Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Acha kufananisha goli la kwanza, goli takatifu na vitu kama hadithi!Jamani sawasawa na goli moja halitoshi. Tuongezee na cha 2
Acha kufananisha goli la kwanza, goli takatifu na vitu kama hadithi!Jamani sawasawa na goli moja halitoshi. Tuongezee na cha 2
mkuu poa...poa....Cc: Kaburungu , zinginary , nancy1983 , compact , matobholo , alphaking mahena , juma chief , fakalava , ArchAngel
....nilikuwa sijaona hii........nakanyaga kila unapotoa unyayo wako mkuu...nipo..!!!kaburungu zinginary nancy1983 Compact matobholo Alphaking mahena Juma chief fakalava ArchAngel jaxonjaxon @iddyeba Slim5 anthonysamanii
Tuendeleee wakuu...
mzimu wa malale kaka huo....Jamaa wanapunguzwa mmoja mmoja. Hivi haiwezekani kumkodisha huyo jamaa mwenye SHATI LA NJANO aje kuwapunguza wapiga deal?
..ila sasa anawauwa wasio na hatia...
...Kwenye huu msimu wa pili. Kuwa mpole mkuu.najaribu kufuatilia kujua kipengele cha intellijensia mkuu...kinaanzia wapi...??
Nakuona mkuu upo makini sana.miraji anatumika pasipo kujijua maskini....daahh....!!