Markberry1555
Senior Member
- Jan 6, 2019
- 147
- 164
Huyu dada nimetokea kumpenda, ila anasema yuko form six now, lakini kwenye mitandao ya kijamii hakauki.
Nimemuuliza jana mbona kama uko nyumbani sio shuleni. Anasema anaumwa Anaemia, kaenda Muhimbili kupewa matibabu na yuko home anameza dawa.
Sasa cha kushangaza anasema Anaemia yake anatibiwa Muhimbili tu. Nikimuta njoo nirambee, hataki visingizio kibao ila hakauki kuomba pesa.
Nisadieni wadau huyu msichana anamaanisha nini? Ananipenda kweli?
Nimemuuliza jana mbona kama uko nyumbani sio shuleni. Anasema anaumwa Anaemia, kaenda Muhimbili kupewa matibabu na yuko home anameza dawa.
Sasa cha kushangaza anasema Anaemia yake anatibiwa Muhimbili tu. Nikimuta njoo nirambee, hataki visingizio kibao ila hakauki kuomba pesa.
Nisadieni wadau huyu msichana anamaanisha nini? Ananipenda kweli?
