Habarini wakuu!!?
Mi ni binti ambaye natarajia kuitwa mke wa mtu mwisho wa mwaka, nko na mpenzi wangu kwa muda wa mwaka mmoja, Ila simuelewi kabisa wakat ananitaka nilikuwa mnene sana tu tulivyoanza mahusiano akasema nipungue coz marafik zke wote wake zao ni wembamba.Nimehangika sana kutumia madawa na mazoezi kiasi cha kwamba nimepungua kilo 20!!!
Eti sa hv ananiambiwa nimekuwa mwembamba sana mpaka anaona aibu kutoka out na mim,nisaidieni sielew anataka nin???
Napendaga maturboo{BBW} Njoo kwangu...Ni PM Tuangalie uwezekano mi bado nipo single...Rudisha weight yako ile ile mpendwa asikuumize akili huyo mtazama vya wengine/anaiga tembo kunya.Habarini wakuu!!?
Mi ni binti ambaye natarajia kuitwa mke wa mtu mwisho wa mwaka, nko na mpenzi wangu kwa muda wa mwaka mmoja, Ila simuelewi kabisa wakat ananitaka nilikuwa mnene sana tu tulivyoanza mahusiano akasema nipungue coz marafik zke wote wake zao ni wembamba.Nimehangika sana kutumia madawa na mazoezi kiasi cha kwamba nimepungua kilo 20!!!
Eti sa hv ananiambiwa nimekuwa mwembamba sana mpaka anaona aibu kutoka out na mim,nisaidieni sielew anataka nin???
Binti unachekesha! Kwa hiyo huyo mchumba wako alitaka upungue kwa ajili ya shinikizo la wake wa marafiki zake? Kwani wake wa marafiki zake waliongea nini hadi wafikie kukudiscuss na walikuwa wanaongelea wapi ambapo marafiki zake walikuwa na wake zao lakini yeye hakuweza kwenda na wewe?
Pengine hao "wake wa marafiki zake" wamemwambia mwanamke gani ''unataka kuoa hakufai'' hivyo akaamua kukuambia uslim lakini mbona baada ya kupunu sana anaanza tena mawenge ? Kwani hao wake wa marafiki zake si wanakufahamu? Kilichowazuia wao ukueleza wenyewe hadi wamwambie mchumbako ni nini?
Kuna walakini, unahitaji kuchukua maamuzi mazito maana mkishaoana ukapata watoto usitegemee mwili utaenelea kukubali kuwa twisted kiasi mnachotaka. Pengine wakati huo atakuja na jipya kabisa kuwa matiti yako yamenyonywa jaribu kuyasimamisha! ha! ha! ha!
Vijana wa siku hizi bwana! Jamani mi napita kidogo!
Habarini wakuu!!?
Mi ni binti ambaye natarajia kuitwa mke wa mtu mwisho wa mwaka, nko na mpenzi wangu kwa muda wa mwaka mmoja, Ila simuelewi kabisa wakat ananitaka nilikuwa mnene sana tu tulivyoanza mahusiano akasema nipungue coz marafik zke wote wake zao ni wembamba.Nimehangika sana kutumia madawa na mazoezi kiasi cha kwamba nimepungua kilo 20!!!
Eti sa hv ananiambiwa nimekuwa mwembamba sana mpaka anaona aibu kutoka out na mim,nisaidieni sielew anataka nin???
Habarini wakuu!!?
Mi ni binti ambaye natarajia kuitwa mke wa mtu mwisho wa mwaka, nko na mpenzi wangu kwa muda wa mwaka mmoja, Ila simuelewi kabisa wakat ananitaka nilikuwa mnene sana tu tulivyoanza mahusiano akasema nipungue coz marafik zke wote wake zao ni wembamba.Nimehangika sana kutumia madawa na mazoezi kiasi cha kwamba nimepungua kilo 20!!!
Eti sa hv ananiambiwa nimekuwa mwembamba sana mpaka anaona aibu kutoka out na mim,nisaidieni sielew anataka nin???
kwanza kupungua sana is not healthy. Naomba uje unapaswa kuwa na uzito kiasi gani kitaalamu, kabla ya kujipunguza sana! Na kama mmeanza hivyo, mbona sioni mbele?ukibeba mimba utajipunguzaje? ukiwa unanyonyesha utafanyaje???????????????endless questions!
Acheni fikra potofu, unene au uzito mkubwa wakati wa ujauzito hauepuki lakini baada ya kujifungua ni kujiendekeza na mila potovu kuwa mmama kutoka uzazi umenenepa ndo afya na kujua kulishwa,mmama nae anabugia malita mengi ya uji na mitori ili anenepe wakati kuna lishe zingine nyingi tu na za afya kwa mama kama huyo.
Haya mambo ya kumteka mtu kwa usanii kwenye ngono yamepitwa na wakati. Hatudanganyiki!Yaani umepungua kilo 20!!! kweli umefanya jitihada aisee...
Turudi kwenye topic, hapo dada ninahisi unapotezewa muda, kama anapenda wasichana wenye miili ya kawaida kwa nini alikutafuta wewe mnene...
Kama bado unampenda na hutaki kuachana naye binafsi nakushauri hamia plan B....hakikisha kunako 6 x 6, una mpa mambo mpaka anapata breini konkasheni in that way hatajali sana umbo lako...
Habarini wakuu!!?
Mi ni binti ambaye natarajia kuitwa mke wa mtu mwisho wa mwaka, nko na mpenzi wangu kwa muda wa mwaka mmoja, Ila simuelewi kabisa wakat ananitaka nilikuwa mnene sana tu tulivyoanza mahusiano akasema nipungue coz marafik zke wote wake zao ni wembamba.Nimehangika sana kutumia madawa na mazoezi kiasi cha kwamba nimepungua kilo 20!!!
Eti sa hv ananiambiwa nimekuwa mwembamba sana mpaka anaona aibu kutoka out na mim,nisaidieni sielew anataka nin???