Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,376
Hawa vijana wetu wa siku hizi...yani uvumilivu zeroooooooo kama wanavyo-feli hiyo form 4 yao. Wewe unashindwa nini kumvutia subira demu umemtoa out moja tuu unataka kupata dudu-kojo. Ingekuwa rahisi hivyo mama zao tusingewapata kabsaaa...na wao wasingezaliwa....raha ya mwanamke akusumbuwe kumpata atleast miezi 9 mpaka 12 hivi ndio mtoto wa kike anavua pichu-kongolo mtu mzima unatupiamo na wewe unajiona kidume....lazma upite ligi ya mchujo upewe ubingwa kwa kuutolea jasho na sio ushindi wa mezani.
Pambaffff....ndio maana sikuhizi munauziwa vitu ambavyo havikutakiwa kuuzwa..wewe "k" unauziwaje..na kwanini iuzwe mtu kitu kapewa bureeee?.
Vijana acheni uvivu wa kutongoza ndio maana munakuwa hata wavivu wa kufikiri....sie zamani unakunywa maji unamuona binti kwenye glass...sasa wewe lunch moja tuu unataka upewe tunda hata hujamuona kwenye glass.
Innallah maswaabirinah....
Pambaffff....ndio maana sikuhizi munauziwa vitu ambavyo havikutakiwa kuuzwa..wewe "k" unauziwaje..na kwanini iuzwe mtu kitu kapewa bureeee?.
Vijana acheni uvivu wa kutongoza ndio maana munakuwa hata wavivu wa kufikiri....sie zamani unakunywa maji unamuona binti kwenye glass...sasa wewe lunch moja tuu unataka upewe tunda hata hujamuona kwenye glass.
Innallah maswaabirinah....