Simuelewi mke wangu

Simuelewi mke wangu

Hakuwa na tabia hiyo kabla ya kuoana? Kama alikuwa nayo, usingekubali kuolewa. Kama kabadilika, chukua hatua ya kumwambia yeye, then ndugu au viongozi wa dini, ikishindikana basi uamuzi ni wako ufanye nini. At least ukimweleza mtu, atakuelewa.
hivi umeoa? kama hujaoa basi subiri ukiingia kwenye ndoa ndo utaelewa, lakini kame umeoa nazani utaelewa tabia za mtu kwenye ndoa na kabla ya ndoa ni tofauti sana, na mtu kabla hajakuoa unaweza kumrekebisha mana anakuwa na shida na wewe kwahiyo atafanya juu chini kukuridhisha lakini mkishaingia kwenye ndoa wanaume wengi huwa wanaona kama vile ndo mwisho wa jeuri ya mwanamke anaamua kufungua makucha. Alafu usijidanganye kwamba kuwambia ndugu au viongozi wa dini ndo kutamfanya abadilike,

NEVER mtu anabadilika kwa kutaka mwenyewe, na elewa jambo moja hapa sijaongelea zile tabia nzito ambazo zitakufanya uende kwa watu kutafuta suluhu, hapana ishu hapa ni vile vitabia vidogo vidogo, kama kutompa mwenzio attention na kutomsikiliza mwenzio unataka kila unachosema wewe kwasababu ni mwanaume basi ndio hivyo, yani kwenye maisha yengu mkeo anakuwa hana nafasi ya kutoa wazo, hata ukimshirikisha jambo unataka akubaliane nawewe tu sio na yeye aongezee lake,

mfano mnajenga, lakini unataka kila kitu kiwe vile unataka wewe, mwanamke aki suggest hata sebule basi iwe hivi hutaki, au mnataka kununua gari, utakalo sema wewe ndio hilo mwanamke akitoa wazo lake unamuona hajui kitu, yan inshort inakuwa kila maamuzi utaka yawe ya vile utakavyo wewe ya mwenzio yote unayaona haya maana, sasa hapa ndo nnaposema kwamba mwanaume vitu kama hivi ataviona vidogo ila trust me kwa mwanamke ni msumari unaomchoma pole pole, mana ataanza ku loose confidence kwasababu anajua akitoa wazo lolote litapingwa
 
Yes, kupewa attention na kusikilizwa kuna maana kubwa sana tena sana kwenye mahusiano kwasisi wanawake
Sasa hio attention mbona kuna wenzenu wanapewa ya kuzidi wanaishia kuwaita washakaji ni Boring?
 
hivi umeoa? kama hujaoa basi subiri ukiingia kwenye ndoa ndo utaelewa, lakini kame umeoa nazani utaelewa tabia za mtu kwenye ndoa na kabla ya ndoa ni tofauti sana, na mtu kabla hajakuoa unaweza kumrekebisha mana anakuwa na shida na wewe kwahiyo atafanya juu chini kukuridhisha lakini mkishaingia kwenye ndoa wanaume wengi huwa wanaona kama vile ndo mwisho wa jeuri ya mwanamke anaamua kufungua makucha. Alafu usijidanganye kwamba kuwambia ndugu au viongozi wa dini ndo kutamfanya abadilike, NEVER mtu anabadilika kwa kutaka mwenyewe, na elewa jambo moja hapa sijaongelea zile tabia nzito ambazo zitakufanya uende kwa watu kutafuta suluhu, hapana ishu hapa ni vile vitabia vidogo vidogo, kama kutompa mwenzio attention na kutomsikiliza mwenzio unataka kila unachosema wewe kwasababu ni mwanaume basi ndio hivyo, yani kwenye maisha yengu mkeo anakuwa hana nafasi ya kutoa wazo, hata ukimshirikisha jambo unataka akubaliane nawewe tu sio na yeye aongezee lake, mfano mnajenga, lakini unataka kila kitu kiwe vile unataka wewe, mwanamke aki suggest hata sebule basi iwe hivi hutaki, au mnataka kununua gari, utakalo sema wewe ndio hilo mwanamke akitoa wazo lake unamuona hajui kitu, yan inshort inakuwa kila maamuzi utaka yawe ya vile utakavyo wewe ya mwenzio yote unayaona haya maana, sasa hapa ndo nnaposema kwamba mwanaume vitu kama hivi ataviona vidogo ila trust me kwa mwanamke ni msumari unaomchoma pole pole, mana ataanza ku loose confidence kwasababu anajua akitoa wazo lolote litapingwa
Umesema kweli kuwa mtu anaweza ficha tabia kabla ya kuoa/kuolewa. Nafikiri mara nyingi tunapowashirikisha watu, si kwamba watambadilsha mtu. La hasha, ni kujenga uhalali katika jamii wa hatua pindi utakayochukua yeyote baadaye. Maadamu umeongea na mhusika na hayupo tayari kubadilika na upendo wako umekwisha, una options tatu tu. Mvumilie, divorce au tafuta mchepuko. Uamuzi ni wako kwa kweli. Hapo hakuna mwalimu.
 
Mleta mada hajachukulia comment yangu kama kejeli

Tatizo lipo kwako
Unapenda ligi, ni kosa kumweleza mwanaume kuwa hakazi vizuri au kumweleza mwanamke kuwa K ni bwawa au ina harufu etc. afterall ukiona mwanamke hakojoi hata ukujipinda jua hakupendi. Uzoefu unaonesha kuwa mwanamke anayekupenda hata kumgusa tu anakojoa na hata ukiingiza kichwa yeye hoi. Hivyo kusimamia kucha kama kwenye porno ni ishara kuwa mwanaume unatwanga maji katika kinu.
 
too much is harmful 😁😁😁
Thats stupid, ndio maana tunarudi pale pale mwanamke ni kiumbe wa ajabu. Hatosheki with whatever ana claim na huwezi mtimizia vyote maana kila wakati ana hitaji jipya.
 
Naongezea hapo alipoishia Joanah...

Wanawake wako tofauti sana unaweza ukajikuta unakimbiza with the right speed but in wrong direction ikawa kazi bure

Inawezekana amepoteza interest naww na Kuna vitu vyako havifurahii
Ongea nae taratibu muandae kisaikolojia mfurahishe kwenye mambo mengine madogomadogo yatasaidia kurudisha hisia zake kwako

Mtoe out siku mojamoja mkanywe hata soda mkisikiliza mziki mzuri itasaidia kurestore settings zake kurudi default

Kwa siku ambazo hauna ulazima wa kuchelewa nyumban rudi mapema ukae nae karibu
Ila kuwa makin usiwe na speed sana kweny hayo nliokushauri maana atahisi unapretent ili upewe kwa urahisi matokeo yake utampoteza mazima

Wanapenda sana kubembelezwa na kuumuliwa vichwa kwa masifa ya uongo na kweli
Ukiigundua password yake utaishi nae kwa aman saaana

Ushauri kwa vijana wenzangu tunapotaka kuoa tusiangalie tabia na ukubwa wa tako pekee tuangalie pia na uwezo wako wa kumteka kihisia ili huko mbeleni mambo yakianza kusuasua unaingiza password mambo yanarudi upyaaaa
Kama anakimbizwa in a wrong direction si aseme sasa kununa ndiyo kutabadilisha nini ?
 
Hili tatizo huenda likachangiwa na hormonal imbalance, ikapelekea kutokutoa tendo la ndoa, jaribu kwanza kutatua hilo tatizo halafu ndo uendelee kudadavua tatizo lingine.
Unaooishi na mwanamke inatokea sana hii hali na ni rahisi kuhisi mengine kumbe shida iko hapo.
 
Namkaza si mchezo, kwa hilo najiamini. Niko vizuri.
Hakuna mwanaume asiyejiamini kwa hilo ila wengi wanawake wanawavumilia tu na hawataki kuwaambia ukweli kwa kuwa atakuumiza, huyo ungekuwa unamkaza ule muda unaorudi tu tayari yeye anakusubiri kwa bashasha. Kaaa nae uongee nae vizuri si bure kuna jambo
 
Thats stupid, ndio maana tunarudi pale pale mwanamke ni kiumbe wa ajabu. Hatosheki with whatever ana claim na huwezi mtimizia vyote maana kila wakati ana hitaji jipya.
tunatosheka sana tu, mnatakiwa kuwa na kiasi
 
kwanza anza kujingalia na kijichunguza mwenyewe una makosa au mapungufu gani?? isije ikawa ulianzisha wewe mwanzoni yeye anamalizia saivii🙂🙂🙂

pili: jaribu kumchunguza kwa makini maana hapo inawezekana tayari kuna mtu anakula kimasihara na vizuri zaidi yako

tatu: hakikisha mapenzi yako kwake yapo hayajaisha au kupungua saana

nne:...................................
 
Sina furaha kabisa,

Kwanza, Mke wangu hanipi unyumba mpaka niforce saaana. Mara nyingi husingizia kachoka wakati hakuna kazi ya maana anayofanya.
Nisipolazimisha unaweza ukapita hata mwezi bila kukutana kimwili.

Pili, kila nikitoka kwenye mihangaiko yangu naporudi home usiku huwa nawakuta mke wangu na mwanangu. Ajabu ni kwamba mwanangu hunikimbilia na kunipokea kwa furaha sana lakini mke wangu hubaki kuniangalia tu bila hata kunipa pole na kazi au hata kuniuliza habari za kazi.

Najiuliza sana nini chanzo cha haya yote. Furaha ya ndoa yangu inapungua kila kukicha.

NYONGEZA;
Leo asubuhi alitangulia kuamka, nikamfata nikaanza kuaandaa mazingira nile mzigo. Akaanza kukataa, mara akasema kalale nimebanwa na mkojo naenda kukojoa. Nikaenda kulala, cha ajabu hajaenda kukojoa ila akapanda kitandan kulala.

Kwa hasira nikamwambia wewe sio bure kuna mtu anakuto*ba. Nikamwambia tulioana tukiwa wazima sasa ole wako uniletee maradhi. Akamind sana, mi nikakaa kimya nikaamka na kusepa.
Pole sana mwanaume mwezangu tunayefanana kwenye maumivu haya.
Mke wangu pia yupo ivoivo kama mke wako. Nisipomuomba mim basi tunaweza kukaa mwez mzima bila kufanya

Hii imetokea jana usiku apa, tulikua kitandani tukaanza kucheza kushikanashikana katika maandalizi, badae nikataka kumpandia kwa juu ili nimchezee na kumnyonya maziwa, aisee nlisukumwa na mkono(nlipigwa konga) nikarudi nlipolala afu akasema nisifanye ivo yeye hajisikii na mapenz kwake co kitu anachojali sana. Aisee nlikasirika sana nikaamua nilale nianze kuutafuta usingizi. Alipoona kua kitendo alichofanya sijapendezwa nacho akaanza kunishikashika na kuminyaminya Gegedo lang.
Mimi nikaondoa hisia zote za kua nae kitandani kwakwel niligoma kusimamisha Gegedo na nikafanikiwa. Baada ya kuona mbinu alotaka kuitumia imeshindikana akataka kunigeuza kwa nguvu ili aje alikalie kwa juu. Na mim nikamrudisha alipolala(kama alivofanya yeye) kila mmoja akajikuta amelala kivyake. ***** zao Washenzi sana hawa. Dawa yao kwakwel ni kuwatafutia MCHEPUKO tu basi Ujinga wote utawaisha
 
Unasubiri mpaka aanze kukwambia nmechoma kulala chumbani kwako? Muda utakupa majibu sahh ila jua unamegewa
Wanaume wengi au wote mwanamke akikosa hamu ya tendo cha kwanza wanawaza kutombewa! Kaa jiulize mapenzi, urafiki, ukaribu mliokuwa nao kabla ya ndoa ndiyo mlionao mpaka sasa??? Chanzo ni nn? Kuna cha kurekebisha? Sio kutumia nguvu mkuu
 
Back
Top Bottom