Sina furaha kabisa,
Kwanza, Mke wangu hanipi unyumba mpaka niforce saaana. Mara nyingi husingizia kachoka wakati hakuna kazi ya maana anayofanya.
Nisipolazimisha unaweza ukapita hata mwezi bila kukutana kimwili.
Pili, kila nikitoka kwenye mihangaiko yangu naporudi home usiku huwa nawakuta mke wangu na mwanangu. Ajabu ni kwamba mwanangu hunikimbilia na kunipokea kwa furaha sana lakini mke wangu hubaki kuniangalia tu bila hata kunipa pole na kazi au hata kuniuliza habari za kazi.
Najiuliza sana nini chanzo cha haya yote. Furaha ya ndoa yangu inapungua kila kukicha.
NYONGEZA;
Leo asubuhi alitangulia kuamka, nikamfata nikaanza kuaandaa mazingira nile mzigo. Akaanza kukataa, mara akasema kalale nimebanwa na mkojo naenda kukojoa. Nikaenda kulala, cha ajabu hajaenda kukojoa ila akapanda kitandan kulala.
Kwa hasira nikamwambia wewe sio bure kuna mtu anakuto*ba. Nikamwambia tulioana tukiwa wazima sasa ole wako uniletee maradhi. Akamind sana, mi nikakaa kimya nikaamka na kusepa.
1.Ikiwa anatumia vititi ya uzazi wa mpango huenda vimeshusha hisia za mapenzi. kwa hiyo fikiria hilo kama lipo
2. Huenda kuna changamoto ya mahusiano kati yako na mke wako. Tendo la ndoa liko kwenye mind, kama thinking yake ni negative kwako hayo usiyalaumu maana ndio nature ya binadam. Kama una migogoro midogo midogo ni hatari sana kwa afya ya mapenzi kwamwanamke. Resolve hiyo challenge
3. Humridhishi? Find other ways to make her enjoy her space on you guy
4. Kuwa ana mchepuko it's probably true but not to that extent.
5. Kwanini usimuulize? Tendo la ndoa ndio moja ya mkataba wa kuoana japo halikuwekwa so explicit, biblia yenyewe ilisema 'kupeana joto' means tendo la ndoa. Kama hili haliko effective therefore all you are prone to risks.
6. Anza kumtafutia mkeo furaha, maliza makandokando uliyo nayo ili awe happy. Huenda una michepuko na una migogoro na mkeo kwa hayo, so what is the next?
7. Nilishapitia hali hiyo kwa mke, nilichomwambia hatakaa asahau. Nilimwambia nataka mapenzi kwa sababu ndie wewe peke yako nianaye weza kufanya hili na mtu mwingine asinihoji kwa nini nafanya hivo. Nikamwambia, sio kwamba wengine siwaoni. Nikamwambia anaiambie lini niende kwa hao na lini yeye atakuwa ananitaka. Nikamwambia uataona dalili kwamba 'HAO' wananihudumia kwa kuwa sitamwomba k***ma yake tena. Nikamwambia tangu leo, wewe ndie unitafte maana sitakutafta, nitakuwa na njia nyingine.
Najua yalikuwa sio maneno ya busara, lakini aliomba yaishe. Minafanya kazi mkoa tofauti na familia yangu, lakini good news ni kwamba, nikifika nyumbani mchana, hakika atanitengenezea mazingira ili tuanze na warm up ya usiku.
Usitumie nguvu, tumia tu busara kaka mkubwa