Simuelewi wifi yangu

Simuelewi wifi yangu

Wengi wa Wadada siku hizi hampendi ndugu wa Mme hata kidogo, ukijiangalia hapo kwako lazima kuna ndugu zako ila hauwezi kuona tatizo wala kero, wewe kama kweli ni Muungwana Muelekeze pia mkabidhi hayo majukumu yake, angefika na kuanza kwenda jikon pia ungepiga kelele kuwa Wifi anakuingilia
 
kwa kweli mawifi kuna wengine mi shida tupu... yaani anaweza kulufanyia madharau ya ukweli kisa tu ni kwa kaka yake. kaka yangu akioa sitaenda kwake bila sababu ya msingi na kwa heshima tele.
 
Unatakiwa umfanye rafiki,mshirikishe kwenye shughuli tofauti za hapo nyumbani yaani fanyeni wote.jaribu kuongea nae unaweza kuta ana tatizo/stress ndo zinazomfanya ashinde amelala.

Mimi wifi yangu alikuwa hivyo lakini ilikuwa kama natoka,namuamsha namuomba twende wote,nikiwa jikoni namuambia Manka njoo tupike kitu fulani na alikuwa hajui vitu vingi lakini akajifunza mambo mengi.sahivi yeye ndo rafiki yangu na nimekaa nae zaidi ya mwaka na sitamani hata aondoke.

Tukikoseana namuambia ukweli alipokosea na kumfundisha jinsi anavyotakiwa kufanya au kuishi na watu na maisha yanaendelea
 
Kweli kabisa ndugu me nilikuwa course for sometimes kaka zangu wakawa wananiomba niende kwao nasema wananiomba coz wifi zangu nahisi wanna tabia za mleta thread so huwa siendi Nyumba Zao without justifiable reasons.Basi hawa mawifi kila mja kwa Nyumba yake wanapenda vitu vya supermarket.so nikifika watoto wanaanza kuomba niwapikie mostly chapati wao wamezoea za Azam au pilau kumbe bwana me nafikiri nasaidia watu roho zinawapasuka na ukizingatia nikipika watoto na baba wote wanasifia nikaja kupata maneno huko mbali lo tangu hapo nikilazimika kwenda nafua shuka nitakayolalia na sahani nitakayolia though I feel sorry for the babies.cjui tuna tatizo gani

Tuunde uwifi uje unipikie chapati walaaahhhh

(Joking)
 
Kweli kabisa ndugu me nilikuwa course for sometimes kaka zangu wakawa wananiomba niende kwao nasema wananiomba coz wifi zangu nahisi wanna tabia za mleta thread so huwa siendi Nyumba Zao without justifiable reasons.Basi hawa mawifi kila mja kwa Nyumba yake wanapenda vitu vya supermarket.so nikifika watoto wanaanza kuomba niwapikie mostly chapati wao wamezoea za Azam au pilau kumbe bwana me nafikiri nasaidia watu roho zinawapasuka na ukizingatia nikipika watoto na baba wote wanasifia nikaja kupata maneno huko mbali lo tangu hapo nikilazimika kwenda nafua shuka nitakayolalia na sahani nitakayolia though I feel sorry for the babies.cjui tuna tatizo gani

Daaah binadamu hawana shukrani aisee
 
Naona kama intrusion of privacy aisee.

Naanzaje kuingia kwa wenyewe jikoni naanza kupika. Ndio kujionyesha fundi au?

Wakiniomba sawa tena nitafurahia but azawais I keep off.

huyu mwanamke amejaa hila na ni hasara tupu..........

wifi yake angeingia jikoni angerudi hapa kusema anakiherehere na anataka kumtawala nyumbani kwake.
 
Kweli kabisa ndugu me nilikuwa course for sometimes kaka zangu wakawa wananiomba niende kwao nasema wananiomba coz wifi zangu nahisi wanna tabia za mleta thread so huwa siendi Nyumba Zao without justifiable reasons.Basi hawa mawifi kila mja kwa Nyumba yake wanapenda vitu vya supermarket.so nikifika watoto wanaanza kuomba niwapikie mostly chapati wao wamezoea za Azam au pilau kumbe bwana me nafikiri nasaidia watu roho zinawapasuka na ukizingatia nikipika watoto na baba wote wanasifia nikaja kupata maneno huko mbali lo tangu hapo nikilazimika kwenda nafua shuka nitakayolalia na sahani nitakayolia though I feel sorry for the babies.cjui tuna tatizo gani

una mume jamani?

sipendi vyakula vya supermarket mimi , km hao watoto wa kaka yako.
 
Last edited by a moderator:
Kwani amekuja kusalimiaa au kukufanyia kazi za nyumbani kwako?wanawake sie jamaniii we hapo ni kwakoo fanya kazi zote labda kama kahamia hapo kwako ni sawaa lakin kama anakaa siku chache muwachee
 
Back
Top Bottom