Kweli kabisa ndugu me nilikuwa course for sometimes kaka zangu wakawa wananiomba niende kwao nasema wananiomba coz wifi zangu nahisi wanna tabia za mleta thread so huwa siendi Nyumba Zao without justifiable reasons.Basi hawa mawifi kila mja kwa Nyumba yake wanapenda vitu vya supermarket.so nikifika watoto wanaanza kuomba niwapikie mostly chapati wao wamezoea za Azam au pilau kumbe bwana me nafikiri nasaidia watu roho zinawapasuka na ukizingatia nikipika watoto na baba wote wanasifia nikaja kupata maneno huko mbali lo tangu hapo nikilazimika kwenda nafua shuka nitakayolalia na sahani nitakayolia though I feel sorry for the babies.cjui tuna tatizo gani