nimekamatika mwenzioSihitaji kuulizwa swali lolote na wapenda nao hawa woiiii
Aaah embu nipelekeni mimi hukoKarim nimemkimbia mm nilikuwa na nipo2 tunamshauri weka episode 3 au 4 kwa siku hasikii anashusha tu nikamwambia mm acha nikuage napenda sana story ila kwa hapa nimeshindwa mm hutaki kushaurika sifungui tena story na ananimention yaan siwezi mm kusoma story ndefu vile
Njoo unipeUbavu wangu![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio huwa nafuatilia sanaJamani na ww unafatiliaga story nimefurahi kukuona simba mwenzangu
Halafu nyie hebu nendeni chumbani basi,khaaa


hatuna haja yakutumia mifuko sisiUle original kabisa usiokuwa na chembe ya uchakachuzi![]()
![]()
![]()
![]()


