Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
Wakuu mpo naamini mnaendelea kulijenga taifa letu pendwa Tanzania.
Nimekaa kwa muda bila kuwa kwenye mahusiano baada ya kuumizwa sana, nikiwa najiuliza kweli nitampata mwenye mapenzi ya kweli?
Daaaah! Sijui alinishauri nani?
Ok twende..
Hivi hawa wanawake ili wakupende kwa dhati inatakiwa uwape nini au uwafanyie nini?
Mpaka sasa nahisi mahusiano yangu hapa yalipofikia yanaelekea kufa maana nacho kiona kinanikatisha tamaa
Nipo kwenye mahusiano na msichana ambae niliamini kuwa ananipenda kwa dhati kutokana na jinsi matendo yake yalivyo kuwa na tulipo kuwa tukiongea pamoja katika kupiga story nilijiaminisha kweli huyu ndie.
Mahusiano yetu yameendelea kwa muda sana nahisi yapata mwaka 1, lakini hatujawahi kufanya sex.
Nimekuwa nikimwambia kuhusu sex ananiletea sababu mbalimbali, anasema au Mimi nataka kumchezea tu halafu nimuache, mara ataniambia siku akiwa tayari, hawezi kutoka pale home mida ya usiku.
Mpaka sasa simuelewi japo mie naheshimu hisia zake na mawazo yake sipendi kumlazimisha kuhusu sex.
Hadi sasa mawazo yangu yananituma au nitumie ule muda wa story mimi na yeye tukutanapo nimshawishi hata kwa romance ili anitunukie?
Kwa maana sitaki kumsariti kwa kwenda na wasichana wengine tofaut na yeye maana naheshimu hisia zake lakini mimi naona haziheshimu hisia zangu..
KANICHUKIA GHAFLA
Ni kweli ametumia pesa zangu pamoja na zawadi mbalimbali toka kwangu lakini nashangaa kabadilika kuna siku kaniomba pesa ya kununua viatu vya kike yaani ndala ,alidai alizo kuwa nazo zilikatika.
Namnavyo jua saa hizi hali si shwari mtaani basi nikamuahidi kuwa ntamchukulia siku yoyote, akasema poa
Mambo toka siku hiyo yaligoma kabisa kuhusu kupata mpunga, sasa kwa huyu msichana naona kakasirika na yale mazoea kama kipindi cha nyuma yamekata ghafla,
Kipindi cha nyuma alikuwa akiniona lazima asimame tupige hata story kidogo, saa hizi hata akiniona anabadili njia.
Toka siku nimempa ahadi ni siku ya tano sasa hata hana muda na mimi ,akija mtaani kwetu anahemea na kusepa.
Wakuu ushauri wenu je, nimfanye nini huyu msichana?
Au nijitoe mapema kabla sijaumia zaidi na stress za mapenzi?
Je, anamapenzi ya kweli au amenipendea pesa?
Kwanini nikimwambia sina hela anachukia na ananihoji kuwa hela zangu nazipelekaga wapi?
Cha mwisho haamini kuwa mimi nina mpenzi mmoja tu ambae ni yeye.
Daaaah! Sijui alinishauri nani?
Muwe na siku njema...
2020Bin Shaib Classic
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa kwa muda bila kuwa kwenye mahusiano baada ya kuumizwa sana, nikiwa najiuliza kweli nitampata mwenye mapenzi ya kweli?
Daaaah! Sijui alinishauri nani?
Ok twende..
Hivi hawa wanawake ili wakupende kwa dhati inatakiwa uwape nini au uwafanyie nini?
Mpaka sasa nahisi mahusiano yangu hapa yalipofikia yanaelekea kufa maana nacho kiona kinanikatisha tamaa
Nipo kwenye mahusiano na msichana ambae niliamini kuwa ananipenda kwa dhati kutokana na jinsi matendo yake yalivyo kuwa na tulipo kuwa tukiongea pamoja katika kupiga story nilijiaminisha kweli huyu ndie.
Mahusiano yetu yameendelea kwa muda sana nahisi yapata mwaka 1, lakini hatujawahi kufanya sex.
Nimekuwa nikimwambia kuhusu sex ananiletea sababu mbalimbali, anasema au Mimi nataka kumchezea tu halafu nimuache, mara ataniambia siku akiwa tayari, hawezi kutoka pale home mida ya usiku.
Mpaka sasa simuelewi japo mie naheshimu hisia zake na mawazo yake sipendi kumlazimisha kuhusu sex.
Hadi sasa mawazo yangu yananituma au nitumie ule muda wa story mimi na yeye tukutanapo nimshawishi hata kwa romance ili anitunukie?
Kwa maana sitaki kumsariti kwa kwenda na wasichana wengine tofaut na yeye maana naheshimu hisia zake lakini mimi naona haziheshimu hisia zangu..
KANICHUKIA GHAFLA
Ni kweli ametumia pesa zangu pamoja na zawadi mbalimbali toka kwangu lakini nashangaa kabadilika kuna siku kaniomba pesa ya kununua viatu vya kike yaani ndala ,alidai alizo kuwa nazo zilikatika.
Namnavyo jua saa hizi hali si shwari mtaani basi nikamuahidi kuwa ntamchukulia siku yoyote, akasema poa
Mambo toka siku hiyo yaligoma kabisa kuhusu kupata mpunga, sasa kwa huyu msichana naona kakasirika na yale mazoea kama kipindi cha nyuma yamekata ghafla,
Kipindi cha nyuma alikuwa akiniona lazima asimame tupige hata story kidogo, saa hizi hata akiniona anabadili njia.
Toka siku nimempa ahadi ni siku ya tano sasa hata hana muda na mimi ,akija mtaani kwetu anahemea na kusepa.
Wakuu ushauri wenu je, nimfanye nini huyu msichana?
Au nijitoe mapema kabla sijaumia zaidi na stress za mapenzi?
Je, anamapenzi ya kweli au amenipendea pesa?
Kwanini nikimwambia sina hela anachukia na ananihoji kuwa hela zangu nazipelekaga wapi?
Cha mwisho haamini kuwa mimi nina mpenzi mmoja tu ambae ni yeye.
Daaaah! Sijui alinishauri nani?
Muwe na siku njema...
2020Bin Shaib Classic
Sent using Jamii Forums mobile app