...angebaki kwao basi...wanawake wa siku hizi mana matatizo gani...?
Naomba tufunge mjadala make nimeoona regrets za mlengwa! Pengine alipata ushauri mbaya! Anaomba po ila mm sijakubali nitaamua kwa akili yangu nn kifanyike na nimemwambia sintoomba hata sent tano yake ktk maisha yangu! Ameregreaj sana ila mm sipo tena tayari kuendelea na relationship hii! Toka moyon kabisg amenipigia cm nying sana sijapokoea hata moja nina hasira sana make nimemsomesha huyv mtu!
kwao kufanyanini? Si ameolewa huyo mwanamke? Kwani ukiambatana na mumeo ndo hata kwenu usitoe msaada? Tatizo lao hawana effective communication baaaas!
We kumbuka, huyo ni mumewe na si kaka yake. Does not make sense kwamba kwenu unapeleka hela kibao halafu ukatae kulipa ada ya mwanao. Kama unadhani ada ni ya mume pake day in day out, huko anakopeleka hela hhakuna baba..??? Au hakuna akina kaka ambao nao kuna watu wanawaita baba..??? Au mume wa huyo bidada ndo baba pekee hapa duniani...??? Kuna wanawake mmelelewa kuwa tegemezi kwa wanaume and at the same time kila kukicha mnalalamikia mfumo dume... Huo mfumo mnaujenga wenyewe kwa imani kama hizi kwamba hili anatakiwa afanye baba hata kama kakueleza hali yake kifedha wakati huo...hee! Wewe so kama umemsomesha? Kuuumbe! Unataka kulipwa fadhila eeeh? Hapa ndipo unapokoea..so ukimuacha hasara kwanani? Si kwa mtoto wako ebo!.. Then ninawaswas hujawahi hudhuria mafundisho ya ndoa wewe au hujafunga naye ndoa huyo bibie ndio maana hujiamini! Wacha hizo mambo utawaacha wangapi?
Unasema huyo amezidi! kuna huyo mama anauza hadi chakula cha kula watoto wake store halafu anarudi zake chuo arusha.Pole mkuu. Huyu mama amezidi mtoto wake wa kuzaa ashindwe kumlipia ada..tena kwa sababu mmewe amekwama, sasa anafanya kazi ya nini. Si aache kazi basi awe mama wa nyumbani.
Hebu fanya yafuatayo ingawa ni maamuzi magumu:-
1. Tafuta ada hata kwa kukopa kwa ajili ya mwanao
2. Fanya mpango uwachukue wanao ukae nao na utafute mdada wa kuwahudumia
3. Acha kumshirikisha mambo yako huyo mwanamke
4. Usimtembelee wala usimwambie maendeleo ya wanao.
Mambo hayo yote uyafanye hadi atakapojirekebisha mwenendo wake na atakapokubali mkae chini na kupanga maisha yenu ikiwa ni pamoja na kukubaliana majukumu yenu kwa ajili ya maendeleo yenu.
Kutetea majibu ya huyo mwanamke ni kuzidi kumdhalilisha mwanamke.
Huyo atakuwa pepo au mzimu hana sifa ya umama.Unasema huyo amezidi! kuna huyo mama anauza hadi chakula cha kula watoto wake store halafu anarudi zake chuo arusha.
....Umesoma post yake hujaisoma...sijaona mahali alipoandika kwamba kwao kuna shida anatoa msaada...ila anafanya biashara na ndugu zake...!!! Mkioana mnajenga FAMILIA yenu wanandoa kwanza ..especially kama ndoa ni changa..na huko kwnye kujenga kuna mambo ya msingi..kama hilo la mtoto kwenda shule.....wanawake wa siku hizi u have to change ur perception...angalieni hata wenzenu nchi zilivyo endelea wanavyo angangaika kujenga familia zao..hasa kwenye elimu na mahali pa kuishi...kwao kufanyanini? Si ameolewa huyo mwanamke? Kwani ukiambatana na mumeo ndo hata kwenu usitoe msaada? Tatizo lao hawana effective communication baaaas!
na wewe ndio walewale puuuuuu! we inaelekea umelelewa maisha ya mfumo dume na mfumo kike,kwamba mfumo kike tunafanya hivi,mambo yeti ji haya,ns kuwa mfimo dume ni huu na mambo yao ni hayaUkimuuliza huyo mwanaume kama alishawahi kutuma hela kwa wakwe zake utashangaa majibu. Utashangaa zaidi ukimuuliza na yeye ameshatuma hela ngapi kwao ndo utakoma. Hukawii kukuta anamjengea dadake!
Lol! Hivi huyu ni mwanaume kweli anakuja kulalamika juu ya kusomesha mtoto? Mimi hwa najuaga kuwa baba ndie hubeba majukum yote, mama huwa anafanya kama kusaidia tu........... Hii ndio shida yakuwa na mume asiyejua nafasi yake kama mume, kazi kweli.
Ujinga ni pale unaposema kipato cha mkeo ni chake mwenyewe na Ana hiari ya kkpa au kutokupa! Kwa maana nyingine ni kuwa anahiari ya kuhonga mtu mwingine aule wakati familia inateseka. Huu ni ujuha full stop!