Kaka kwanza pole kwa hilo, hiyo ni tatizo dogo mkuu, kuna vitu ameshaviona kwako upo wrong au unaenda visivyo, cha msingi kama utakuwa free, wikend hii mtoa out kaongee nae, kwa upole shida ni nini, ? Kuna kitu unaenda wrong kaka, wengine huwa hawasemi hadi umwambie ,matokeo yake hufanya kwa vitendo kama hivyo,
Kama utashindwa kimtoa out,jioni ongeeni chumbani atoe ya moyoni,mkiyamaliza hapo x2 unakula ndoa yako. Pole, usitumie hasira just calm down, ndoa za simu hizi siyo za kibabe, mtakuwa single mother na bachelor sasa hivi na watoto watateseka, huyo shemegi wala hakuna anayemtomba.
Kama utashindwa kimtoa out,jioni ongeeni chumbani atoe ya moyoni,mkiyamaliza hapo x2 unakula ndoa yako. Pole, usitumie hasira just calm down, ndoa za simu hizi siyo za kibabe, mtakuwa single mother na bachelor sasa hivi na watoto watateseka, huyo shemegi wala hakuna anayemtomba.

