Simuelewi wifi yangu

Simuelewi wifi yangu

Duh...! Mleta mada kachanwachanwa humu hadi huruma maskini....inaonekana alikurupuka! ha ha aha aha aha ah ah aha!

cc. MamaBeata
 
Last edited by a moderator:
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................


Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!

Roho mbaya na choyo vinamsumbua, anaonekana anaendekeza msosi.
 
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................


Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!

Umemaliza kila kitu mpendwa...unafaa kuwa mshauri nasaha..nimezipenda busara zako OLE SAIDIMU
 
Katika maelezo yako, umesema ana siku tatu, je ulishawahi kumkaribisha jikoni na kumuambia ajisikie huru kupika atapojisikia? Siku tatu tayari umeshamchoka wifiyo! Hivyo jiangalie na ujirekebishe maana inaonekana una karoho ka kwanini weye.
 
Kwani kaja kupika acha mawazo yakijinga kumuhudumia wifi yako sisababu yakuhoji kama umeolewa na watu wawili huow niuswahili nawanaokudanganya hawaitakii mema ndoa yako
 
Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi. Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.

Acha roho mbaya wewe....kwani tatizo liko wapi...mgeni siku tatu baada ya hapo mpe kazi afanye...siku mbili tu ushaanza kulalamika hivyo. Huyo ni mstarab hawezi anza kurupuka tu kuingia, we mzoeshe unamuita jikon mnakuwa mnapiga story huku unafanya kazi, baada ya siku moja atazoea na ataanza kufanya kazi.
 
Many thanks Mkuu.

Tuna bahati ya nyie mliotutangulia na Mna hekima, Uzoefu wenu ni nguzo yetu pia kwa upande mwingine.

Nakushukuru Kaka.

Tutafanya ya uwezo wetu kaka ili kutangulia kuwe na maana!!!!!!
Thanks a lot Tized
 
Last edited by a moderator:
Acha udhalilishaji wewe..walikufuta kamasi hao leo hii unawatukana hata haya huna.......kwa taarifa yako hakuna watu wenye busara na wanaojua kushi na watu kama walimu....shika adabu yako

Mimi nadhani alikuwa anajaribu kutuelezea kuhusu mtajwa. Cdhani kama alikuwa na kusudio hilo ulilofikiria wewe
 
Back
Top Bottom