OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Brother shikamoo!!
Asomaye na Afahamu.
Heshima ikurudie pia kaka....!!!!!!!
Kaka ambao hamjaoa ombeni sana mpewe wake wema waliojaa busara !!!!!!!
Brother shikamoo!!
Asomaye na Afahamu.
Heshima ikurudie pia kaka....!!!!!!!
Kaka ambao hamjaoa ombeni sana mpewe wake wema waliojaa busara !!!!!!!
Naona kama intrusion of privacy aisee.Mi kwa kweli jikoni kwangu ndiko ufalme Wang ulipo.naamini hivyo hats nikienda kwa mtu.
Unless uniambie njoo tupike.
Kila nyumba na kila mwanamke ana namna yake ya upishi.
Sitegemei mdada analilia mtu kuingia jikoni kwake.
Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi. Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.
kama mimi!!
Ningekuwa mimi mmeo ningesha kufukuza aidha urudi kwenu ukafundishwe adabu.
Hata mimi nakushangaa mwanamke mzima umeshindwa kuongea na wifiyo na kumfanya rafiki, weye mbioooo hadi JF kuja kumchongea wifiyo...
Wewe mwenye umri mkubwa umetumia busara gani?
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................
Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!
Jirani leo sikatizi mbele yako unaweza kunibutua. Leo bwana leo. Full mipasho. lmfao.
Heh!
Angefikia kujitanua kama kwake sebuleni unamkuta,jikoni ndio anaagiza kipikwe nini ungefungua thread ngapi?
Heh!
Angefikia kujitanua kama kwake sebuleni unamkuta,jikoni ndio anaagiza kipikwe nini ungefungua thread ngapi?