Simuamini tena mke wangu!

Simuamini tena mke wangu!

PesA aliyotumia ndugu zake ulimpa?au kaitokea jasho.hahhaha wanaume bwana.we unafanys kazi mbona hujatwambia pesa unapeleka wapi? Inaonekana hata hapo nyumbani hujui wanachokula wanatoa wapi na ndio mana kakujibu hiv yo na ndio maana kaamua kudeal na ndugu zake
 
hebu rudi kwanza kajifunze kuandika ndipo uje uonyeshe ujinga wangu.
kama huwez kusoma na kuelewa basi usijibu manake ukijibu utajibu makosa.
Ujinga ni pale unaposema kipato cha mkeo ni chake mwenyewe na Ana hiari ya kkpa au kutokupa! Kwa maana nyingine ni kuwa anahiari ya kuhonga mtu mwingine aule wakati familia inateseka. Huu ni ujuha full stop!
 
Wakuu hapo ndo nashindwa kuelewa ile kauli mbiu ya haki sawa kwa wote, likija swala linalohusu majikumu ya kifamilia yanakuwa ya baba peke yake! kwenye kipato anataka ajue chako lakini zake hazikuhusu! Nyumba ndogo zinaibukia hukohuko, manake msela ana donge limemkaba anaamua kwenda huko, japo sio option nzuri. Anyway bro, maadam umeshamjua we komaa watoto wako wasome, wala usiwaze sana. Mie mzee wangu katusomesha watoto wote wa5 na alikuwa ananunua mpaka chumvi na mama ni mtumishi. Lakini mwaka wa 40 huu bado wapo na mama wanadunda.
 
Mkuu Edison, pole na yaliyokukuta! Kwanza rejea kwenye ukweli kwamba mwanaume ndiye kichwa cha familia katika mji wowote, yeye ndiye mwenye majukumu yooooote ya kifamilia, hili ni compulsory na wala halina option! Utamaduni uliojengeka hasa katika jamii zetu hizi za kiafrika ni kwamba, mama halazimiki kuwa bread winner of the family, hasa kama baba yupo, tena akiwa mzima mweye afya! Hivyo,mwanamke yeye ana opton katika kuitunza familia as they consider it not being their mandatory task, regardless uchumi wa mke ni mkubwa kiasi gani ukilinganishwa na wa mumewe! Imezoeleka hivyo, na ndivyo wafanyavyo wanawake walio wengi Afrika, na hata karibuni dunia nzima! Imeandikwa katika vitabu vya dini, "Enyi wanaume, ishini na wake zenu kwa akili". Mkuu stuka usingizini!-

MY TAKE!
-Mkuu kama ulioa mtumishi kwa maana ya kuwa upate unafuu wa maisha, hilo liondoe kwani linategemea saana mtizamo wa mkeo, inawezekana yeye anawathamini na kuwajali zaidi ndugu zake kuliko wewe! Ieleweke kuwa, wapo wanawake waandaao future zao somewhere else kusikojulikana na waume zao! Hii ni hatari zaidi kwani kufanya hivyo logically kunamaanisha hana mpango wa kuendelea na wewe hapo baadae, na nina hisi mkeo hili ndo alifanyalo so longer hauelewi transaction za pesa zake zinaelekea zaidi kwa dada yake bila wewe kujua nini sababu ya yeye kufanya hivyo!
Pili, jitahidi saaaaana uishi -na mkeo pahala pamoja! Hii mambo ya eti uko Dar, yeye yuko Musoma ni uongo! People do change bhanaa... sie binadamu tunashawishika! Inawezekana tayari mapedesheee wameshamvuruga akili ndo maana anakujibu hovyo! Angelikuwa nyumbani uko naye kila leo, ingelikuwa ni rahisi kuitambua na kuidhibiti mapema mienendo yake usiyoridhishwa nayo!

I can see some facts here hasa kwenye red!
 
1.muahamishie dar ama wewe uhamie huko,kama umeahirisha kumhamisha unaongeza uwezekano mkubwa wa kukusaliti katika ndoa na hapo itakuwa ni mbaya kuliko hili.
2.huyo mwanamke tayari ameshaingia jeuri,na kamwe jeuri ya mtu huwa haimalizwi na ushauri,bali atakutana na dunia ndio itamnyoosha lakini kwa sasa hawezi kukusikiliza bali ataendeleza jeuri kwako.
3.watoto wasomeshe,usimwingize tena kwenye mahesabu kuwa atakusaidia,una wajibu wa kuwatunza watoto wako na kuwasomesha lakini mwenzio ashaingia mawazo ya kijinga na hapa ndo wanawake huonyesha jeuri yao.
 
mchoyo tu huyo ! ila kuna watu wabinafsi sana...yaani nimenotice kitu kimoja watu wanakipuuza ukikosa mwenzi mkarimu asie na choyo moyoni ....utateseka sana
hawa watu wa changu ni changu hawa ???? ni noma
 
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?

Nahisi kuna vitu vya chinichini unavyovifanya bila kumshirikisha mkeo, sasa amegundua ameamua ku-revange. Au amegundua una nyumba ndogo, ameamua asiwekeze kwako, ameanza kuchukua chake mapema.
Au matumizi yako hayaeleweki, hela yako haijulikani inafanya nini.
Nakushauri jitathmini kwanza wewe mwenyewe kabla haujamuukumu mke wako.
 
Mie mwanamke asiyetaka kumsaiidia mumewe na hali anao uwezo namuonaga kilaza wa kwanza, sasa mihela unaitafuta aile nani kama si uwapendao, mume na watoto wakiwemo? Kujazana ujinga tu, mwanamme majukumu, kama naye siku hiyo hana, na kweli hana, na mke unazo kwa nini usimpe? Labda kama kidumu.
Yaani unanuoma mume kapanda kitandani anasononeka hana hela ya ada, na mke anazo, na bado unakataa kumsaidia? Kwanza kufanikiwa kwa watoto sio sifa ya mume tu, ni sifa kwa familia nzima.

Hizi elimu bado hazijakomboa baadhi wanawake kabisa. Mtu anapata hela halafu hazitumii kwa wahusika wa kwanza? Tufyakwa!
umenena kongosho,kula gwala kwanza!binafsi mamaangu amekua msaada mkubwa sana kulko dingi,kafight mpaka leo npo chuo kwa jasho lake,angeamua kuwa mjinga na mbinafsi km huyo mke wala ncngefka hapa nlpo.Wanawake badilikeni,wapen sapoti waume zenu wakwamapo kwa ustawi ya familia.
 
Ujinga huu ndio unasababisha watu wengi wakishaoa wanawaachisha wake zao kazi! maana mwaka mzima yuko kazini lakini hakuna anachosaidia hapo nyumbani. si bora ashinde nyumbani tu! mkuu Edison hebu jipe muda kidogo utafakari kisha fanya maamuzi magumu, mrudishe mama nyumbani alee familia. hizo kazi zake hazisaidii familia yenu.

whaat?
 
Ujinga huu ndio unasababisha watu wengi wakishaoa wanawaachisha wake zao kazi! maana mwaka mzima yuko kazini lakini hakuna anachosaidia hapo nyumbani. si bora ashinde nyumbani tu! mkuu Edison hebu jipe muda kidogo utafakari kisha fanya maamuzi magumu, mrudishe mama nyumbani alee familia. hizo kazi zake hazisaidii familia yenu.

Mimi hii naiunga mkono,logic ya yeye kutafuta kazi ni nn? Si ili msaidiane sasa kapata anakuongezea garama za kumfata huko mara.Aache kazi au uhamisho hapo mara moja.
 
Sure, hata mimi nimekosa ushauri.....
Pole sana Mkuu...Inauma sana kuona mkeo yuko tayari kuona mwanenu anaacha shule kwa madai naye hapa pesa na hapo hapo una ushahidi wa yeye kutuma pesa chungu nzima kwa nduguze. Sijui hata nikushauri nini Mkuu...Pole sana.
 
acheni ujinga, mke na kila kitu alichonacho ni cha mme, na mme hali kadhalika! Chochote apatacho mkeo LAZIMA akiweke kwenye kapu la familia ambalo lina mapato yote ya mume yamo! Ndio mnaanza kupanga kipi kianze na kipi kisubiri! Kama hawezi achana nae maana ni either yupo nawe au kinyume!

! Siyo lazima pesa za mwanamke ziwekwe kwenye kapu la familiaaa! Labda kama kuna MAKUBALIANO hayo! Otherwise kama ni mwanamke mwenye BUSARA na HEKIMA atamsaidia mumewe kwa hili na lile! Otherwise otherwise otherwise pesa zangu ni zangu na zake ni zetu.kuna baadhi ya wanaume ukiwaendekeza kwa hilo hata kyupi hununui! Mweh!
 
Najua kiasi gani anapata na anaweza kumlipia huyu mtoto isitoshe hata elimu aliyonayo nimechangia sana mpaka anafikia hapa alipofikia! Baada ya kugraduate na kukaa home huku ajira zikiwa magumashi hatiwae fursa ikapatikana huko tukashauriana kulikoni kukaa nyumban bora aende huko halafu tutafanya uhamisho mabadiliko ya kitabia yameanza ndan ya miezi miwili hii ya karibuni! Anyway sintojali sana
 
Mkuu, mi nakushauri hivi, mwambie aache kazi na awe mama wa nyumbani, hi italeta heshima hata kwao cause hadi pichu itanunuliwa kwa cost code yako.
 
Mimi ni money monger ila kwenye suala la (uchoyo kwenye hela lakini) sina. Haswa kugharamia familia, mradi tu isiwe kuchezewa fix. Nahakikisha umeshindwa kweli, ndipo na support. Na suala la elimu ya mtoto sina masihara!
Huyo mwanamke hakufanya sawa kama anazo hela lakini. Pengine kamaliza na wewe umemstukiza!

Kusaidiana ni vzr ila isiwe sheria kwa mwanamke kubeba jukumu hilo la mwanamme.

Na wewe pia jipange kaka kuweza kuihudumia familia. Ukweli utabaki palepale hilo ni jukumu lako na usibweteke!

Kauli aliyoitumia mkeo, ndio sijaipenda na labda kama mlikua na kaugomvi huko nyuma.
 
.........
Nimfanyaje mke wa namna hii?

.........
Pole sana Swaiba!
Unajua bhana uyo mkeo bado anamawazo ya kugawa majukumu ya mume na mke bila kuzingatia kusaidiana kwa mtoto wenu wenyee!
.........
Huyo {mkeo} usimfanye lolote!!!
KUTAMBUA TU unaishi na mtu kama uyo ni silaha tosha ya kukufanya ujipange na kuandaa mikakati mizuri kwa mwanao!
Just mkumbushe tu, kama anavyofanya sio fear!
 
Mgema vyake huwa haviliki.

Hahahahahaaaaa vinalika ila ujue namna ya kuvila... sio unakuja na mihasira huko, leta mshahara wako, mbona unafichaficha, ukiambiwa school fees unajibu huku uko mlangoni c ulipe wewe kila siku mm! khaa utavila wp! Vitajenga nyumba za watoto!
Ukibembeleza ukajua kumtreat mwanamke hela unaila wala haina kokoro iyo! Mbona wanaume weengi hapa town wanaishi kwa kutegemea wake zao? Ni maelewano na mapenzi!
 
Back
Top Bottom