Simuelew anapenda mwili au mimi!!!

Simuelew anapenda mwili au mimi!!!

Mbona haeleweki,anapaswa kukubali jinso ulivo labda kushauriana na kupeana mawazo kikawaida kwa uhalisia kama umezid unene ama umezid wembamba lakini sio kukufananisha na mademu wa rafiki zake,huo n ulimbukeni
 
anataka uwe presentable hata akifika sehem akisema huyu ndo wife nin? wana waseme dah fresh jembe hapo umechagua sio kimbau mbau au michelin...
 
Mwambie huna pesa zakujilisha kitu chakufanya ni akuoe akulishe unenepe iliajifaharishe kwa rafiki zake ....lol
 
kwanza kupungua sana is not healthy. Naomba uje unapaswa kuwa na uzito kiasi gani kitaalamu, kabla ya kujipunguza sana! Na kama mmeanza hivyo, mbona sioni mbele?ukibeba mimba utajipunguzaje? ukiwa unanyonyesha utafanyaje???????????????endless questions!

Mmmmhh kweli mkuu
 
Yaani umepungua kilo 20!!! kweli umefanya jitihada aisee...
Turudi kwenye topic, hapo dada ninahisi unapotezewa muda, kama anapenda wasichana wenye miili ya kawaida kwa nini alikutafuta wewe mnene...
Kama bado unampenda na hutaki kuachana naye binafsi nakushauri hamia plan B....hakikisha kunako 6 x 6, una mpa mambo mpaka anapata breini konkasheni in that way hatajali sana umbo lako...

Yaaaan kweli swala la sita anapewa ila simuelew
 
Before doing anything you better understand that men are form Mars and women are from Venus..in that sense we differ!
Kwani na wewe hujamwambia apungue au aongezeke?.. ina maana na wewe waume za marafiki zako wako kama yeye??...
Mara nyingi na sisi wanaume huwa hatujulikani ni nini tunataka kwa wake zetu!!...i feel sorry for you so to speak...
My take,a good beginning makes a good ending and vice versa...watch out!

Den what should I do
 
Mi naomba kujua umepunguaje naitaj nami kupungua plz

Nimemtuma asali na mdalasini, pia na juice ya forever, jaribu ni nzuri sana ingawa mi imenisaidia ila bdo work done is=0 haridhiki
 
Muonekano mzuri ni kwa ajili ya afya yako! So ukibongeka au kuwa chikonde lazima uambiwe uchukue hatua! Bora huyo anayekwambia kuliko anaetafuta substitute!

Niambie njia uliyotumia kupunguza hizo 20KGs ndani ya mwaka!!!!!!!????????? Please!!!!!!! Kizuri kula na wenzio! Nipe bana diet hiyo nianze mara moja!

asali na mdarasini,pia products za forever na mazoezi ya hapa na pale!!! hya hop itakusaidia
 
suntzu6_1024.jpg
 
Mi ndo maana ni m'binafsi sana aisee. Nitapungua uzito kwa ajili YANGU! Nitapungua kwa ajili ya afya yangu binafsi, urembo ama muonekano wangu binafsi, na kama ni kwa ajili ya kuenjoy sex mimi binafsi! Nitavaa nguo flani ama viatu kwa ajili YANGU!

Siku utamkuta huyo baba na tinginya lenye kg 150 ama kimbaumbau chenye kg 35 usipozimia utakufa. Kama alikuwa anawapenda wembamba hakuwaona barabarani hadi akukondeshe! Wallah ningekuwa wewe, sijui kama bado angeitwa mchumba huyo!

Nifanyaje nishauri plz
 
In short alitaka ukonde sababu ya marafiki zake wanamcheka, na yeye alitaka nini kwani marafiki ndio wanayekuoa ?

Wewe kama unataka kupungua pungua kwa ajili ya afya yako na sio kumridhisha mtu yoyote.
 
Dada kwani wewe mwenyewe hujielewi? Umeanza vibaya sana, kwani ni nini unataka? Ulikuwa comfortable ulipokuwa mnene? Ulipendendelea kupungua au kubaki mnene? na kama kupungua ni kwa kiasi gani dear?
Niliwahi kuwa kwenye situation kama yako alisema yote lakini sikufanya juhudi yoyote ya kupungua kwani haikunibother that much baadae nilipoamua na kuona sasa nataka nirudi size 10 nilifanya jitihada mwenyewe bila msukumo wa mwanaume. Ushauri wangu ni kufanya kile unachopendezwa nacho, epuka kumpendeza mtu hasa linapokuja suala la mwili wako unless uko kwenye health risk. Be yourself na jipende ulivyo, hapo kaanza hivyo na mwili kesho atakuambia mavazi kwani anataka mke wa maonyesho? Ningekuwa miye ningerun as fast as i can before i tie myself kwenye ndoa

Thank you sana
 
anataka uwe presentable hata akifika sehem akisema huyu ndo wife nin? wana waseme dah fresh jembe hapo umechagua sio kimbau mbau au michelin...

Mmmmhh jaman mi hta sielew!!!!
 
In short alitaka ukonde sababu ya marafiki zake wanamcheka, na yeye alitaka nini kwani marafiki ndio wanayekuoa ?

Wewe kama unataka kupungua pungua kwa ajili ya afya yako na sio kumridhisha mtu yoyote.

Asante sana mkuu
 
Lara 1 kama unataka diet ya kupungua kuanzia kilo 5 kwa wiki mi ninayo, nikupe?
 
Pole my sisy, love is ol about true feelingz en sacrifice which u've alredy shown them 2him. Try 2talk wit him, am sure he'll undrstnd you
 
Mmmmhh jaman mi hta sielew!!!!
ni hivi anataka uwe unonekana fresh ili hata ukitambulishwa kwa rafiki zake yeye mwenyewe aone fresh na rafiki zake wakubali kwamba uko fresh..so usiwe mwembamba kama kimbau mbau au usiwe mnene..kama sanamu la michelin...nafikiri umenisoma
 
Kuna watu na vituko
Huyo jamaa yuko na wewe kwa ajili ya show off au kwa ajili ya mapenzi
Anakupenda wewe ana aupenda the way unavyoonekana mbele za marafiki zake
So marafiki zake wakimuambia una miguu mibaya au macho yako ni mabaya atakuambia ukayabadilishe au ufanyeje
Jiangalie sana na sometime kaa nae umweleweshe kuwa mapenzi ni yenu wawili na hao wanaokutoa kasoro yeye mbona hawamtoi yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom