Simuelewi kabisa huyu mdada!

Simuelewi kabisa huyu mdada!

dogo una haraka sana wewe!

ulikuwa hujawahi kugegeda hapo kabla? eenh!

kutongoza hujatongoza, unataka ugegede?

by the way, uwe mwangalifu!

Na cha zaidi ni kwamba sio kila urafiki lazima uwe wa kugegedana. Urafiki mwingine ni wa kubadilishana mawazo tu.
 
Ndugu wadada wa chuo waone hivo hivo, ni kawaida yao kufanya hivyo, yaani hapo utaliwa pesa na miguu hapanui, b careful.
 
Na cha zaidi ni kwamba sio kila urafiki lazima uwe wa kugegedana. Urafiki mwingine ni wa kubadilishana mawazo tu.

mkuu dogo naona anaogopa pesa zake zinavyotimka halafu hasemi chochote! yeye anataka friendship for benefit!

ukitaka ubaya.....
 
Kwa mkwara unamwambia kwangu hesa si kitu... hela kitu gani bwanaaaaa... kumbe angejua ulivyojeruhika moyoni.. angekimbia walahi!

au unamuuliza mama unatka nini tena ..... anajibu nataka laptop ile ya miliion mbili plz baby .... alafu anaunganisha u know i love u so much
 
mkuu dogo naona anaogopa pesa zake zinavyotimka halafu hasemi chochote! yeye anataka friendship for benefit!

ukitaka ubaya.....
Bwahahahahhh!
Kaazi kweli kweli. Ukute kamkopa mtu huo mshiko, kamtoa lunch demu na demu kagoma kugegedwa, shida inakuwa hapo. Enzi za ujana sisi wengine inatokea unanunua hadi chumba kwenye nyumba ya wageni na demu anagoma kugegedwa vilevile, na kama ujuavyo huwa gesti hawarudishi mshiko. Unasamehe tu yanaisha.
 
Bwahahahahhh!
Kaazi kweli kweli. Ukute kamkopa mtu huo mshiko, kamtoa lunch demu na demu kagoma kugegedwa, shida inakuwa hapo. Enzi za ujana sisi wengine inatokea unanunua hadi chumba kwenye nyumba ya wageni na demu anagoma kugegedwa vilevile, na kama ujuavyo huwa gesti hawarudishi mshiko. Unasamehe tu yanaisha.

unajua,

tatizo si pesa! unaweza ukakaa na dem hata mwaka mzima na ukashindwa kumgegeda!

people dont know how to put themselves romantic when it comes to being romantic..! hapa ndo kuna tatizo!

mazungumzo tu yenyewe hayaleti hisia za kugegeda! hahahaaa!!

dogo anahitaji slides nyingi sana za kujisomea semista hii!
 
au unamuuliza mama unatka nini tena ..... anajibu nataka laptop ile ya miliion mbili plz baby .... alafu anaunganisha u know i love u so much

kudadeki! Himidini alishakataa hizi policy! yeye sijui anatumia mbinu gani kuwagegeda watoto wa watu!

ngoja aje!
 
Last edited by a moderator:
au unamuuliza mama unatka nini tena ..... anajibu nataka laptop ile ya miliion mbili plz baby .... alafu anaunganisha u know i love u so much

anaunga na hii...........Jaman tony touch buubu say yes
 
Ishia hapo hapo.... Mpaka hapo hivi natafuta nini lakini????????????????????
au unamuuliza mama unatka nini tena ..... anajibu nataka laptop ile ya miliion mbili plz baby .... alafu anaunganisha u know i love u so much
 
Value for Money haina mashiko hapa eeh!!! Nahisi ntaumwa roho sana kutoa hela kwa jina la papuchi. Kutoa hela vinginevyo sawa... ila nitoe hela ili kununua/kulipia hio kitu...hell no... I am surely convinced, am not that desperate.
unao hela, patie yeye matumizi, kuja na jibu next week.
 
Back
Top Bottom