Simulation games

Simulation games

nilikua na-download game ghafla mb zikaniishia je badae nikiweka mb litaendelea pale pale au litaanza mwanzo kabisa i mean kuanza kudownload mwanzo?
 
nilikua na-download game ghafla mb zikaniishia je badae nikiweka mb litaendelea pale pale au litaanza mwanzo kabisa i mean kuanza kudownload mwanzo?
Ulikua unatumia nn ku download
 
daah hivi ni mtandao gan ambao wanatoa bando la manake nafeli ku download magame kwa kukosa bando la kueleweka
 
daah hivi ni mtandao gan ambao wanatoa bando la manake nafeli ku download magame kwa kukosa bando la kueleweka
itategemea na mahala ulipo ila angalia TTCL kwanza 10gb kwa 1000 ni nzuri hasa kwa speed ya 4g. pia angalia Zantel 8gb kwa 1500 incase eneo lako kuna 4g ya tigo na hakuna ya Ttcl. kama upo nje ya Dar Angalia Halotel ama Smart.

pia hakikisha una idm ili kupata resume support nzuri.
 
itategemea na mahala ulipo ila angalia TTCL kwanza 10gb kwa 1000 ni nzuri hasa kwa speed ya 4g. pia angalia Zantel 8gb kwa 1500 incase eneo lako kuna 4g ya tigo na hakuna ya Ttcl. kama upo nje ya Dar Angalia Halotel ama Smart.

pia hakikisha una idm ili kupata resume support nzuri.
niko dsm
 
itategemea na mahala ulipo ila angalia TTCL kwanza 10gb kwa 1000 ni nzuri hasa kwa speed ya 4g. pia angalia Zantel 8gb kwa 1500 incase eneo lako kuna 4g ya tigo na hakuna ya Ttcl. kama upo nje ya Dar Angalia Halotel ama Smart.

pia hakikisha una idm ili kupata resume support nzuri.
hio ttcl 1000 kwa gb10 unabonyeza ngap ngp kupata menu zao?
 
Back
Top Bottom