Kazetela
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,716
- 1,646
Sijakuelewa kwa maneno haya ,“kwanza ni nn hiyo”Asante mkuu kwa kushukuru kwa mara ya kwanza ni nn hiyo
Sijakuelewa kwa maneno haya ,“kwanza ni nn hiyo”Asante mkuu kwa kushukuru kwa mara ya kwanza ni nn hiyo
Namaanisha kuwa,Kwa Mara yangu ya kwanza,
“Ahsante Shunie, kwa niaba ya Mwandishi”
NshakujibuMm nimekuuliza ulivyoongea hapo
Arosto tena mkuu mm story zangu huwa zinaishaga anyway asante kwa kushukuruNamaanisha kuwa,
Nilikuwa sijawahi kukushukuru kabla.
Kwahiyo nimeamua kukushukuru kwa mara yangu ya kwanza kwa kutuletea hii alosto lakini ashukuriwe zaidi mwandishi,
Bwana Nyemo Chilongani.
Sadi= safiNilikosa uhondo.....nimeipania Leo mpakwa mwisho....sadi SANA
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app