Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Mbona huyo ndio bonge la wifi? Wanawake hatuna jema, angekuja akapita kila mahali huko jikoni ungesema anaharibu bajeti. Mie wifi zangu tunapendana kweli. Manake nikienda kwa kakangu nachangia stori na kuangalia tv! Na mgeni anaekaa tu hanipunguzii wala kuniongezea. Unaingia kwa watu unajipeleka jikoni unapika kuku, kumbe kuku wao kwenye friza anapikwa jumapili tu! Si ugomvi huo!
cha kufanya bi shosti asubuhi muulize wifi unajiskia kula nini? Kama hakipo muombe mumeo, muambie wifi ana hamu na kuku, naomba hela. Mbona utapendwa kote kote? Mnashindwa ndoa wenyewe!
Hivi dada,yule kibopa alikupiga kibuti kwasababu ya nini kweli?