Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
Wifi tu unalalamika, je akija mkwe anaumwa, kapooza anahitaji kuogeshwa, kufuliwa na kufanyiwa kazi zote si ndo utamsimulia mtaa mzima? Angekuwa ndugu yako ungekuja kumsema huku?
Acha roho mbaya mwanamke. Ndugu wa mumeo ni wako pia. Unaonekana una majungu sana.
Acha roho mbaya mwanamke. Ndugu wa mumeo ni wako pia. Unaonekana una majungu sana.