Yes ,in fact am a Hardliner in nature ktk nyanja mbali za maisha yangu , naheshimu sana Sheria za kichwa changu na Moyo wangu.Ni mwanaume , nayeweza kumfanya mwanamke ajihisi Dunia yote niyake kwa furaha Na mabashasha nakila aina ya utamu.
Upande wangu wa Pili. Ni mwanaume Nisovumilia ujinga, mwepesi wa kuacha napoona daily ni kero zonazonikosesha amani, , nikiona unaniishi kwa jeuri nakua Dikiteta , ni Mkali napooudhiwa, mwepesi kukasirika ingawa najioongoza ktk maamuzi.
Kwa ufupi...Maisha yangu hayaruhusu kabisa kabisa mwanamke awe sehem ya kunipa Karaha.
Imeshindikana kila mtu na 50% zake , no kubembelezana ,no kulilia mwanamke nooo nn !!!!.
Kila mmoja akifanya wajibu wake vzuri maisha ni matamu, lkn ukitegemea kunizengua hahahahahhahahahahahahhahahahahhahahaah itakula kwako hata kama tunawatoto





.