Simulizi: Baradhuli mwenye mikono ya chuma

Simulizi: Baradhuli mwenye mikono ya chuma

embu nitagigi na mie..mkuu.kama naielewa flani hivi hii story.....!!..
 
horror story...mkuu..
naendelea kufuatilia intell inapoanzia....
 
mkuu unaniacha...kunitagigi...
#12 inaanza kuleta picha ya wahusika....
 
hii epsd ya 18...miraji kayapata wapi hayo mafunzo ya kihalifu..??
 
kum e darkman kazi yake kuwapa mauzauza tuu.... ..ila sasa anawauwa wasio na hatia... ...
 
ni kama naangalia final destination....
poa mkuu nakuelewa...
 
duuhh..!!..familia ya ally wa fatuma imekutana na invisible the darkman....!!
 
mtoto wa katende kamchoraje miraji jamani na kulikuwa gizani..??..ni mwanga wa tochi tuu ndio uliosaidia..tena kwa muda mfupi...labda kwa miraji kujitaja yeye ni mtoto wa malale....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom