Mmebaki wachache na adimu mithili ya kuona jasho la nyoka.Sio wote bwana mbona wengine tunaridhika
umeyataka mwenyewe jinga wewe

jinga haswa..ila mkuu ilo tusi limetoka moyoni kabisa




niboya sana huyo jamaa
jinga haswa..ila mkuu ilo tusi limetoka moyoni kabisa
Si ndio hapo wakati huyo sio hata mke wako unataka kujua nini zaidi?Nyemo ana moyo aisee, ushaona hayo whatsap na bado una pretend like hakuna kitu eti unakusanya ushahidi wa kupeleka wapi sasa,
Kick that b.i.t.c.h out of your life you fool.
Boya kwa kiwango cha standarg gauge kabisa.. Unagawaje moyo kirahisi ivyoniboya sana huyo jamaa
Labda anataka kumshtaki mahakamani kwa kumlewesha moyo wake na kumpenda kama zuzuSi ndio hapo wakati huyo sio hata mke wako unataka kujua nini zaidi?

Boya kwa kiwango cha standarg gauge kabisa.. Unagawaje moyo kirahisi ivyo
Boya kwa kiwango cha standarg gauge kabisa.. Unagawaje moyo kirahisi ivyo






Sasa apo alitakiwa kutumia akili na sio moyo tena..unatumi0aje moyo kwa samaki changuSio boya apo moyo ndo unaendesha ubongo, ameuruhusu moyo utawale katika ku judge mambo na s akili, na moyo unanguvu kuliko ubongo
Sasa apo alitakiwa kutumia akili na sio moyo tena..unatumi0aje moyo kwa samaki changu