Simuamini tena mke wangu!

Simuamini tena mke wangu!

Binafsi nadhani wanandoa muliangalie swala la kukaa mbali mbali (mikoa tofauti), hapo hata maana ndoa nadhani inakosa uzito unaostahili. mizozo na matatizo ya hapa na pale hayataepukika kwa style ya ndoa hizi.
Kuna wanaoenda kusoma nje, au kikazi kwa muda fulani; thats ok, lakini wote mpo nchini mnafunga ndoa then mnaishi over 800 kilometer apart; nadhani matatizo mengine mnajitakia aisee.
 
nachoshauri kwa hapo ni kuwa tafuta namna yeyote ya kuwa karibu na mkeo kwa maana ya kuishi pamoja kwani naamini itakuwa ni mwisho wa tatizo hilo lakini usimkatie tamaa kwani hutampata malaika kwenye dunia hii labda umuumbe mtu wako mwenyewe
 
Mie naona kafanya jambo jema sana.
Maana ninyi wanaume huwa hamuaminiki hata kidogo.
kuamini au kutokuamini kunauhusiano gani mtoto uliyemzaa mwenyewe?
kwahiyo hata akisepa utamuacha mtoto akae nyumbani kwasababu jina liloandikwa ni la mumewe?
tumiaeni akili kwakua mtoto ni hazina kwa wote wawili....sio usubiri akishaanza kuwaletea ugali ndo unakua na maneno yasioisha kuhusu kupata shida naye kumkuza na kumsomesha...
 
Haya ndiyo matatizo ya wanaume wa cku hizi wanaoa wanawake wenye kazi ili kupunguziwa majukumu yao! Aaaagh! Kwani kutuma pesa home ni tatizo? Labda kama hajakushriksha! Je,mlikubalianaje kuhusu matumizi yenu ya pesa?au umemkurupusha tu?afterall mwanaume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia zakwangu nitatoa nikiamua tena penye ulazima eboo! usilalamike kakope! ndo uanaume huo!
sawa hatukatai....ila angalia usiwe wewe ni wale wako radhi wafukuzwe kwenye nyumba kwa kukosa kodi kisa mumewe amekwama...na ili hali anayo.
to bad...
 
Mzee jukumu la kusomesha mtoto ni lako wewe baba
mkeo ata akiwa na milioni 900 hizo ni zake
Acha kufuatitilia mkeo kuhusu pesa
Unataka amtumie nani
Hujafundwa wewe nitafute haraka

Hahahahahaaaa........ nilidhani wanaume wameisha siku hizi, kumbe bado wapo! Hongera sana mtafute mwanaume mwenzio huyu! Amezidiwa lol mpaka anataka kuacha mke, sasa akienda kutoa talaka sijui atasema nini kwenye kikao!
 
Wanawake wengi wana tabia hizo......kama mwanamke huwezi kukubali kwambi mmeo ndiye ndugu wa karibu kuliko hata mama yako basi utaendelea kulaumu mmeo hakupendi maabna mwanaume akigundua hayo anajitoa taratibu kwako na wengine ndiyo anajifanya yuko na wewe lakini anakuwa na nyumba ndogo pia
 
ndoa....!
..ss mkuu hata hatuujui makubaliano yenu kwny masuala ya pesa!
..km mwanaume ni jukumu lako hilo bt ukisaidiana na mama,.hapa wanawake lazima tukubali kusaidiana kupo! Ila sio mwanaume ss ndo ujiachie kila kitu afanye hyo mkeo
..najua sio muda wote mtu unakuwa na hela, ila hapo mwanamke nae hajafanya fresh,ss akiacha mtt akae nyumbani atakuwa amemkomoa nani!?
...big up my Mom aisee!
 
kuamini au kutokuamini kunauhusiano gani mtoto uliyemzaa mwenyewe?
kwahiyo hata akisepa utamuacha mtoto akae nyumbani kwasababu jina liloandikwa ni la mumewe?
tumiaeni akili kwakua mtoto ni hazina kwa wote wawili....sio usubiri akishaanza kuwaletea ugali ndo unakua na maneno yasioisha kuhusu kupata shida naye kumkuza na kumsomesha...

Ila ingekuwa mwanaume amekimbia nyumba,haya yote yasingekutoka.
Kwa kuwa ni mwanamke basi mpaka mishipa ya shingo inawasimama.
 
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. Kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy!

Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahisi kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu!

Nimfanyaje mke wa namna hii?

pole sana...utakuta hata hizo pesa anazomtumia dadake hafanyi biashara ila anamsaidia dadake kumsomeshea watoto.

kuna wanawake wengine huwa wapumbavu sana, wanafikia kuona watoto aliozaa na mume wake ni wa mume wake na watoto wa dada yake ni watoto wake......huyo wako anaweza kuwa hivyo.

Komaa na watoto wako mkuu....wakikua waeleza mama yao alivyowatosa ili naye aumie.
 
Afu mbona huji Biafra ninaporudisha heshima ya ndoa kwa mazoezi makali chini ya ticha Rasta?

teh teh nitakuchekkaribuni wewe noumah nakukubali,mwambie basi aongeze mazoezi na ya kiuno hadi mzee ashangae kinavyozunguka kama feni!!
 
Edson pole ...., ujanja wako wote huo umekutana na kiboko yako ...... mrudie mkeo mtakomoana kila mmoja ataanza kwenda njia yake wato+o ndio watakaopata shida. ,.....
Mamndenyi...nimestuka kweli....huyu mleta uzi sio mimi....kuna ka tofauti kadogo kweli kwenye majina yetu kwangu hakuna ''I'' wakat kwake ipo...
 
Last edited by a moderator:
Edson vaa viatu vya baba wa familia na hudumia familia yako. Pesa za kina mama zinawatosha kwa saloon na kucheza kibati si vinginevyo
Ndachuwa....umenichangnaya na huyu mleta mada....ni watu wawili tofauti....na tofauti yake ni ndogo sana ni herufi ''i'' jina langu halina hiyo kitu
 
Last edited by a moderator:
Basi na mie nilijua ni wewe, nikakuhurumia unavyochachafya kule si hasa afu home una bosi bwana?


hahahaha...bwana weee..na nimeona wengi wanadhani ni mimi....

haya bwana Kongosho....''april tutakunywa chai kigali''
 
Last edited by a moderator:
Kaka pole kwa yanayokucbu! humu kuna mada ya dogo1 anaetaka kuoa MKE mwenye KZ akiamini atamsaidia kwenye Maisha huu ni mfano tosha kwa wenye mawazo km yale! Kwakawaida mwanamke akiwa na PESA ni mara chache sn! kusupport Familia nina mifano ya wazi kabisa Huwa wanajivua Jukumu lakuSupport Famila nahata km atatoa anaona km anakusaidia2 na lazima atanung'unika! Ndo mana cc wengine mambo yakutegemea PESA ya mwanamke tulishasahau cku nyingi! Ktk shughuli zake ctakagi hata 100 yake pambana kaka ulipie wanao!
 
Acheni habari zenu bana. kama malezi ya familia ni ya baba, sawa kabisa huyu jamaa apambane alee na kusomesha watoto wake pamoja na mke wake ahakikishe kwamba anapata kila kitu anachohitaji maishani. huo ni upande 1 wa shilingi ila upande wa pili huyo mama anatakiwa aache kazi arudi dar es salaam aje kukaa nyumbani apate kila kitu toka kwa mumewe. ni upuuzi tena usiovumilika mke yuko Musoma anafanya kazi halafu mume yupo dar then mke anasema hatachangia chochote kwenye kulea familia!!!! akubali kurudi kwenye role yake ya umama arudi nyumbani kulea watoto na mume then mume ataleta mahitaji yote ya nyumbani sio watoto na mume wanapata shida hakuna wa kuwalea eti mama yupo kilometa 3000 huko musoma anafanya kazi halafu hachangii chochote kwenye familia!!!! non sense. angekuwa mke wangu angeacha hiyo kazi kesho yake. na wewe mwanaume usije kulia lia hapa jukwaani simama kama mwanaume fanya maamuzi magumu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Haya ndiyo matatizo ya wanaume wa cku hizi wanaoa wanawake wenye kazi ili kupunguziwa majukumu yao! Aaaagh! Kwani kutuma pesa home ni tatizo? Labda kama hajakushriksha! Je,mlikubalianaje kuhusu matumizi yenu ya pesa?au umemkurupusha tu?afterall mwanaume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia zakwangu nitatoa nikiamua tena penye ulazima eboo! usilalamike kakope! ndo uanaume huo!
kama huo ndio uanamme sawa ila na uwanamke sio kufanya kazi ni kukaa nyumbani usubiri kuletewa na mume. sasa kazini unaenda kufanyaje?! wewe kaa nyumbani oga vizuri jivukize ubani uweke mwili tayari kuburudisha mume akirudi kazini. mahitaji yote utapata toka kwa mume!!!
 
Back
Top Bottom