Simuelewi mke wangu

Simuelewi mke wangu

Inahitaji moyo wa chuma. Huyu ni mke wa binamu yangu. Jamaa alinipa malalamiko ya aina hio hio sikutaka kutia neno zaidi nilimwambia vizia simu yake tu. Hiki ndicho alichokutana nacho leo. Sijui hata kama ataweza kula.
View attachment 1515503

Mwanamke anafanya CPA private studies chuo flani, hio njemba ni miongoni mwa wanaosoma nae.
Mkuu, lakini mwanamke "anayejitambua" Hadi kufikia hivi ujue Kuna shida ya muda mrefu mumewe aliipuuzia

Wanawake huchukua muda mrefu Hadi kuanza kufanya ujinga huu wa kujipoza kwa kuchepuka
 
unakuwa unamwambia lakini still mnakuwa hamuelewani, yeye anakuwa anaona yuko sawa wakati wewe unaumia
Inategemeana ni issue ipi? Wewe unaweza kuwa sawa au yeye. Hivyo siwezi kusema n'ani yupo sawa. Lakini kabla ya kusubiri mpaka upendo unaanza kupungua, chukua hatua ya kumshirikisha mtu anayemwamini, mfano rafiki yake etc.
 
Hamna. Atashangaa mwanamke.
Hapana, mwanamke akichoka kachoka, na akilini anakuwa tayari kwa lolote

Ni wachache wanafanya Hilo aliloleta mdau bila sababu, Ila kiukweli wengi Wana sababu

Na labda ameshajaribu kusolve kwa kila anavyoweza kashindwa
 
Watu huku wanakudaganya sijui uchepuke, mkeo anagongwa nje kumbe sio ukute mkeo Kuna Mambo umemkera hamu na wewe hamna. Jifunze kujua tatizo lilipo na ujirekebishe wanawake hawaanzi tu hvi from nowhere.
 
Kuchepuka sio dawa ni kuongeza matatizo juu ya matatizo. Huwa nasema ndoa bila Mungu ni matatizo, mana ukikosa hofu ya Mungu ndo mawazo potofu yanapopata nafasi unazani unajenga kumbe ndo unazidi kuharibu. Nikwambie tu mabadiliko hasa ya tabia na sex ndani ya ndoa huwa yanasababu hayaji tu hivi hivi, Mimi nikiwa kama mwanamke ambae niko kwenye ndoa, kuna vitu wanaume huwa mnafanya vinatufanya tuwe na hasira lakini nyinyi mnajifanya kama hamuoni au mnachukulia kawaida na unakuta ile hali ya hasira na unyonge inakaa ndani ya moyo muda mrefu kiasi kwamba upendo unaanza kupungua which hupelekea na hisia za mapenzi kuanza kupotea. Jichunguze umekosea wapi, au kuna kitu gani ndani ya nyumba kifanya muwe mnakwazana may be mara kwa mara, ukipata jibu umepata dawa. Lakini kama hamna kitu chochote kama kupishana ni kwa kawaida tu alafu amekuwa hivyo, mpotezee yani usiguse kabisaaa jifanye kama vile humuoni mwezi tu, utaleta mrejesho
Asante, naahidi kufanyia kazi ushauri huu.
 
Mkuu, lakini mwanamke "anayejitambua" Hadi kufikia hivi ujue Kuna shida ya muda mrefu mumewe aliipuuzia

Wanawake huchukua muda mrefu Hadi kuanza kufanya ujinga huu wa kujipoza kwa kuchepuka
Kwa nini una assume shida imesababishwa na mumewe na unazungumza kwa uhakika? Wakati mwingine aina ya marafiki ambao mwanamke anao wanam influence kufanya hayo, au bosi wake wanapokuwa safari, au simply kavutiwa na appearance ya mwanaume mwingine.
 
Inategemeana ni issue ipi? Wewe unaweza kuwa sawa au yeye. Hivyo siwezi kusema n'ani yupo sawa. Lakini kabla ya kusubiri mpaka upendo unaanza kupungua, chukua hatua ya kumshirikisha mtu anayemwamini, mfano rafiki yake etc.
Sometimes unakuta ni tabia, na huwezi kumfosi abadilike unachofanya ni kumbwambia lakini mwanaume anajiona yuko sawa, na hapo ndo mwanamke upendo unapoanza kupungua
 
unakuwa unamwambia lakini still mnakuwa hamuelewani, yeye anakuwa anaona yuko sawa wakati wewe unaumia
Wanaume hufanya Mambo bila kufikiria kumbe kwa mwanamke ni kero na huua upendo kabisa, in short kwenu mahusiano hasa mwanaume ukipenda kumsikiliza mkeo mtaishi kwa raha Sana, failure to do so ndio hzo affection zinakufa
 
Wanaume hufanya Mambo bila kufikiria kumbe kwa mwanamke ni kero na huua upendo kabisa, in short kwenu mahusiano hasa mwanaume ukipenda kumsikiliza mkeo mtaishi kwa raha Sana, failure to do so ndio hzo affection zinakufa
Exactly, yani ikiwa ni ndoa ya kila anachosema mwanaume ndo hicho hicho hasikilizi wazo la mkewe hata moja, hapo ni balaa
 
Sometimes unakuta ni tabia, na huwezi kumfosi abadilike unachofanya ni kumbwambia lakini mwanaume anajiona yuko sawa, na hapo ndo mwanamke upendo unapoanza kupungua
Hakuwa na tabia hiyo kabla ya kuoana? Kama alikuwa nayo, usingekubali kuolewa. Kama kabadilika, chukua hatua ya kumwambia yeye, then ndugu au viongozi wa dini, ikishindikana basi uamuzi ni wako ufanye nini. At least ukimweleza mtu, atakuelewa.
 
Fanya uchunguzi mzee lazima unagongewa. Wanawake wakipata mtu anayemfeel anapoteza mapenzi kwa mme wake na uwa ni automatic wenyewe hata hawastuki inatokea naturally. Chunguza simu yake utagundua mengi sana

Pole sana
Sure!Nilimkaza dem baadae akawa anasema hafeel kabisa kutiana na mme wake.Hata akiwa anamshika tu anakereka.
 
Kuwa mke wa mtu haimaanishi hahitaji vitu vizuri, mfano huyo jamaa ana mchombeza kwa kumnembeleza ukute mumewe huwa hamubembelezi Wala kumtext, Sasa jamaa anabembeleza kwanini mwanamke asichepuke
Ujue kubembelezana kupo ila ni kwa transition period. Mfano hata binamu yangu akiamua kuchombeza nje kwa sasa lazma atabembeleza kwa style hio hio.

Its something only applicable kwa muda flani kabla hamjajuana na mwanamke vizuri ila mkishajuana vizuri tu its no longer a fun thing! Hata ukimbembeleza mke hawezi chukulia ni jambo serious zaidi au ukianza wivu nae ataona kama uko insecure badala ya ku appreciate kuwa jamaa yangu ananipenda sana ndio maana ana wivu na mimi.
 
Kuwa mke wa mtu haimaanishi hahitaji vitu vizuri, mfano huyo jamaa ana mchombeza kwa kumnembeleza ukute mumewe huwa hamubembelezi Wala kumtext, Sasa jamaa anabembeleza kwanini mwanamke asichepuke
Usi assume sababu ni mumewe. Kwani ninyi hamvutiwi na mwanaume mwingine kama vile mwanaume anavyoweza vutiwa na mwanamke mwingine? Ni natural na ninaamini kabisa kuna wakati inatokea kwa mwanaume na mwanamke vile vile. Ukiufuata moyo utaishia kuchepuka lakini ukifuata akili uta survive.
 
Usi assume sababu ni mumewe. Kwani ninyi hamvutiwi na mwanaume mwingine kama vile mwanaume anavyoweza vutiwa na mwanamke mwingine? Ni natural na ninaamini kabisa kuna wakati inatokea kwa mwanaume na mwanamke vile vile. Ukiufuata moyo utaishia kuchepuka lakini ukifuata akili uta survive.
Mimi naona hyo kawaida tu sema kuji control basi maana waweza kutana na mwanaume kakamilika kila idara, handsome ana kila kitu, na ajali so mtu unavutiwa naye tu Kama nyie wanaume jinsi huwa mnatamani na wanawake hutokea tu kuvutiwa na mtu, hasa ukute uliye naye Hana hizo taste.
 
Hapana, mwanamke akichoka kachoka, na akilini anakuwa tayari kwa lolote

Ni wachache wanafanya Hilo aliloleta mdau bila sababu, Ila kiukweli wengi Wana sababu

Na labda ameshajaribu kusolve kwa kila anavyoweza kashindwa
Rahisi kusema yupo tayari kwa lolote lakini ikitokea... Unaona hakuwa tayari. Haya mambo vile vile yana uhusiano wa karibu na kipato cha kila mmoja.
 
Ujue kubembelezana kupo ila ni kwa transition period. Mfano hata binamu yangu akiamua kuchombeza nje kwa sasa lazma atabembeleza kwa style hio hio.

Its something only applicable kwa muda flani kabla hamjajuana na mwanamke vizuri ila mkishajuana vizuri tu its no longer a fun thing! Hata ukimbembeleza mke hawezi chukulia ni jambo serious zaidi au ukianza wivu nae ataona kama uko insecure badala ya ku appreciate kuwa jamaa yangu ananipenda sana ndio maana ana wivu na mimi.
Sasa ukishafanya kwa mda ukaacha ndo unaharibu Sasa maana mtu anaanza kutafta alichokikosa ndani kwenda huko nje.
Mapenzi magumu Kama watu hamko commited na kupendana kiukweli,na hapo ukute binamu yako na yeye huchepuka na mke anamulipiza.
Pia ni ngumu kumridhisha binadamu
 
Back
Top Bottom