Simuelewi huyu msichana

Simuelewi huyu msichana

Asa unadate na mwanafunzi unafikiria nn ww pia fikra zako bado za kitoto ndo maana unaleta mashtaka ya kitoto kwanza mtu ambaye anajielewa huez waza det na mwanafunz otherwise na ww adolescence inakusumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama anaumwa anaemia kweli na unataka kugegeda una roho saba kama paka. Kama siyo sickle cell basi ana ugonjwa chronic kama ngoma au wadudu sugu wa aina nyingine mwilini, na kumgegeda mgonjwa aliepungukiwa damu sana anaweza kupoteza maisha ukiwa kifuani maana kugegeda siyo shughuli ndogo.UWE MWANGALIFU MKUU WANGU KESI YA MAUWAJI SIYO NZURI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama anaumwa anaemia kweli na unataka kugegeda una roho saba kama paka. Kama siyo sickle cell basi ana ugonjwa chronic kama ngoma au wadudu sugu wa aina nyingine mwilini, na kumgegeda mgonjwa aliepungukiwa damu sana anaweza kupoteza maisha ukiwa kifuani maana kugegeda siyo shughuli ndogo.UWE MWANGALIFU MKUU WANGU KESI YA MAUWAJI SIYO NZURI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah Asante sana msukuma mwenzangu, umenipa wazo
 
huwa nashangaa vijana mnaolalamika kuhusu tabia za kijingajinga za hao wapenzi wenu.ukiona hakufai si unampotezea tu..usiteseke coz ya jitu zima ulilokutana wote mkiwa na meno 32..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom