliza shule na Mahamud anafanya kazi ya kumsaidia mama yake katika biashara zake, na walidumu wakiwa marafiki mpaka mama yake yaani Aisha alipoaga dunia na yeye akakaa miaka miwili na kufunga ndoa na mama Soraya, ambae tayari alikuwa mjamzito, wa miezi nane, lakini sasa alikuwa anawasiliana na baba yake moja kwa moja, hata baada ya mwezi mmoja mke wake alijifungua salama mtoto wakike na ndie Soraya.
Miaka michache baadae Abdulkarim alibaini kuwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi mabaya ya kisukari, na ilishamshambulia kwa kiasi kikubwa sana, ukichanganya na uzee aliona kupona ni kazi ngumu sana, hivyo akampatia fedha nyingi sana mwanae na kumsaidia kufungua kampuni ya usafirishaji, ikiwa ni magari ya mizigo na magari ya abiria ya kisasa, akiwa ni mmoja wa watu walioleta mabasi ya kisasa nchi Tanzania na kujizolea abiria wengi sana, na ndio wakati ambao Abdulkarim alipoamua kuwapatanisha watoto wake, lakini ilikuwa ni vigumu sana kwao kukubaliana na baba yao.
Baada ya mzee Adulkarim kufariki na mazishi kufanyika huku Mahamud akihudhuria na familia yake, yaani mke wake na binti yao Soraya ambae alikuwa na miaka miwili, ndipo Mahamud alipoomba kuongea na ndugu zake akaomba kutambuliwa na ndugu zake kama yeye ni mdogo wao wa mwisho japo hakuhitaji chochote kinachohusu urithi wa baba yao, yeye alichohitaji wamtambue kama ndugu yao, licha ya kuwa alikuwa na ndugu zake upande wa mama yake, ambao wale wakaribu yeye ndie alielazimika kuwatunza na kuwapatia mitaji midogo midogo, ya biashara za kujikimu.
Ukweli baada ya kugawana mali za marehemu baba yao, kaka zake Mahamud ndipo walipo mkubali Mahamud kama ndugu huku wakimpatia shati na suruali kama urithi wa baba yao, sasa waliweza kushiriakiana na Mahaumd wakimtumia kama wakala wao kule Tanzania na biashara zao zikizidi kutanuka na kufanikiwa zaidi.
Sasa basi, Mahamud akiwa na Soraya kama mtoto wake wapekee, alimepnda sana na kumtunza vyema huku akiswali kila siku binti yake asikutane wala kupitia maisha aliyopitia mama yake, au yeye mwenyewe, na hii ndiyo sababu ya Mahamud kumpenda sana binti yake na hakutaka mtu yoyote aunyanyase moyo wa mwanae, hasa kwa watu wakaribu na mwanaume atakae muoa.
Mahamud aliingia eneo la ofisi yake, ambapo alikuta wafanyakazi wake wakiwa wanaendelea na kazi zao, lakini alishangaa kuona wakiwa wanamtazama kwa macho fulani ya kumshakia, (kumtilia shaka) yeye hakujali sana akashuka kama ilivyo kawaida, akaingia ndani ya ofisi na kujifungia kisha akajikagua pengine alikuwa amevaa tofauti ndio maana wafanyakazi wake wana mtazama kwa macho ya mashaka, lakini alikuwa sawa kabisa hakuwa na dosari yoyote.*******
Kitu ambacho bwana Mahamud hakuwa anakijuwa toka jana usiku kuna baadhi ya watu walikuwa wana tumiana sms kuwa imebaini kuwa tajiri mkubwa Mahamud ana lazimika kulala na binti yake kingono, ikiwa ni imani ya kishirikina ambayo ina husishwa na biashara yake ya usafirishaji, sms ziliendelea kueleza kuwa jambo hilo linalo fanywa na Mahamud ni kwamba hata mke wake analifahamu na hawezi kuliacha kwasababu ya kuokoa biashara yao, ikiwa ni shariti la mganga wao ndio maana wanatumia kila njia kumzuia binti yao asiolewe na kijana Idd Mahadhi, mwisho ukimalizia kwa kusema, “watumie wenzako wafahamu”.
Ukweli ujumbe ule ulisambaa kwa kasi ya ajabu, watu wakitumiana kwa fujo, ukweli watu wengi walishtuka sana kwa tukio lile japo mschana mwenye anaezungumziwa kwasababu hakuwa na umaarufu sana kutokana na kujifungia sana ndani na kujiziba uso anapotoka nyumbani kwao, pia wapo waliopingaswala hili kwasababu wanamfahamu Idd kuwa ni kijana muhuni anaevaa kanzu kama kificho cha mambo yake.
Kwa muda mfupi taarifa hizi zilisambaa karibu nusu ya eneo lote la katikati ya mji wa songea.******
Soraya na Laylah walioanza safari kimya kimya, walitembea huku kila mmoja akitafakari la kwake kichwani mwake, “mh! yule kijana akivua shati anaonekana ni mzuri sana, Soraya amefaidi usiku kucha” hayo yalikuwa mawazo ya Laylah, ambae alikuwa anaendesha gari kwa speed ya kawaida, huku mara chache akimtazama Soraya kwa kioo cha kati cha kutazamia nyuma, akimuona Soraya akijitabasamia mwenyewe.
Naam baada ya kutembea kwa mwendo wa mita kama mia tano hivi, wakiwa wameshakianza kijiji cha chem chem, ndipo Laylah, alipovunja ukimya, “Soraya hujaniambia kilichotokea au ni siri yako?” aliuliza Laylah huku akiendelea kutazama mbele, na kulenga barabara, Soraya alicheka “yaani tumeongea weee! tumelala pamoja mpaka asubuhi, kumbe anaongea vizuri tu!” alisema Soraya, akionekana kuwa katika hali ya uchangamfu kubwa, “hukuogopa kufanya?” aliuliza Laylah, ambae kikawaida ni mwenye umri mkubwa sana kwa Soraya, “mh! kwani nimefanya nae?, waalaaa hatujafanya lolote” alisema Soraya, kwa sauti ya kukataa, “mh! lakini mmekubaliana kuwa wapenzi sio?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya mshangao, maana kwa hali aliyoikuta pale kibandani halafu umwambie hawajafanya lolote usku kucha, kwa kweli kwa mwanaume rijali mbele ya mschana kama Soraya, ambae kiuhalisia kila mwanaume anaitamani nafasi ile kama ilivyo wakina Daudi 1 mhanuzi wangu finyango miana amor Che mittoga Tumwesige senior Mahimbo Jr, halafu usiguse kitumbua, “ndiyo Higgno sasa ni mpenzi wangu” alisema Soraya akionekana kuwa mwenye raha moyoni mwake, “mh! da’Soraya, kweli kuna uzima hapo?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya kutia shaka, “tatizo gani Laylah, Higgno ananidanganya?” aliuliza Soraya kwa sauti ya mshtuko, maana alikuwa anaamini kuwa Laylah anafahamu mambo mengi kuhusu wanaume na mapenzi, “hapana hakuna mwanaume anaeweza kukudanganya, labda unaweza kuwa umempata mwanaume ambae sio sahihi, amekuambiaje kuhusu mwanamke wake wa zamani?” aliuliza Laylah, hapo Soraya akajibu kwa furaha, “wenzio wote tumekutana, na yeye hajwahi kuwa na mwanamke” alisema Soraya na hapo Layla akaguna kidogo, “mh! nilijuwa tu, wee! mwanaume kabisaaaa akuache usiku kucha” alisema Laylah, kwa sauti ya mashaka, “kwanini unasema hivyo dada Laylah, umaana Higgno..” kabla hajamaliza kuuliza, akashangaa kuona Laylah, akisimamisha gari pembeni ya barabara, kisha akageuka na kumtazama Soraya, “sikia Soraya ulishawahi kusikia habari za wanaume ambao hawana uwezo wa kufanya mapenzi?” aliuliza Laylah, “mh! sijawahi kusikia” alikataa Soraya kuwa hajawahi kusikia, “sasa kuna wanaume ambao hawana uwezo wakufanya mapenzi hata umfanyaje” alisema Laylah akishindwa kufafanua, japo alikuwa anamaanisha kuwa jamaa inawezekana kuwa jogoo wake hawezi kupanda juu ya mtungi, “kwahiyo nitajuwaje?” aliuliza Soraya kwa sauti ambayo ilianza kukata tamaa, maana hakujuwa huyo mwanaume anakuwaje kuwaje, “ukweli hata mimi sijawahi kumuona mwanaume wa hivyo lakini mwanaume yoyote yule akilala na mwanamke na kugusana nae lazima atataka kufanya mapenzi” alisema Laylah na hapo wakaongea mawili matatu, kisha Soraya akatoa maamuzi, “basi leo nitaenda kumjaribu” alisema Soraya na hapo wakakubaliana kuwa na leo Soraya akalale kwa Higgno kwaajili ya kumjaribu kama ana uwezo wa kufanya mapenzi, lakini hakujuwa kuwa kusimamisha dudu ni dalili ya kuwa na uwezo wa kufanya mapenzi, “mh! baba atakubali kweli?” aliuliza Laylah, huku ana ingiza gia namba moja na kuondoa gari taratibu, “tutaanza kumueleza tukifika tu!” alisema Soraya, huku anamtazama mzee moja aliekuwa anakuja mbele yao na baiskeri huku macho yake yakilitazama gari lao, “hooo! Laylah simamisha gari huyo mzee ndiyo atakuwa mshenga” alipiga kelele Soraya, huku akimtazama yule mzee ambae alionekana wazi kuhitaji kuongea na Soraya, maana alikuwa anashuka toka kwenye baiskeri na kuvuka barabara akilifuata gari ambalo lilikuwa limesha simama kwa mara ya pili, haya jioni soraya anaenda kwa higg wizzy kutesti mitambo, wale wenye kiu ya kutaka kujuwa kama Higgno atafanikiwa kutatua nyuzi tukutane jioni... ITAENDELEA
Shukrani sana mkuu,
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI : Wote wakijihisi mikojo imebana na kuwatekenya sehemu zao za siri, kila kiungo cha uzazi cha kila mmoja wao kikitamani kupewa haki yake, .“Higgno tujaribu kufanya” alinong’ona Soraya kwa sauti iliyozidiwa na pumzi ambazo sasa ni kama zilikuwa zina mtoka juu juu, huku anaivuta dudu kuitoa ndani ya kaptulah, “hoo! samahani jamani kumbe bado mumelala” wote walishtushwa na sauti ya kike…….. ENDELEA………….
Toka mlangoni kwa haraka sana na mshtuko wa hali ya juu, Soraya aliacha alichokuwa anakifanya kwa kuisokomeza dudu ndani ya bukta huku Higgno akimfunika haraka Soraya na wote wakatazama mlango ambao ulikuwa umezuiliwa na kichanja cha miazi, ambacho kilikuwa nusu wazi, wakamuona Layla akiwa amesimama mahali hapo ana wakodolea macho, “hooo! Laylah mbona mapema sana, kwani saa hizi ni saangapi?” aliuliza Soraya huku wote yaani yeye na Higgno wanainuka toka kitandani, inakaribia saa moja na nusu da’ Soraya nimepigiwa simu na baba nikamwambia kuwa unaoga” alielezea Laylah, huku anarudi nyuma asitazame kile alichokiona mbele ya kapturah ya Higgno kijana mpole, “sijui alinipigia?” aliuliza Soraya huku anaenda kwenye meza ndogo alipoweka simu yake akaichukuwa na kutazama, kwanza alikutana na miseed call ya baba yake kisha akatazama muda, ilikuwa ni saa moja na dakika ishirini na saba, “sikuisikia hata kidogo” alisema Soraya huku anaiweka simu mezani na kupeleka mkono kwenye mkoba wake, lakini kabla hajaufungua ni kama aliona kitu fulani pale mezani, akaghairi kufungua mkoba, “hoo! Higgno kumbe una simu, basi utanipatia namba yako” alisema Soraya huku anachukuwa simu nyingine ndogo iliyokuwa mezani, “hapana sio simu yangu, ni ya wale jamaa walio kuvamia siku ile pale shambani kwako” alisema Higgno huku akionyesha wazi kujawa na aibu kwa kufumaniwa na Laylah, ambae sasa alikuwa ametoka nje kabisa, “mh! kumbe uliwapiga mpaka wakakimbia na kuacha simu yao?” aliuliza Soraya huku anaitazama ile simu, ambayo ni kweli ilifanana sana na ile ya wale jamaa waliomteka, simu ambayo walikuwa wanaitumia kuogea na baba yake na pia kutumiana ujumbe na mtu aliekuwa anawapa maelekezo.
Naam wakati Soraya anaitazama ile simu mara akasikia simu yake inaita, akaitazama ikiwa pale mezani akaona jina la mpigaji ni baba yake, akaichukuwa na kuipokea, “assalamu alaykum baba” alisalimia Soraya kwa sauti ya upole na tulivu, “waalaykum salam Soraya, vipi umeamka salama?” aliuliza Mzee Mahamud kwa sauti iliyo changamka, “nimeamka salama baba ndio najiandaa kurudi nyumbani” alisema Soraya huku akimtazama Higgno kwa sura ya tabasamu, “ok! mimi naelekea ofisini jitahidi uwahi kufika ofisini ili tuyachambue yale majina na kuyapa kipa umbele yale tunayo yahitaji” alisema mzee Mahamud kwa sauti ile ile changamfu, “sawa baba sasa hivi nitawahi nyumbani kubadili nguo na kuwahi ofisini, “alisema Soraya kwa uchangamfu, kisha wakakata simu, Soraya akamgeukia Higgno kwa macho ya tabasamu, macho yao yakakutana, hivi ukikutana na baba yangu hauto muogopa?” aliuliza Soraya huku anageuka na kuchukuwa mswaki kwenye mkoba wake akauweka dawa na kumgeukia tena Higgno, “mh! kwanini nimuogope, labda kama nitakuwa nime mkosea jambo fulani” alisema Higgno, “kwani huoni kama kulala na mtoto wake wa pekee ni kumkosea?” alisema Soraya kwa sauti ya utani, huku anamsoegelea zaidi Higgno, lakini akishindwa kumtazama usoni, “kweli hapo tume mkosea” alisema Higgno huku akimuona Soraya anamkubatia kwa kuzungusha mikono mabegani kwake, “usiogope sisi ni wapenzi, ni haki yetu kulala pamoja” ilikuwa ni sauti ya kunong’ona toka kwa Soraya ambae alijiunganisha na Higgno kuanzia kifua tumbo na hata kinena chake, ambacho kilikuwa kimeguswa na dudu ya Higgno, iliyo simama kweli kweli, mguso ambao ulimfanya Soraya ajihisi msisimko ule ule kama alioupata kitandani, akaona isiwe tabu, hivyo akajitoa kwa Higgno, “naomba maji ya kupigia mswaki” alisema Soraya kwa sauti iliyomezwa na pumzi nzito iliyosababishwa na kuzidiwa na msisiko ambao ulipelekea ngozi ya mschana huyu iweke vitu kama vijipele ya baridi, hasa sehemu zake za mikono shingo kifua na mapaja yake.
Naam, hapo Higgno akachukuwa kikombe kikubwa na kuchota maji, kisha wakatoka nje wakiongozana, nje walimkuta Laylah amesimama pembeni kidogo ya kibanda umbali kama wa mita kumi hivi, gari lilikuwa imeegeshwa kule barabarani, jiko nalo palionekana pamefunikwa bati kubwa sana na juu yake kulikuwa na mawe kadhaa makubwa, likiwa ni lengo la Higgno kuzuia viumbe walafi kama fisi wasije kupita na samaki au nyama, “nisubiri nipige mswaki tuondoke, “alisema Soraya kimueleza Laylah aliekuwa amevalia gauni refu na ushungi chwani mwake na viatu vya mikanda miguuni mwake, “sawa ila tujitahidi si unajuwa kuwa unatakiwa kuwahi ofisini” alisema Laylah, ambae sasa alikuwa anashindwa kuwatazama wawili hawa, waliokuwa wanaongozana kuelekea nyuma ya kibanda hiki cha udongo kilichoezekwa kwa vipande vya bati.
Wawili hawa walisaidiana kunawa huku Higgno akimsaidia Soraya kummiminia maji huku wakiongea mawili matatu, dakika chache baadae tayari Soraya alishajiandaa na kupewa baaddhi ya zawadi za kubeba kwao, ikiwa ni pamoja na kanga wa porini wazima na samaki walio banikwa, kisha wakaagana kwa furaha baada ya Higgno kuwa sindikiza mpaka kwenye gari akiwa amewabebea mihogo michache ambayo ilichimbwa haraka haraka kwasababu ya muda, wakina Soraya waliingia ndani ya gari na kuondoka bila kusema lolote kuhusu penzi lao, japo usoni kwake alionekana kujawa na furaha na aibu yakushindwa kumtazama Higgno usoni, hata gari ilipotoweka Higgno akabakia njia panda hakujuwa atampataje tena huyu mschana, “yaani ilibakia kidogo tu!” aliwaza Higgno wakati anarudi kibandani kwake.******
Yap! saa mbili kasoro dakika tano, ndio muda ambao Hilda alitoka nyumbani kwao na kuelekea Linjumbwi kwa mganga mabudi, kumpa matokeo ya kuungua kwa duka la bwana Frank, “hivi inawezekana tumefanya vile kwaajili ya dawa za mzee Mabudi?” aliwaza Hilda, ambae alianza kuhisi kuwa uamuzi wa kuchoma duka aliomshauri Talib ulikuwa ni nguvu za kishirikina za babu Mabudi, alisha sahau kuwa ni pombe bangi na kisasi cha Talib, “yule babu ni kiboko, yaani siku chache tu tayari mambo yamejipa, sasa leo ni kamwambie abadili dawa baada ya Higgno ampumbaze Talib, kwasababu wa kina Higgno watakuwa masikini” alijisemea Hilda, ambae alienda mbali na kuvuta picha jinsi Higgno atakavyo kuwa anasimama pembeni ya barabara, nakulitazama gari alilikuwa anaendesha Talib na yeye akikaa pembeni huku katoto kao kakicheza seat ya nyuma likiwa linapita mbele yake, “na akome kuingilia mambo ya watu” alisema Hilda ambae hakujuwa ni mambo gani ambayo Higgno aliyavuruga yanayo muhusu Talib.
Umande uliojaa kwenye nyasi zilizoinamia njia hafifu ya kuelekea mashambani huko Linjumbwi, ulimlowesha Hilda miguuni na kulowesha vumbi, lililo anza kung’ang’ania kwenye miguu ya Hilda na kutengeneza tope, ambalo lilianza kutengeneza utelezi uliosababisha mschana huyu mwenye akili kisoda kuvua kanda mbili zake na kwenda mwendo wa bata, yaani peku peku, huku kichwani mwake akiwaza jambo fulani ambalo alitamani sana kama angelipata kwa babu mabudi kabla hajaondoka kule Linjumbwi, hakuna kingine alitamani sana kuona dudu ya babu mabudi ikipenya kitumbuani kwake, alihitaji kuupata utamu alioupata siku ile kwa muda mfupi.********
Mzee Mahamud baada ya kuona na binti yake ambae alikuwa katika hali ya uchangamfu aliridhika sana, akanywa chai vizuri na kuaga kwa mke wake akielekea kule NMC ziliko ofisi za kampuni yake, huku njiani akiwaza mambo mawili matatu juu ya familia yake akianza na binti yake, “leo anaonekana ameamka akiwa mchangamfu sana, kumbe kubadili mazingira kume msaidia” aliwaza Mahamud ambae alikuwa anaendesha gari lake mwenyewe, ni lile Nissan patrol, “nadhani ni njia nzuri kwa Soraya kuondoa mawazo juu ya kile kilichotokea juzi” aliendelea kuwaza mzee Mahamud, ambae kiukweli, anampenda mwanae kupita kiasi, “Laylah, ni mschana mwema sana na ana tabia njema, maana amekuwa nae toka akiwa anasoma, sasa kama angekuwa ni mwenye tabia mbaya mpaka sasa Soraya angekuwa amesha onyesha tabia za ajabu, sina wasi wasi pale Soraya atakapo hitaji kwenda kulala kwa kwake maana kwa sasa ni kama rafiki yake tu!” aliwaza mzee Mahamud, ambae kuna kitu ambacho watu wengi hawakujuwa kuhusu yeye, ni kwamba Mahamud, alikuwa ni mtoto wa nje ya ndoa huko kwao oman, ni kwamba baba yake Abdulkarim tajiri mkubwa sana huko kwao Oman, alizaa na mfanyakazi wake wa ndani ambae pia alikuwa ni mschana mdogo masikini wa kiarabu, aliefahamika kwa jina la Aisha, kitendo hicho ambacho kilileta mtafaruku mkubwa ndani ya familia ya bwana Adulkarim yenye wake wanne na watoto kumi, na kutaka kuleta kashfa ya hali ya juu kwa tajiri huyu mkubwa nchini Oman, huku ndugu na jamaa pamoja na watoto wakubwa wa mzee huyu ambao walishafikisha miaka thelathini na mwingine ishirini na tano, walioshirikiana na mama zao kuhitaji kumuangamiza mtoto huyo wa kiume ikiwa ni chuki kubwa sana juu ya utajiri wa baba yao.
Hivyo basi mzee huyu tajiri akaenda kumficha Aisha na mwanae Mahamud kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni yake, ambae alikuwa anaishi na mfanyakazi wake toka nchini tanzania mkoa wa Ruvuma alieitwa Shani, ikiwa ni jina la kujibatiza kwaajili ya kupandia ndege kwenda omani, huku jina lake halisi likiwa ni Kachiki Matomondo.
Maisha yaliendelea huku Abdulkarim, akimtuma yule mfanyakazi wake wa kwenye kampuni yake kupeleka mahitaji kwa Aisha na kijana wake Mahamud ambae aliendelea kukuwa kwa kimo na akili, huku Aisha akiwa karibu sana na Shani ambae sasa ndie alikuwa kama rafiki yake, walitaniana na kuongea mambo mengi ya nchi aliyotokea Shani, ambae kwao alikuwa anaitwa Kachiki, ambae alimfundisha baadhi ya maneno ya Kiswahili na mpaka una katika mwaka tayari Aisha alikuwa anauwezo mdogo wa kuongea Kiswahili.
Siri haikudumu sana, kabla watoto wakubwa wa Abdulkarim hawajagundua sehemu ambayo mdogo wao alikuwa amefichwa, lakini mzee Abdulkarim aliweza kugundua hatari inayo mkaribia kijana wake mdogo, hivyo akaongea na yule mfanyakazi wake anaemtunza Aisha na kumuomba kuwa awasafirishe Aisha na Shani kwenda nchini Tanzania, ambako wangeishi huko maisha yao yote,
Ilikuwa hivyo Mahamud alisafiri akiwa na mwaka mmoja na nusu, mama yake akiwa na miaka ishirini na saba, wakiwa na akiba kubwa sana ya fedha, ambayo haikuwa msaada pekee toka kwa baba yake Mahamud, maana ile wanafika tu walipokelewa na tajiri mmoja ambae kwa nchi kama Tanzania tungesema ni mkubwa sana, ambae alikuwa ni mshirika wa kibiashara wa Abdulkarim, huyu anaitwa Shaban ambae hakuwa mwarabu kamili, ila alikuwa ni maarufu sana kwa ufadhili wa timu ya mpira wa miguu ya maji maji, ambayo ilikuwa inapatikana mkoa huo wa Ruvuma katika mji wa Songea, ambae alisha tumiwa fedha nyingi kwaaajili ya maandalizi ya kuwaandalia sehemu ya kufikia Mahamud na mama yake, huku akiwafungulia duka kubwa ambalo kwa kipindi kile kama lingemilikiwa na mwenyeji ilikuwa ni lazima uhojiwe na serikali na ueleze umetoa wapi mtaji wa kumiliki duka kama hilo, ukiachilia nyumba kubwa ambayo mpaka sasa Mahamud anaishi na familia yake, akiwa ameshaifanyia ukarabati mkubwa na kuongezea vijumba vidogo vidogo na uzio mkubwa,
Huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha ya Mahamud ambae alimpoteza mama yake akiwa na miaka ishirini na nne tu! miaka miwili baadae akaamua afunge ndoa na mama Soraya, ambae alisoma nae shule ya msingi na kupoteana sekondari wakija kukutana miaka sita baadae wakiwa wamesha maliza shule na Mahamud anafanya kazi ya kumsaidia mama yake katika biashara zake, na walidumu wakiwa marafiki mpaka mama yake yaani Aisha alipoaga dunia na yeye akakaa miaka miwili na kufunga ndoa na mama Soraya, ambae tayari alikuwa mjamzito, wa miezi nane, lakini sasa alikuwa anawasiliana na baba yake moja kwa moja, hata baada ya mwezi mmoja mke wake alijifungua salama mtoto wakike na ndie Soraya.
Miaka michache baadae Abdulkarim alibaini kuwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi mabaya ya kisukari, na ilishamshambulia kwa kiasi kikubwa sana, ukichanganya na uzee aliona kupona ni kazi ngumu sana, hivyo akampatia fedha nyingi sana mwanae na kumsaidia kufungua kampuni ya usafirishaji, ikiwa ni magari ya mizigo na magari ya abiria ya kisasa, akiwa ni mmoja wa watu walioleta mabasi ya kisasa nchi Tanzania na kujizolea abiria wengi sana, na ndio wakati ambao Abdulkarim alipoamua kuwapatanisha watoto wake, lakini ilikuwa ni vigumu sana kwao kukubaliana na baba yao.
Baada ya mzee Adulkarim kufariki na mazishi kufanyika huku Mahamud akihudhuria na familia yake, yaani mke wake na binti yao Soraya ambae alikuwa na miaka miwili, ndipo Mahamud alipoomba kuongea na ndugu zake akaomba kutambuliwa na ndugu zake kama yeye ni mdogo wao wa mwisho japo hakuhitaji chochote kinachohusu urithi wa baba yao, yeye alichohitaji wamtambue kama ndugu yao, licha ya kuwa alikuwa na ndugu zake upande wa mama yake, ambao wale wakaribu yeye ndie alielazimika kuwatunza na kuwapatia mitaji midogo midogo, ya biashara za kujikimu.
Ukweli baada ya kugawana mali za marehemu baba yao, kaka zake Mahamud ndipo walipo mkubali Mahamud kama ndugu huku wakimpatia shati na suruali kama urithi wa baba yao, sasa waliweza kushiriakiana na Mahaumd wakimtumia kama wakala wao kule Tanzania na biashara zao zikizidi kutanuka na kufanikiwa zaidi.
Sasa basi, Mahamud akiwa na Soraya kama mtoto wake wapekee, alimepnda sana na kumtunza vyema huku akiswali kila siku binti yake asikutane wala kupitia maisha aliyopitia mama yake, au yeye mwenyewe, na hii ndiyo sababu ya Mahamud kumpenda sana binti yake na hakutaka mtu yoyote aunyanyase moyo wa mwanae, hasa kwa watu wakaribu na mwanaume atakae muoa.
Mahamud aliingia eneo la ofisi yake, ambapo alikuta wafanyakazi wake wakiwa wanaendelea na kazi zao, lakini alishangaa kuona wakiwa wanamtazama kwa macho fulani ya kumshakia, (kumtilia shaka) yeye hakujali sana akashuka kama ilivyo kawaida, akaingia ndani ya ofisi na kujifungia kisha akajikagua pengine alikuwa amevaa tofauti ndio maana wafanyakazi wake wana mtazama kwa macho ya mashaka, lakini alikuwa sawa kabisa hakuwa na dosari yoyote.*******
Kitu ambacho bwana Mahamud hakuwa anakijuwa toka jana usiku kuna baadhi ya watu walikuwa wana tumiana sms kuwa imebaini kuwa tajiri mkubwa Mahamud ana lazimika kulala na binti yake kingono, ikiwa ni imani ya kishirikina ambayo ina husishwa na biashara yake ya usafirishaji, sms ziliendelea kueleza kuwa jambo hilo linalo fanywa na Mahamud ni kwamba hata mke wake analifahamu na hawezi kuliacha kwasababu ya kuokoa biashara yao, ikiwa ni shariti la mganga wao ndio maana wanatumia kila njia kumzuia binti yao asiolewe na kijana Idd Mahadhi, mwisho ukimalizia kwa kusema, “watumie wenzako wafahamu”.
Ukweli ujumbe ule ulisambaa kwa kasi ya ajabu, watu wakitumiana kwa fujo, ukweli watu wengi walishtuka sana kwa tukio lile japo mschana mwenye anaezungumziwa kwasababu hakuwa na umaarufu sana kutokana na kujifungia sana ndani na kujiziba uso anapotoka nyumbani kwao, pia wapo waliopingaswala hili kwasababu wanamfahamu Idd kuwa ni kijana muhuni anaevaa kanzu kama kificho cha mambo yake.
Kwa muda mfupi taarifa hizi zilisambaa karibu nusu ya eneo lote la katikati ya mji wa songea.******
Soraya na Laylah walioanza safari kimya kimya, walitembea huku kila mmoja akitafakari la kwake kichwani mwake, “mh! yule kijana akivua shati anaonekana ni mzuri sana, Soraya amefaidi usiku kucha” hayo yalikuwa mawazo ya Laylah, ambae alikuwa anaendesha gari kwa speed ya kawaida, huku mara chache akimtazama Soraya kwa kioo cha kati cha kutazamia nyuma, akimuona Soraya akijitabasamia mwenyewe.
Naam baada ya kutembea kwa mwendo wa mita kama mia tano hivi, wakiwa wameshakianza kijiji cha chem chem, ndipo Laylah, alipovunja ukimya, “Soraya hujaniambia kilichotokea au ni siri yako?” aliuliza Laylah huku akiendelea kutazama mbele, na kulenga barabara, Soraya alicheka “yaani tumeongea weee! tumelala pamoja mpaka asubuhi, kumbe anaongea vizuri tu!” alisema Soraya, akionekana kuwa katika hali ya uchangamfu kubwa, “hukuogopa kufanya?” aliuliza Laylah, ambae kikawaida ni mwenye umri mkubwa sana kwa Soraya, “mh! kwani nimefanya nae?, waalaaa hatujafanya lolote” alisema Soraya, kwa sauti ya kukataa, “mh! lakini mmekubaliana kuwa wapenzi sio?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya mshangao, maana kwa hali aliyoikuta pale kibandani halafu umwambie hawajafanya lolote usku kucha, kwa kweli kwa mwanaume rijali mbele ya mschana kama Soraya, ambae kiuhalisia kila mwanaume anaitamani nafasi ile kama ilivyo wakina Daudi 1 mhanuzi wangu finyango miana amor Che mittoga Tumwesige senior Mahimbo Jr, halafu usiguse kitumbua, “ndiyo Higgno sasa ni mpenzi wangu” alisema Soraya akionekana kuwa mwenye raha moyoni mwake, “mh! da’Soraya, kweli kuna uzima hapo?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya kutia shaka, “tatizo gani Laylah, Higgno ananidanganya?” aliuliza Soraya kwa sauti ya mshtuko, maana alikuwa anaamini kuwa Laylah anafahamu mambo mengi kuhusu wanaume na mapenzi, “hapana hakuna mwanaume anaeweza kukudanganya, labda unaweza kuwa umempata mwanaume ambae sio sahihi, amekuambiaje kuhusu mwanamke wake wa zamani?” aliuliza Laylah, hapo Soraya akajibu kwa furaha, “wenzio wote tumekutana, na yeye hajwahi kuwa na mwanamke” alisema Soraya na hapo Layla akaguna kidogo, “mh! nilijuwa tu, wee! mwanaume kabisaaaa akuache usiku kucha” alisema Laylah, kwa sauti ya mashaka, “kwanini unasema hivyo dada Laylah, umaana Higgno..” kabla hajamaliza kuuliza, akashangaa kuona Laylah, akisimamisha gari pembeni ya barabara, kisha akageuka na kumtazama Soraya, “sikia Soraya ulishawahi kusikia habari za wanaume ambao hawana uwezo wa kufanya mapenzi?” aliuliza Laylah, “mh! sijawahi kusikia” alikataa Soraya kuwa hajawahi kusikia, “sasa kuna wanaume ambao hawana uwezo wakufanya mapenzi hata umfanyaje” alisema Laylah akishindwa kufafanua, japo alikuwa anamaanisha kuwa jamaa inawezekana kuwa jogoo wake hawezi kupanda juu ya mtungi, “kwahiyo nitajuwaje?” aliuliza Soraya kwa sauti ambayo ilianza kukata tamaa, maana hakujuwa huyo mwanaume anakuwaje kuwaje, “ukweli hata mimi sijawahi kumuona mwanaume wa hivyo lakini mwanaume yoyote yule akilala na mwanamke na kugusana nae lazima atataka kufanya mapenzi” alisema Laylah na hapo wakaongea mawili matatu, kisha Soraya akatoa maamuzi, “basi leo nitaenda kumjaribu” alisema Soraya na hapo wakakubaliana kuwa na leo Soraya akalale kwa Higgno kwaajili ya kumjaribu kama ana uwezo wa kufanya mapenzi, lakini hakujuwa kuwa kusimamisha dudu ni dalili ya kuwa na uwezo wa kufanya mapenzi, “mh! baba atakubali kweli?” aliuliza Laylah, huku ana ingiza gia namba moja na kuondoa gari taratibu, “tutaanza kumueleza tukifika tu!” alisema Soraya, huku anamtazama mzee moja aliekuwa anakuja mbele yao na baiskeri huku macho yake yakilitazama gari lao, “hooo! Laylah simamisha gari huyo mzee ndiyo atakuwa mshenga” alipiga kelele Soraya, huku akimtazama yule mzee ambae alionekana wazi kuhitaji kuongea na Soraya, maana alikuwa anashuka toka kwenye baiskeri na kuvuka barabara akilifuata gari ambalo lilikuwa limesha simama kwa mara ya pili, haya jioni soraya anaenda kwa higg wizzy kutesti mitambo, wale wenye kiu ya kutaka kujuwa kama Higgno atafanikiwa kutatua nyuzi tukutane jioni... ITAENDELEA
Kwamba akamjaribu🤣😂🤣😂🤣😂
Ngoja lizame tuone Nini kitamkuta shemeji Mjaribuji.
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI : Wote wakijihisi mikojo imebana na kuwatekenya sehemu zao za siri, kila kiungo cha uzazi cha kila mmoja wao kikitamani kupewa haki yake, .“Higgno tujaribu kufanya” alinong’ona Soraya kwa sauti iliyozidiwa na pumzi ambazo sasa ni kama zilikuwa zina mtoka juu juu, huku anaivuta dudu kuitoa ndani ya kaptulah, “hoo! samahani jamani kumbe bado mumelala” wote walishtushwa na sauti ya kike…….. ENDELEA………….
Toka mlangoni kwa haraka sana na mshtuko wa hali ya juu, Soraya aliacha alichokuwa anakifanya kwa kuisokomeza dudu ndani ya bukta huku Higgno akimfunika haraka Soraya na wote wakatazama mlango ambao ulikuwa umezuiliwa na kichanja cha miazi, ambacho kilikuwa nusu wazi, wakamuona Layla akiwa amesimama mahali hapo ana wakodolea macho, “hooo! Laylah mbona mapema sana, kwani saa hizi ni saangapi?” aliuliza Soraya huku wote yaani yeye na Higgno wanainuka toka kitandani, inakaribia saa moja na nusu da’ Soraya nimepigiwa simu na baba nikamwambia kuwa unaoga” alielezea Laylah, huku anarudi nyuma asitazame kile alichokiona mbele ya kapturah ya Higgno kijana mpole, “sijui alinipigia?” aliuliza Soraya huku anaenda kwenye meza ndogo alipoweka simu yake akaichukuwa na kutazama, kwanza alikutana na miseed call ya baba yake kisha akatazama muda, ilikuwa ni saa moja na dakika ishirini na saba, “sikuisikia hata kidogo” alisema Soraya huku anaiweka simu mezani na kupeleka mkono kwenye mkoba wake, lakini kabla hajaufungua ni kama aliona kitu fulani pale mezani, akaghairi kufungua mkoba, “hoo! Higgno kumbe una simu, basi utanipatia namba yako” alisema Soraya huku anachukuwa simu nyingine ndogo iliyokuwa mezani, “hapana sio simu yangu, ni ya wale jamaa walio kuvamia siku ile pale shambani kwako” alisema Higgno huku akionyesha wazi kujawa na aibu kwa kufumaniwa na Laylah, ambae sasa alikuwa ametoka nje kabisa, “mh! kumbe uliwapiga mpaka wakakimbia na kuacha simu yao?” aliuliza Soraya huku anaitazama ile simu, ambayo ni kweli ilifanana sana na ile ya wale jamaa waliomteka, simu ambayo walikuwa wanaitumia kuogea na baba yake na pia kutumiana ujumbe na mtu aliekuwa anawapa maelekezo.
Naam wakati Soraya anaitazama ile simu mara akasikia simu yake inaita, akaitazama ikiwa pale mezani akaona jina la mpigaji ni baba yake, akaichukuwa na kuipokea, “assalamu alaykum baba” alisalimia Soraya kwa sauti ya upole na tulivu, “waalaykum salam Soraya, vipi umeamka salama?” aliuliza Mzee Mahamud kwa sauti iliyo changamka, “nimeamka salama baba ndio najiandaa kurudi nyumbani” alisema Soraya huku akimtazama Higgno kwa sura ya tabasamu, “ok! mimi naelekea ofisini jitahidi uwahi kufika ofisini ili tuyachambue yale majina na kuyapa kipa umbele yale tunayo yahitaji” alisema mzee Mahamud kwa sauti ile ile changamfu, “sawa baba sasa hivi nitawahi nyumbani kubadili nguo na kuwahi ofisini, “alisema Soraya kwa uchangamfu, kisha wakakata simu, Soraya akamgeukia Higgno kwa macho ya tabasamu, macho yao yakakutana, hivi ukikutana na baba yangu hauto muogopa?” aliuliza Soraya huku anageuka na kuchukuwa mswaki kwenye mkoba wake akauweka dawa na kumgeukia tena Higgno, “mh! kwanini nimuogope, labda kama nitakuwa nime mkosea jambo fulani” alisema Higgno, “kwani huoni kama kulala na mtoto wake wa pekee ni kumkosea?” alisema Soraya kwa sauti ya utani, huku anamsoegelea zaidi Higgno, lakini akishindwa kumtazama usoni, “kweli hapo tume mkosea” alisema Higgno huku akimuona Soraya anamkubatia kwa kuzungusha mikono mabegani kwake, “usiogope sisi ni wapenzi, ni haki yetu kulala pamoja” ilikuwa ni sauti ya kunong’ona toka kwa Soraya ambae alijiunganisha na Higgno kuanzia kifua tumbo na hata kinena chake, ambacho kilikuwa kimeguswa na dudu ya Higgno, iliyo simama kweli kweli, mguso ambao ulimfanya Soraya ajihisi msisimko ule ule kama alioupata kitandani, akaona isiwe tabu, hivyo akajitoa kwa Higgno, “naomba maji ya kupigia mswaki” alisema Soraya kwa sauti iliyomezwa na pumzi nzito iliyosababishwa na kuzidiwa na msisiko ambao ulipelekea ngozi ya mschana huyu iweke vitu kama vijipele ya baridi, hasa sehemu zake za mikono shingo kifua na mapaja yake.
Naam, hapo Higgno akachukuwa kikombe kikubwa na kuchota maji, kisha wakatoka nje wakiongozana, nje walimkuta Laylah amesimama pembeni kidogo ya kibanda umbali kama wa mita kumi hivi, gari lilikuwa imeegeshwa kule barabarani, jiko nalo palionekana pamefunikwa bati kubwa sana na juu yake kulikuwa na mawe kadhaa makubwa, likiwa ni lengo la Higgno kuzuia viumbe walafi kama fisi wasije kupita na samaki au nyama, “nisubiri nipige mswaki tuondoke, “alisema Soraya kimueleza Laylah aliekuwa amevalia gauni refu na ushungi chwani mwake na viatu vya mikanda miguuni mwake, “sawa ila tujitahidi si unajuwa kuwa unatakiwa kuwahi ofisini” alisema Laylah, ambae sasa alikuwa anashindwa kuwatazama wawili hawa, waliokuwa wanaongozana kuelekea nyuma ya kibanda hiki cha udongo kilichoezekwa kwa vipande vya bati.
Wawili hawa walisaidiana kunawa huku Higgno akimsaidia Soraya kummiminia maji huku wakiongea mawili matatu, dakika chache baadae tayari Soraya alishajiandaa na kupewa baaddhi ya zawadi za kubeba kwao, ikiwa ni pamoja na kanga wa porini wazima na samaki walio banikwa, kisha wakaagana kwa furaha baada ya Higgno kuwa sindikiza mpaka kwenye gari akiwa amewabebea mihogo michache ambayo ilichimbwa haraka haraka kwasababu ya muda, wakina Soraya waliingia ndani ya gari na kuondoka bila kusema lolote kuhusu penzi lao, japo usoni kwake alionekana kujawa na furaha na aibu yakushindwa kumtazama Higgno usoni, hata gari ilipotoweka Higgno akabakia njia panda hakujuwa atampataje tena huyu mschana, “yaani ilibakia kidogo tu!” aliwaza Higgno wakati anarudi kibandani kwake.******
Yap! saa mbili kasoro dakika tano, ndio muda ambao Hilda alitoka nyumbani kwao na kuelekea Linjumbwi kwa mganga mabudi, kumpa matokeo ya kuungua kwa duka la bwana Frank, “hivi inawezekana tumefanya vile kwaajili ya dawa za mzee Mabudi?” aliwaza Hilda, ambae alianza kuhisi kuwa uamuzi wa kuchoma duka aliomshauri Talib ulikuwa ni nguvu za kishirikina za babu Mabudi, alisha sahau kuwa ni pombe bangi na kisasi cha Talib, “yule babu ni kiboko, yaani siku chache tu tayari mambo yamejipa, sasa leo ni kamwambie abadili dawa baada ya Higgno ampumbaze Talib, kwasababu wa kina Higgno watakuwa masikini” alijisemea Hilda, ambae alienda mbali na kuvuta picha jinsi Higgno atakavyo kuwa anasimama pembeni ya barabara, nakulitazama gari alilikuwa anaendesha Talib na yeye akikaa pembeni huku katoto kao kakicheza seat ya nyuma likiwa linapita mbele yake, “na akome kuingilia mambo ya watu” alisema Hilda ambae hakujuwa ni mambo gani ambayo Higgno aliyavuruga yanayo muhusu Talib.
Umande uliojaa kwenye nyasi zilizoinamia njia hafifu ya kuelekea mashambani huko Linjumbwi, ulimlowesha Hilda miguuni na kulowesha vumbi, lililo anza kung’ang’ania kwenye miguu ya Hilda na kutengeneza tope, ambalo lilianza kutengeneza utelezi uliosababisha mschana huyu mwenye akili kisoda kuvua kanda mbili zake na kwenda mwendo wa bata, yaani peku peku, huku kichwani mwake akiwaza jambo fulani ambalo alitamani sana kama angelipata kwa babu mabudi kabla hajaondoka kule Linjumbwi, hakuna kingine alitamani sana kuona dudu ya babu mabudi ikipenya kitumbuani kwake, alihitaji kuupata utamu alioupata siku ile kwa muda mfupi.********
Mzee Mahamud baada ya kuona na binti yake ambae alikuwa katika hali ya uchangamfu aliridhika sana, akanywa chai vizuri na kuaga kwa mke wake akielekea kule NMC ziliko ofisi za kampuni yake, huku njiani akiwaza mambo mawili matatu juu ya familia yake akianza na binti yake, “leo anaonekana ameamka akiwa mchangamfu sana, kumbe kubadili mazingira kume msaidia” aliwaza Mahamud ambae alikuwa anaendesha gari lake mwenyewe, ni lile Nissan patrol, “nadhani ni njia nzuri kwa Soraya kuondoa mawazo juu ya kile kilichotokea juzi” aliendelea kuwaza mzee Mahamud, ambae kiukweli, anampenda mwanae kupita kiasi, “Laylah, ni mschana mwema sana na ana tabia njema, maana amekuwa nae toka akiwa anasoma, sasa kama angekuwa ni mwenye tabia mbaya mpaka sasa Soraya angekuwa amesha onyesha tabia za ajabu, sina wasi wasi pale Soraya atakapo hitaji kwenda kulala kwa kwake maana kwa sasa ni kama rafiki yake tu!” aliwaza mzee Mahamud, ambae kuna kitu ambacho watu wengi hawakujuwa kuhusu yeye, ni kwamba Mahamud, alikuwa ni mtoto wa nje ya ndoa huko kwao oman, ni kwamba baba yake Abdulkarim tajiri mkubwa sana huko kwao Oman, alizaa na mfanyakazi wake wa ndani ambae pia alikuwa ni mschana mdogo masikini wa kiarabu, aliefahamika kwa jina la Aisha, kitendo hicho ambacho kilileta mtafaruku mkubwa ndani ya familia ya bwana Adulkarim yenye wake wanne na watoto kumi, na kutaka kuleta kashfa ya hali ya juu kwa tajiri huyu mkubwa nchini Oman, huku ndugu na jamaa pamoja na watoto wakubwa wa mzee huyu ambao walishafikisha miaka thelathini na mwingine ishirini na tano, walioshirikiana na mama zao kuhitaji kumuangamiza mtoto huyo wa kiume ikiwa ni chuki kubwa sana juu ya utajiri wa baba yao.
Hivyo basi mzee huyu tajiri akaenda kumficha Aisha na mwanae Mahamud kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni yake, ambae alikuwa anaishi na mfanyakazi wake toka nchini tanzania mkoa wa Ruvuma alieitwa Shani, ikiwa ni jina la kujibatiza kwaajili ya kupandia ndege kwenda omani, huku jina lake halisi likiwa ni Kachiki Matomondo.
Maisha yaliendelea huku Abdulkarim, akimtuma yule mfanyakazi wake wa kwenye kampuni yake kupeleka mahitaji kwa Aisha na kijana wake Mahamud ambae aliendelea kukuwa kwa kimo na akili, huku Aisha akiwa karibu sana na Shani ambae sasa ndie alikuwa kama rafiki yake, walitaniana na kuongea mambo mengi ya nchi aliyotokea Shani, ambae kwao alikuwa anaitwa Kachiki, ambae alimfundisha baadhi ya maneno ya Kiswahili na mpaka una katika mwaka tayari Aisha alikuwa anauwezo mdogo wa kuongea Kiswahili.
Siri haikudumu sana, kabla watoto wakubwa wa Abdulkarim hawajagundua sehemu ambayo mdogo wao alikuwa amefichwa, lakini mzee Abdulkarim aliweza kugundua hatari inayo mkaribia kijana wake mdogo, hivyo akaongea na yule mfanyakazi wake anaemtunza Aisha na kumuomba kuwa awasafirishe Aisha na Shani kwenda nchini Tanzania, ambako wangeishi huko maisha yao yote,
Ilikuwa hivyo Mahamud alisafiri akiwa na mwaka mmoja na nusu, mama yake akiwa na miaka ishirini na saba, wakiwa na akiba kubwa sana ya fedha, ambayo haikuwa msaada pekee toka kwa baba yake Mahamud, maana ile wanafika tu walipokelewa na tajiri mmoja ambae kwa nchi kama Tanzania tungesema ni mkubwa sana, ambae alikuwa ni mshirika wa kibiashara wa Abdulkarim, huyu anaitwa Shaban ambae hakuwa mwarabu kamili, ila alikuwa ni maarufu sana kwa ufadhili wa timu ya mpira wa miguu ya maji maji, ambayo ilikuwa inapatikana mkoa huo wa Ruvuma katika mji wa Songea, ambae alisha tumiwa fedha nyingi kwaaajili ya maandalizi ya kuwaandalia sehemu ya kufikia Mahamud na mama yake, huku akiwafungulia duka kubwa ambalo kwa kipindi kile kama lingemilikiwa na mwenyeji ilikuwa ni lazima uhojiwe na serikali na ueleze umetoa wapi mtaji wa kumiliki duka kama hilo, ukiachilia nyumba kubwa ambayo mpaka sasa Mahamud anaishi na familia yake, akiwa ameshaifanyia ukarabati mkubwa na kuongezea vijumba vidogo vidogo na uzio mkubwa,
Huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha ya Mahamud ambae alimpoteza mama yake akiwa na miaka ishirini na nne tu! miaka miwili baadae akaamua afunge ndoa na mama Soraya, ambae alisoma nae shule ya msingi na kupoteana sekondari wakija kukutana miaka sita baadae wakiwa wamesha maliza shule na Mahamud anafanya kazi ya kumsaidia mama yake katika biashara zake, na walidumu wakiwa marafiki mpaka mama yake yaani Aisha alipoaga dunia na yeye akakaa miaka miwili na kufunga ndoa na mama Soraya, ambae tayari alikuwa mjamzito, wa miezi nane, lakini sasa alikuwa anawasiliana na baba yake moja kwa moja, hata baada ya mwezi mmoja mke wake alijifungua salama mtoto wakike na ndie Soraya.
Miaka michache baadae Abdulkarim alibaini kuwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi mabaya ya kisukari, na ilishamshambulia kwa kiasi kikubwa sana, ukichanganya na uzee aliona kupona ni kazi ngumu sana, hivyo akampatia fedha nyingi sana mwanae na kumsaidia kufungua kampuni ya usafirishaji, ikiwa ni magari ya mizigo na magari ya abiria ya kisasa, akiwa ni mmoja wa watu walioleta mabasi ya kisasa nchi Tanzania na kujizolea abiria wengi sana, na ndio wakati ambao Abdulkarim alipoamua kuwapatanisha watoto wake, lakini ilikuwa ni vigumu sana kwao kukubaliana na baba yao.
Baada ya mzee Adulkarim kufariki na mazishi kufanyika huku Mahamud akihudhuria na familia yake, yaani mke wake na binti yao Soraya ambae alikuwa na miaka miwili, ndipo Mahamud alipoomba kuongea na ndugu zake akaomba kutambuliwa na ndugu zake kama yeye ni mdogo wao wa mwisho japo hakuhitaji chochote kinachohusu urithi wa baba yao, yeye alichohitaji wamtambue kama ndugu yao, licha ya kuwa alikuwa na ndugu zake upande wa mama yake, ambao wale wakaribu yeye ndie alielazimika kuwatunza na kuwapatia mitaji midogo midogo, ya biashara za kujikimu.
Ukweli baada ya kugawana mali za marehemu baba yao, kaka zake Mahamud ndipo walipo mkubali Mahamud kama ndugu huku wakimpatia shati na suruali kama urithi wa baba yao, sasa waliweza kushiriakiana na Mahaumd wakimtumia kama wakala wao kule Tanzania na biashara zao zikizidi kutanuka na kufanikiwa zaidi.
Sasa basi, Mahamud akiwa na Soraya kama mtoto wake wapekee, alimepnda sana na kumtunza vyema huku akiswali kila siku binti yake asikutane wala kupitia maisha aliyopitia mama yake, au yeye mwenyewe, na hii ndiyo sababu ya Mahamud kumpenda sana binti yake na hakutaka mtu yoyote aunyanyase moyo wa mwanae, hasa kwa watu wakaribu na mwanaume atakae muoa.
Mahamud aliingia eneo la ofisi yake, ambapo alikuta wafanyakazi wake wakiwa wanaendelea na kazi zao, lakini alishangaa kuona wakiwa wanamtazama kwa macho fulani ya kumshakia, (kumtilia shaka) yeye hakujali sana akashuka kama ilivyo kawaida, akaingia ndani ya ofisi na kujifungia kisha akajikagua pengine alikuwa amevaa tofauti ndio maana wafanyakazi wake wana mtazama kwa macho ya mashaka, lakini alikuwa sawa kabisa hakuwa na dosari yoyote.*******
Kitu ambacho bwana Mahamud hakuwa anakijuwa toka jana usiku kuna baadhi ya watu walikuwa wana tumiana sms kuwa imebaini kuwa tajiri mkubwa Mahamud ana lazimika kulala na binti yake kingono, ikiwa ni imani ya kishirikina ambayo ina husishwa na biashara yake ya usafirishaji, sms ziliendelea kueleza kuwa jambo hilo linalo fanywa na Mahamud ni kwamba hata mke wake analifahamu na hawezi kuliacha kwasababu ya kuokoa biashara yao, ikiwa ni shariti la mganga wao ndio maana wanatumia kila njia kumzuia binti yao asiolewe na kijana Idd Mahadhi, mwisho ukimalizia kwa kusema, “watumie wenzako wafahamu”.
Ukweli ujumbe ule ulisambaa kwa kasi ya ajabu, watu wakitumiana kwa fujo, ukweli watu wengi walishtuka sana kwa tukio lile japo mschana mwenye anaezungumziwa kwasababu hakuwa na umaarufu sana kutokana na kujifungia sana ndani na kujiziba uso anapotoka nyumbani kwao, pia wapo waliopingaswala hili kwasababu wanamfahamu Idd kuwa ni kijana muhuni anaevaa kanzu kama kificho cha mambo yake.
Kwa muda mfupi taarifa hizi zilisambaa karibu nusu ya eneo lote la katikati ya mji wa songea.******
Soraya na Laylah walioanza safari kimya kimya, walitembea huku kila mmoja akitafakari la kwake kichwani mwake, “mh! yule kijana akivua shati anaonekana ni mzuri sana, Soraya amefaidi usiku kucha” hayo yalikuwa mawazo ya Laylah, ambae alikuwa anaendesha gari kwa speed ya kawaida, huku mara chache akimtazama Soraya kwa kioo cha kati cha kutazamia nyuma, akimuona Soraya akijitabasamia mwenyewe.
Naam baada ya kutembea kwa mwendo wa mita kama mia tano hivi, wakiwa wameshakianza kijiji cha chem chem, ndipo Laylah, alipovunja ukimya, “Soraya hujaniambia kilichotokea au ni siri yako?” aliuliza Laylah huku akiendelea kutazama mbele, na kulenga barabara, Soraya alicheka “yaani tumeongea weee! tumelala pamoja mpaka asubuhi, kumbe anaongea vizuri tu!” alisema Soraya, akionekana kuwa katika hali ya uchangamfu kubwa, “hukuogopa kufanya?” aliuliza Laylah, ambae kikawaida ni mwenye umri mkubwa sana kwa Soraya, “mh! kwani nimefanya nae?, waalaaa hatujafanya lolote” alisema Soraya, kwa sauti ya kukataa, “mh! lakini mmekubaliana kuwa wapenzi sio?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya mshangao, maana kwa hali aliyoikuta pale kibandani halafu umwambie hawajafanya lolote usku kucha, kwa kweli kwa mwanaume rijali mbele ya mschana kama Soraya, ambae kiuhalisia kila mwanaume anaitamani nafasi ile kama ilivyo wakina Daudi 1 mhanuzi wangu finyango miana amor Che mittoga Tumwesige senior Mahimbo Jr, halafu usiguse kitumbua, “ndiyo Higgno sasa ni mpenzi wangu” alisema Soraya akionekana kuwa mwenye raha moyoni mwake, “mh! da’Soraya, kweli kuna uzima hapo?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya kutia shaka, “tatizo gani Laylah, Higgno ananidanganya?” aliuliza Soraya kwa sauti ya mshtuko, maana alikuwa anaamini kuwa Laylah anafahamu mambo mengi kuhusu wanaume na mapenzi, “hapana hakuna mwanaume anaeweza kukudanganya, labda unaweza kuwa umempata mwanaume ambae sio sahihi, amekuambiaje kuhusu mwanamke wake wa zamani?” aliuliza Laylah, hapo Soraya akajibu kwa furaha, “wenzio wote tumekutana, na yeye hajwahi kuwa na mwanamke” alisema Soraya na hapo Layla akaguna kidogo, “mh! nilijuwa tu, wee! mwanaume kabisaaaa akuache usiku kucha” alisema Laylah, kwa sauti ya mashaka, “kwanini unasema hivyo dada Laylah, umaana Higgno..” kabla hajamaliza kuuliza, akashangaa kuona Laylah, akisimamisha gari pembeni ya barabara, kisha akageuka na kumtazama Soraya, “sikia Soraya ulishawahi kusikia habari za wanaume ambao hawana uwezo wa kufanya mapenzi?” aliuliza Laylah, “mh! sijawahi kusikia” alikataa Soraya kuwa hajawahi kusikia, “sasa kuna wanaume ambao hawana uwezo wakufanya mapenzi hata umfanyaje” alisema Laylah akishindwa kufafanua, japo alikuwa anamaanisha kuwa jamaa inawezekana kuwa jogoo wake hawezi kupanda juu ya mtungi, “kwahiyo nitajuwaje?” aliuliza Soraya kwa sauti ambayo ilianza kukata tamaa, maana hakujuwa huyo mwanaume anakuwaje kuwaje, “ukweli hata mimi sijawahi kumuona mwanaume wa hivyo lakini mwanaume yoyote yule akilala na mwanamke na kugusana nae lazima atataka kufanya mapenzi” alisema Laylah na hapo wakaongea mawili matatu, kisha Soraya akatoa maamuzi, “basi leo nitaenda kumjaribu” alisema Soraya na hapo wakakubaliana kuwa na leo Soraya akalale kwa Higgno kwaajili ya kumjaribu kama ana uwezo wa kufanya mapenzi, lakini hakujuwa kuwa kusimamisha dudu ni dalili ya kuwa na uwezo wa kufanya mapenzi, “mh! baba atakubali kweli?” aliuliza Laylah, huku ana ingiza gia namba moja na kuondoa gari taratibu, “tutaanza kumueleza tukifika tu!” alisema Soraya, huku anamtazama mzee moja aliekuwa anakuja mbele yao na baiskeri huku macho yake yakilitazama gari lao, “hooo! Laylah simamisha gari huyo mzee ndiyo atakuwa mshenga” alipiga kelele Soraya, huku akimtazama yule mzee ambae alionekana wazi kuhitaji kuongea na Soraya, maana alikuwa anashuka toka kwenye baiskeri na kuvuka barabara akilifuata gari ambalo lilikuwa limesha simama kwa mara ya pili, haya jioni soraya anaenda kwa higg wizzy kutesti mitambo, wale wenye kiu ya kutaka kujuwa kama Higgno atafanikiwa kutatua nyuzi tukutane jioni... ITAENDELEA
Baba. Awe mshenga semadingi sela lazima ampange mwanae
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI : Wote wakijihisi mikojo imebana na kuwatekenya sehemu zao za siri, kila kiungo cha uzazi cha kila mmoja wao kikitamani kupewa haki yake, .“Higgno tujaribu kufanya” alinong’ona Soraya kwa sauti iliyozidiwa na pumzi ambazo sasa ni kama zilikuwa zina mtoka juu juu, huku anaivuta dudu kuitoa ndani ya kaptulah, “hoo! samahani jamani kumbe bado mumelala” wote walishtushwa na sauti ya kike…….. ENDELEA………….
Toka mlangoni kwa haraka sana na mshtuko wa hali ya juu, Soraya aliacha alichokuwa anakifanya kwa kuisokomeza dudu ndani ya bukta huku Higgno akimfunika haraka Soraya na wote wakatazama mlango ambao ulikuwa umezuiliwa na kichanja cha miazi, ambacho kilikuwa nusu wazi, wakamuona Layla akiwa amesimama mahali hapo ana wakodolea macho, “hooo! Laylah mbona mapema sana, kwani saa hizi ni saangapi?” aliuliza Soraya huku wote yaani yeye na Higgno wanainuka toka kitandani, inakaribia saa moja na nusu da’ Soraya nimepigiwa simu na baba nikamwambia kuwa unaoga” alielezea Laylah, huku anarudi nyuma asitazame kile alichokiona mbele ya kapturah ya Higgno kijana mpole, “sijui alinipigia?” aliuliza Soraya huku anaenda kwenye meza ndogo alipoweka simu yake akaichukuwa na kutazama, kwanza alikutana na miseed call ya baba yake kisha akatazama muda, ilikuwa ni saa moja na dakika ishirini na saba, “sikuisikia hata kidogo” alisema Soraya huku anaiweka simu mezani na kupeleka mkono kwenye mkoba wake, lakini kabla hajaufungua ni kama aliona kitu fulani pale mezani, akaghairi kufungua mkoba, “hoo! Higgno kumbe una simu, basi utanipatia namba yako” alisema Soraya huku anachukuwa simu nyingine ndogo iliyokuwa mezani, “hapana sio simu yangu, ni ya wale jamaa walio kuvamia siku ile pale shambani kwako” alisema Higgno huku akionyesha wazi kujawa na aibu kwa kufumaniwa na Laylah, ambae sasa alikuwa ametoka nje kabisa, “mh! kumbe uliwapiga mpaka wakakimbia na kuacha simu yao?” aliuliza Soraya huku anaitazama ile simu, ambayo ni kweli ilifanana sana na ile ya wale jamaa waliomteka, simu ambayo walikuwa wanaitumia kuogea na baba yake na pia kutumiana ujumbe na mtu aliekuwa anawapa maelekezo.
Naam wakati Soraya anaitazama ile simu mara akasikia simu yake inaita, akaitazama ikiwa pale mezani akaona jina la mpigaji ni baba yake, akaichukuwa na kuipokea, “assalamu alaykum baba” alisalimia Soraya kwa sauti ya upole na tulivu, “waalaykum salam Soraya, vipi umeamka salama?” aliuliza Mzee Mahamud kwa sauti iliyo changamka, “nimeamka salama baba ndio najiandaa kurudi nyumbani” alisema Soraya huku akimtazama Higgno kwa sura ya tabasamu, “ok! mimi naelekea ofisini jitahidi uwahi kufika ofisini ili tuyachambue yale majina na kuyapa kipa umbele yale tunayo yahitaji” alisema mzee Mahamud kwa sauti ile ile changamfu, “sawa baba sasa hivi nitawahi nyumbani kubadili nguo na kuwahi ofisini, “alisema Soraya kwa uchangamfu, kisha wakakata simu, Soraya akamgeukia Higgno kwa macho ya tabasamu, macho yao yakakutana, hivi ukikutana na baba yangu hauto muogopa?” aliuliza Soraya huku anageuka na kuchukuwa mswaki kwenye mkoba wake akauweka dawa na kumgeukia tena Higgno, “mh! kwanini nimuogope, labda kama nitakuwa nime mkosea jambo fulani” alisema Higgno, “kwani huoni kama kulala na mtoto wake wa pekee ni kumkosea?” alisema Soraya kwa sauti ya utani, huku anamsoegelea zaidi Higgno, lakini akishindwa kumtazama usoni, “kweli hapo tume mkosea” alisema Higgno huku akimuona Soraya anamkubatia kwa kuzungusha mikono mabegani kwake, “usiogope sisi ni wapenzi, ni haki yetu kulala pamoja” ilikuwa ni sauti ya kunong’ona toka kwa Soraya ambae alijiunganisha na Higgno kuanzia kifua tumbo na hata kinena chake, ambacho kilikuwa kimeguswa na dudu ya Higgno, iliyo simama kweli kweli, mguso ambao ulimfanya Soraya ajihisi msisimko ule ule kama alioupata kitandani, akaona isiwe tabu, hivyo akajitoa kwa Higgno, “naomba maji ya kupigia mswaki” alisema Soraya kwa sauti iliyomezwa na pumzi nzito iliyosababishwa na kuzidiwa na msisiko ambao ulipelekea ngozi ya mschana huyu iweke vitu kama vijipele ya baridi, hasa sehemu zake za mikono shingo kifua na mapaja yake.
Naam, hapo Higgno akachukuwa kikombe kikubwa na kuchota maji, kisha wakatoka nje wakiongozana, nje walimkuta Laylah amesimama pembeni kidogo ya kibanda umbali kama wa mita kumi hivi, gari lilikuwa imeegeshwa kule barabarani, jiko nalo palionekana pamefunikwa bati kubwa sana na juu yake kulikuwa na mawe kadhaa makubwa, likiwa ni lengo la Higgno kuzuia viumbe walafi kama fisi wasije kupita na samaki au nyama, “nisubiri nipige mswaki tuondoke, “alisema Soraya kimueleza Laylah aliekuwa amevalia gauni refu na ushungi chwani mwake na viatu vya mikanda miguuni mwake, “sawa ila tujitahidi si unajuwa kuwa unatakiwa kuwahi ofisini” alisema Laylah, ambae sasa alikuwa anashindwa kuwatazama wawili hawa, waliokuwa wanaongozana kuelekea nyuma ya kibanda hiki cha udongo kilichoezekwa kwa vipande vya bati.
Wawili hawa walisaidiana kunawa huku Higgno akimsaidia Soraya kummiminia maji huku wakiongea mawili matatu, dakika chache baadae tayari Soraya alishajiandaa na kupewa baaddhi ya zawadi za kubeba kwao, ikiwa ni pamoja na kanga wa porini wazima na samaki walio banikwa, kisha wakaagana kwa furaha baada ya Higgno kuwa sindikiza mpaka kwenye gari akiwa amewabebea mihogo michache ambayo ilichimbwa haraka haraka kwasababu ya muda, wakina Soraya waliingia ndani ya gari na kuondoka bila kusema lolote kuhusu penzi lao, japo usoni kwake alionekana kujawa na furaha na aibu yakushindwa kumtazama Higgno usoni, hata gari ilipotoweka Higgno akabakia njia panda hakujuwa atampataje tena huyu mschana, “yaani ilibakia kidogo tu!” aliwaza Higgno wakati anarudi kibandani kwake.******
Yap! saa mbili kasoro dakika tano, ndio muda ambao Hilda alitoka nyumbani kwao na kuelekea Linjumbwi kwa mganga mabudi, kumpa matokeo ya kuungua kwa duka la bwana Frank, “hivi inawezekana tumefanya vile kwaajili ya dawa za mzee Mabudi?” aliwaza Hilda, ambae alianza kuhisi kuwa uamuzi wa kuchoma duka aliomshauri Talib ulikuwa ni nguvu za kishirikina za babu Mabudi, alisha sahau kuwa ni pombe bangi na kisasi cha Talib, “yule babu ni kiboko, yaani siku chache tu tayari mambo yamejipa, sasa leo ni kamwambie abadili dawa baada ya Higgno ampumbaze Talib, kwasababu wa kina Higgno watakuwa masikini” alijisemea Hilda, ambae alienda mbali na kuvuta picha jinsi Higgno atakavyo kuwa anasimama pembeni ya barabara, nakulitazama gari alilikuwa anaendesha Talib na yeye akikaa pembeni huku katoto kao kakicheza seat ya nyuma likiwa linapita mbele yake, “na akome kuingilia mambo ya watu” alisema Hilda ambae hakujuwa ni mambo gani ambayo Higgno aliyavuruga yanayo muhusu Talib.
Umande uliojaa kwenye nyasi zilizoinamia njia hafifu ya kuelekea mashambani huko Linjumbwi, ulimlowesha Hilda miguuni na kulowesha vumbi, lililo anza kung’ang’ania kwenye miguu ya Hilda na kutengeneza tope, ambalo lilianza kutengeneza utelezi uliosababisha mschana huyu mwenye akili kisoda kuvua kanda mbili zake na kwenda mwendo wa bata, yaani peku peku, huku kichwani mwake akiwaza jambo fulani ambalo alitamani sana kama angelipata kwa babu mabudi kabla hajaondoka kule Linjumbwi, hakuna kingine alitamani sana kuona dudu ya babu mabudi ikipenya kitumbuani kwake, alihitaji kuupata utamu alioupata siku ile kwa muda mfupi.********
Mzee Mahamud baada ya kuona na binti yake ambae alikuwa katika hali ya uchangamfu aliridhika sana, akanywa chai vizuri na kuaga kwa mke wake akielekea kule NMC ziliko ofisi za kampuni yake, huku njiani akiwaza mambo mawili matatu juu ya familia yake akianza na binti yake, “leo anaonekana ameamka akiwa mchangamfu sana, kumbe kubadili mazingira kume msaidia” aliwaza Mahamud ambae alikuwa anaendesha gari lake mwenyewe, ni lile Nissan patrol, “nadhani ni njia nzuri kwa Soraya kuondoa mawazo juu ya kile kilichotokea juzi” aliendelea kuwaza mzee Mahamud, ambae kiukweli, anampenda mwanae kupita kiasi, “Laylah, ni mschana mwema sana na ana tabia njema, maana amekuwa nae toka akiwa anasoma, sasa kama angekuwa ni mwenye tabia mbaya mpaka sasa Soraya angekuwa amesha onyesha tabia za ajabu, sina wasi wasi pale Soraya atakapo hitaji kwenda kulala kwa kwake maana kwa sasa ni kama rafiki yake tu!” aliwaza mzee Mahamud, ambae kuna kitu ambacho watu wengi hawakujuwa kuhusu yeye, ni kwamba Mahamud, alikuwa ni mtoto wa nje ya ndoa huko kwao oman, ni kwamba baba yake Abdulkarim tajiri mkubwa sana huko kwao Oman, alizaa na mfanyakazi wake wa ndani ambae pia alikuwa ni mschana mdogo masikini wa kiarabu, aliefahamika kwa jina la Aisha, kitendo hicho ambacho kilileta mtafaruku mkubwa ndani ya familia ya bwana Adulkarim yenye wake wanne na watoto kumi, na kutaka kuleta kashfa ya hali ya juu kwa tajiri huyu mkubwa nchini Oman, huku ndugu na jamaa pamoja na watoto wakubwa wa mzee huyu ambao walishafikisha miaka thelathini na mwingine ishirini na tano, walioshirikiana na mama zao kuhitaji kumuangamiza mtoto huyo wa kiume ikiwa ni chuki kubwa sana juu ya utajiri wa baba yao.
Hivyo basi mzee huyu tajiri akaenda kumficha Aisha na mwanae Mahamud kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni yake, ambae alikuwa anaishi na mfanyakazi wake toka nchini tanzania mkoa wa Ruvuma alieitwa Shani, ikiwa ni jina la kujibatiza kwaajili ya kupandia ndege kwenda omani, huku jina lake halisi likiwa ni Kachiki Matomondo.
Maisha yaliendelea huku Abdulkarim, akimtuma yule mfanyakazi wake wa kwenye kampuni yake kupeleka mahitaji kwa Aisha na kijana wake Mahamud ambae aliendelea kukuwa kwa kimo na akili, huku Aisha akiwa karibu sana na Shani ambae sasa ndie alikuwa kama rafiki yake, walitaniana na kuongea mambo mengi ya nchi aliyotokea Shani, ambae kwao alikuwa anaitwa Kachiki, ambae alimfundisha baadhi ya maneno ya Kiswahili na mpaka una katika mwaka tayari Aisha alikuwa anauwezo mdogo wa kuongea Kiswahili.
Siri haikudumu sana, kabla watoto wakubwa wa Abdulkarim hawajagundua sehemu ambayo mdogo wao alikuwa amefichwa, lakini mzee Abdulkarim aliweza kugundua hatari inayo mkaribia kijana wake mdogo, hivyo akaongea na yule mfanyakazi wake anaemtunza Aisha na kumuomba kuwa awasafirishe Aisha na Shani kwenda nchini Tanzania, ambako wangeishi huko maisha yao yote,
Ilikuwa hivyo Mahamud alisafiri akiwa na mwaka mmoja na nusu, mama yake akiwa na miaka ishirini na saba, wakiwa na akiba kubwa sana ya fedha, ambayo haikuwa msaada pekee toka kwa baba yake Mahamud, maana ile wanafika tu walipokelewa na tajiri mmoja ambae kwa nchi kama Tanzania tungesema ni mkubwa sana, ambae alikuwa ni mshirika wa kibiashara wa Abdulkarim, huyu anaitwa Shaban ambae hakuwa mwarabu kamili, ila alikuwa ni maarufu sana kwa ufadhili wa timu ya mpira wa miguu ya maji maji, ambayo ilikuwa inapatikana mkoa huo wa Ruvuma katika mji wa Songea, ambae alisha tumiwa fedha nyingi kwaaajili ya maandalizi ya kuwaandalia sehemu ya kufikia Mahamud na mama yake, huku akiwafungulia duka kubwa ambalo kwa kipindi kile kama lingemilikiwa na mwenyeji ilikuwa ni lazima uhojiwe na serikali na ueleze umetoa wapi mtaji wa kumiliki duka kama hilo, ukiachilia nyumba kubwa ambayo mpaka sasa Mahamud anaishi na familia yake, akiwa ameshaifanyia ukarabati mkubwa na kuongezea vijumba vidogo vidogo na uzio mkubwa,
Huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha ya Mahamud ambae alimpoteza mama yake akiwa na miaka ishirini na nne tu! miaka miwili baadae akaamua afunge ndoa na mama Soraya, ambae alisoma nae shule ya msingi na kupoteana sekondari wakija kukutana miaka sita baadae wakiwa wamesha maliza shule na Mahamud anafanya kazi ya kumsaidia mama yake katika biashara zake, na walidumu wakiwa marafiki mpaka mama yake yaani Aisha alipoaga dunia na yeye akakaa miaka miwili na kufunga ndoa na mama Soraya, ambae tayari alikuwa mjamzito, wa miezi nane, lakini sasa alikuwa anawasiliana na baba yake moja kwa moja, hata baada ya mwezi mmoja mke wake alijifungua salama mtoto wakike na ndie Soraya.
Miaka michache baadae Abdulkarim alibaini kuwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi mabaya ya kisukari, na ilishamshambulia kwa kiasi kikubwa sana, ukichanganya na uzee aliona kupona ni kazi ngumu sana, hivyo akampatia fedha nyingi sana mwanae na kumsaidia kufungua kampuni ya usafirishaji, ikiwa ni magari ya mizigo na magari ya abiria ya kisasa, akiwa ni mmoja wa watu walioleta mabasi ya kisasa nchi Tanzania na kujizolea abiria wengi sana, na ndio wakati ambao Abdulkarim alipoamua kuwapatanisha watoto wake, lakini ilikuwa ni vigumu sana kwao kukubaliana na baba yao.
Baada ya mzee Adulkarim kufariki na mazishi kufanyika huku Mahamud akihudhuria na familia yake, yaani mke wake na binti yao Soraya ambae alikuwa na miaka miwili, ndipo Mahamud alipoomba kuongea na ndugu zake akaomba kutambuliwa na ndugu zake kama yeye ni mdogo wao wa mwisho japo hakuhitaji chochote kinachohusu urithi wa baba yao, yeye alichohitaji wamtambue kama ndugu yao, licha ya kuwa alikuwa na ndugu zake upande wa mama yake, ambao wale wakaribu yeye ndie alielazimika kuwatunza na kuwapatia mitaji midogo midogo, ya biashara za kujikimu.
Ukweli baada ya kugawana mali za marehemu baba yao, kaka zake Mahamud ndipo walipo mkubali Mahamud kama ndugu huku wakimpatia shati na suruali kama urithi wa baba yao, sasa waliweza kushiriakiana na Mahaumd wakimtumia kama wakala wao kule Tanzania na biashara zao zikizidi kutanuka na kufanikiwa zaidi.
Sasa basi, Mahamud akiwa na Soraya kama mtoto wake wapekee, alimepnda sana na kumtunza vyema huku akiswali kila siku binti yake asikutane wala kupitia maisha aliyopitia mama yake, au yeye mwenyewe, na hii ndiyo sababu ya Mahamud kumpenda sana binti yake na hakutaka mtu yoyote aunyanyase moyo wa mwanae, hasa kwa watu wakaribu na mwanaume atakae muoa.
Mahamud aliingia eneo la ofisi yake, ambapo alikuta wafanyakazi wake wakiwa wanaendelea na kazi zao, lakini alishangaa kuona wakiwa wanamtazama kwa macho fulani ya kumshakia, (kumtilia shaka) yeye hakujali sana akashuka kama ilivyo kawaida, akaingia ndani ya ofisi na kujifungia kisha akajikagua pengine alikuwa amevaa tofauti ndio maana wafanyakazi wake wana mtazama kwa macho ya mashaka, lakini alikuwa sawa kabisa hakuwa na dosari yoyote.*******
Kitu ambacho bwana Mahamud hakuwa anakijuwa toka jana usiku kuna baadhi ya watu walikuwa wana tumiana sms kuwa imebaini kuwa tajiri mkubwa Mahamud ana lazimika kulala na binti yake kingono, ikiwa ni imani ya kishirikina ambayo ina husishwa na biashara yake ya usafirishaji, sms ziliendelea kueleza kuwa jambo hilo linalo fanywa na Mahamud ni kwamba hata mke wake analifahamu na hawezi kuliacha kwasababu ya kuokoa biashara yao, ikiwa ni shariti la mganga wao ndio maana wanatumia kila njia kumzuia binti yao asiolewe na kijana Idd Mahadhi, mwisho ukimalizia kwa kusema, “watumie wenzako wafahamu”.
Ukweli ujumbe ule ulisambaa kwa kasi ya ajabu, watu wakitumiana kwa fujo, ukweli watu wengi walishtuka sana kwa tukio lile japo mschana mwenye anaezungumziwa kwasababu hakuwa na umaarufu sana kutokana na kujifungia sana ndani na kujiziba uso anapotoka nyumbani kwao, pia wapo waliopingaswala hili kwasababu wanamfahamu Idd kuwa ni kijana muhuni anaevaa kanzu kama kificho cha mambo yake.
Kwa muda mfupi taarifa hizi zilisambaa karibu nusu ya eneo lote la katikati ya mji wa songea.******
Soraya na Laylah walioanza safari kimya kimya, walitembea huku kila mmoja akitafakari la kwake kichwani mwake, “mh! yule kijana akivua shati anaonekana ni mzuri sana, Soraya amefaidi usiku kucha” hayo yalikuwa mawazo ya Laylah, ambae alikuwa anaendesha gari kwa speed ya kawaida, huku mara chache akimtazama Soraya kwa kioo cha kati cha kutazamia nyuma, akimuona Soraya akijitabasamia mwenyewe.
Naam baada ya kutembea kwa mwendo wa mita kama mia tano hivi, wakiwa wameshakianza kijiji cha chem chem, ndipo Laylah, alipovunja ukimya, “Soraya hujaniambia kilichotokea au ni siri yako?” aliuliza Laylah huku akiendelea kutazama mbele, na kulenga barabara, Soraya alicheka “yaani tumeongea weee! tumelala pamoja mpaka asubuhi, kumbe anaongea vizuri tu!” alisema Soraya, akionekana kuwa katika hali ya uchangamfu kubwa, “hukuogopa kufanya?” aliuliza Laylah, ambae kikawaida ni mwenye umri mkubwa sana kwa Soraya, “mh! kwani nimefanya nae?, waalaaa hatujafanya lolote” alisema Soraya, kwa sauti ya kukataa, “mh! lakini mmekubaliana kuwa wapenzi sio?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya mshangao, maana kwa hali aliyoikuta pale kibandani halafu umwambie hawajafanya lolote usku kucha, kwa kweli kwa mwanaume rijali mbele ya mschana kama Soraya, ambae kiuhalisia kila mwanaume anaitamani nafasi ile kama ilivyo wakina Daudi 1 mhanuzi wangu finyango miana amor Che mittoga Tumwesige senior Mahimbo Jr, halafu usiguse kitumbua, “ndiyo Higgno sasa ni mpenzi wangu” alisema Soraya akionekana kuwa mwenye raha moyoni mwake, “mh! da’Soraya, kweli kuna uzima hapo?” aliuliza Laylah, kwa sauti ya kutia shaka, “tatizo gani Laylah, Higgno ananidanganya?” aliuliza Soraya kwa sauti ya mshtuko, maana alikuwa anaamini kuwa Laylah anafahamu mambo mengi kuhusu wanaume na mapenzi, “hapana hakuna mwanaume anaeweza kukudanganya, labda unaweza kuwa umempata mwanaume ambae sio sahihi, amekuambiaje kuhusu mwanamke wake wa zamani?” aliuliza Laylah, hapo Soraya akajibu kwa furaha, “wenzio wote tumekutana, na yeye hajwahi kuwa na mwanamke” alisema Soraya na hapo Layla akaguna kidogo, “mh! nilijuwa tu, wee! mwanaume kabisaaaa akuache usiku kucha” alisema Laylah, kwa sauti ya mashaka, “kwanini unasema hivyo dada Laylah, umaana Higgno..” kabla hajamaliza kuuliza, akashangaa kuona Laylah, akisimamisha gari pembeni ya barabara, kisha akageuka na kumtazama Soraya, “sikia Soraya ulishawahi kusikia habari za wanaume ambao hawana uwezo wa kufanya mapenzi?” aliuliza Laylah, “mh! sijawahi kusikia” alikataa Soraya kuwa hajawahi kusikia, “sasa kuna wanaume ambao hawana uwezo wakufanya mapenzi hata umfanyaje” alisema Laylah akishindwa kufafanua, japo alikuwa anamaanisha kuwa jamaa inawezekana kuwa jogoo wake hawezi kupanda juu ya mtungi, “kwahiyo nitajuwaje?” aliuliza Soraya kwa sauti ambayo ilianza kukata tamaa, maana hakujuwa huyo mwanaume anakuwaje kuwaje, “ukweli hata mimi sijawahi kumuona mwanaume wa hivyo lakini mwanaume yoyote yule akilala na mwanamke na kugusana nae lazima atataka kufanya mapenzi” alisema Laylah na hapo wakaongea mawili matatu, kisha Soraya akatoa maamuzi, “basi leo nitaenda kumjaribu” alisema Soraya na hapo wakakubaliana kuwa na leo Soraya akalale kwa Higgno kwaajili ya kumjaribu kama ana uwezo wa kufanya mapenzi, lakini hakujuwa kuwa kusimamisha dudu ni dalili ya kuwa na uwezo wa kufanya mapenzi, “mh! baba atakubali kweli?” aliuliza Laylah, huku ana ingiza gia namba moja na kuondoa gari taratibu, “tutaanza kumueleza tukifika tu!” alisema Soraya, huku anamtazama mzee moja aliekuwa anakuja mbele yao na baiskeri huku macho yake yakilitazama gari lao, “hooo! Laylah simamisha gari huyo mzee ndiyo atakuwa mshenga” alipiga kelele Soraya, huku akimtazama yule mzee ambae alionekana wazi kuhitaji kuongea na Soraya, maana alikuwa anashuka toka kwenye baiskeri na kuvuka barabara akilifuata gari ambalo lilikuwa limesha simama kwa mara ya pili, haya jioni soraya anaenda kwa higg wizzy kutesti mitambo, wale wenye kiu ya kutaka kujuwa kama Higgno atafanikiwa kutatua nyuzi tukutane jioni... ITAENDELEA
Niko siti yambele kabisa na popkoni zangu kusubiria soraya ikitesti mitambo😂
 
ila Idd na mzee wake na huo mpango wao wameshafeli
 
Back
Top Bottom