Simuelewi kabisa huyu mdada!

Simuelewi kabisa huyu mdada!

Baada ya kugundua nyie ndio mnafaidi sana... nimejikomboa aisee... SIOMBI TEENA BASI!!!!... kaeni nazo.

Afu mbona wakuomba wengine afu walalamishi wa kutofikishwa ni wengine? kwani mmetuona sisi waombaji tukilalamika... Tutacheni tulaleeee....!!!
kama unaomba alafu unakuja kuruka ruka kama chura tusilalamike loh!!!!!!!!!! ukiomba jiandae na uwe umejipanga jaman
 
Chuma ulete huyo demu achana naye tafuta mwingine.
 
wee unakosea...hao wala hunashida ya kutongoza unatengeneza mazingira mwenyewe anakupa papuchi

Unapotengeneza mazingira si ndio kutongoza kwenyewe...

au tongozo hua linapitia sanduku la posta?
 
Hela sitoi na sokoni siendi... Sokoni sijawahi enda na sintakaa niende Mkuu. Tamaa zangu ziko chini ya mamlaka yangu. sitaziruhusu kunipanda kichwani hata siku moja. Kamwe nimejiapiza sitakubali kuwa mtumwa wa mwili wangu.

Laki mbili kisa kipapuna ambacho ladha yake ni ileile??? Bora nipite mnadani nikajichagulie sidhani hata kama itafika 30,000/=
 
itakuwa mesage reserved see me on PM........

^^
Ohoooo!! miss chagga na Excel, wanasema mwanamke akikupenda hakuombi pesa, anachofanya anakusanya laki mbili hiyo anamgawia kidogo ampendae, unamnunulia laptop anampelekea ampendae.. Kifupi unageuzwa ka B.O.T kadogo ka kumaliza shida zake, kupewa hupewi unabaki kupangiwa tarehe kama kesi za mahakamani.
That game, is what I hate.
^^
 
Last edited by a moderator:
Aile vinginevyo ila sio kwa ajili ya Papuchi aisee.... najisikia vibaya kutoa hela kwa jina la hio kitu.

Nimewahi tena sana kugharamika ila katika jina la urafiki wetu na katika jina la kuwa Mimi ni mwanaume nahitaji kuchukua majukumu fulani na fulani kama mwanaume. ila kutoa hela ili nipate hio .... sitoi kabisa kabisa na wala sitaitaka... sijui kama point yangu inaonekana lakini.
Hivi hela yako isipoliwa na mwanamke hujiskii vibaya jaman????
 
^^
Ohoooo!! miss chagga na Excel, wanasema mwanamke akikupenda hakuombi pesa, anachofanya anakusanya laki mbili hiyo anamgawia kidogo ampendae, unamnunulia laptop anampelekea ampendae.. Kifupi unageuzwa ka B.O.T kadogo ka kumaliza shida zake, kupewa hupewi unabaki kupangiwa tarehe kama kesi za mahakamani.
That game, is what I hate.
^^

ha ha ha ha ha ha ha duh! kazi kweli kweli
 
Hahahahaaaaa. Hata milioni mbona inaweza toka? ishu natoa hio hela kwa msingi gani? kuhonga tu siwezi... na hio ni kwangu mkuu... wengine wanaweza... sio kwa sababu ni hela nyingi.. HAPANA though sio chache... ila utaratibu huo wa KUHONGA kwenye system zangu haupo. ntamsaidia kadiri niwezavyo kwa utu wema kabisa na nikifanya kitu sitegemei anilipe au tukiachana eti kiniume... hapana. Siishi kibepari.

hahha....Akaaa!!! Mkuu kwani huwezi kumpa laki2 unaempenda? wallah umenichekesha sana umenikumbusha Tanga mjini..
 
Ukipata rafiki wa JF nenda nae ki JF, achana na mambo ya kutaka kujuana kiundani sana, labda itokee. Lakini kiutu-uzima inapendeza kuyeyushana humu, halafu ukichomoka JF unaendelea na maisha yako ya kila siku
 
ngoma za watoto hizo, endelea tu kumvutia kasi, ila usisahau kumtupia visenti!
 
Aile vinginevyo ila sio kwa ajili ya Papuchi aisee.... najisikia vibaya kutoa hela kwa jina la hio kitu.

Nimewahi tena sana kugharamika ila katika jina la urafiki wetu na katika jina la kuwa Mimi ni mwanaume nahitaji kuchukua majukumu fulani na fulani kama mwanaume. ila kutoa hela ili nipate hio .... sitoi kabisa kabisa na wala sitaitaka... sijui kama point yangu inaonekana lakini.

Point yako nimeiona bana..... kua utatoa for the sake of urafiki wenu; ila sasa mwisho wa siku hapo target ni ile papuchi tuu huo urafiki ni cover

why dont u just call a spade a spade and not a big spoon...lolo
 
Kuna sifa nyingine kuzitafuta zinakugharimuje?

Jamaa alikua ndio kaajiriwa ajiriwa na vimishahara vyetu hivi na alikua hana gari. alichokifanya akachukua jamaa zake wenye gari za maana kama sita hivi na ndugu wengine wakamsindikiza siku ya kuwaona kwa wakwe. alitaka ajioneshe yeye ni wa status flani hivi bila kujua itamgharimu baadae...... Wakwe wakampa hadhi alioitaka bhana... kuanzia hapo jamaa akitaka kwenda kusalimia lazima akodi gari la mshkaji na lazima awaachie wazee hela ya maana kuendana na status yake kule ukweni kuwa kijana wetu ni mtu mzito anafanya Benki (si unajua watu wasioelewa wakisikia mtu anafanya bank wanaona bonge la mtu).... akija kijiweni ndio atalalamika huyo... hadi unamuonea huruma.

alafu huku unamwambia ya maji ya kunywa hiyo
 
Back
Top Bottom