Simu za Redmi zina shida ya overheating?

Na-comment kwa kutumia Redmi note 11 pro hakuna hiyo makitu na niliupgrade toka Redmi note 9S kwenda 11pro na kwenye hii note 9S SIJAWAHI PATA HIYO ISSUE. Inawezekanaje kuwa copy hiyo mazee

Karibuni tuanze kuukaribisha mwaka 2023
 
Na-comment kwa kutumia Redmi note 11 pro hakuna hiyo makitu na niliupgrade toka Redmi note 9S kwenda 11pro na kwenye hii note 9S SIJAWAHI PATA HIYO ISSUE. Inawezekanaje kuwa copy hiyo mazee

Karibuni tuanze kuukaribisha mwaka 2023
 
Natumia Redmi Note 10, naona kama heating yake ni ya kawaida tu, sijaona kama ni tatizo
 
Na-comment kwa kutumia Redmi note 11 pro hakuna hiyo makitu na niliupgrade toka Redmi note 9S kwenda 11pro na kwenye hii note 9S SIJAWAHI PATA HIYO ISSUE. Inawezekanaje kuwa copy hiyo mazee

Karibuni tuanze kuukaribisha mwaka 2023
Toa location Mpwa, Mimi Niko hapa Ibungu Lounge Mabibo Mwisho
 
Toa location Mpwa, Mimi Niko hapa Ibungu Lounge Mabibo Mwisho
Dah!! Mpwa I wish ningekua darisalama mie napatikana mji kasoro bahari ndani ndani huku nimeamua kuanza na laini baadae nakazia na ngumu
 
Wakuu salama?

Nilinunua Redmi 10 mapema mwaka huu, baada ya miezi michache ikaanza kupata moto sana na kumaliza battery haraka nikapeleka kwa agent aliyeniuzia wakapeleka service center mwisho tatizo halikuisha, wakanipa device nyingine hiyo hiyo brand ya Redmi, but note 10s. Miezi miwili sasa imeanza tena kupata moto sana haswa nikiwasha data halafu nikawa natumia camera.

Itapata moto mpaka inaleta notification kuwa "your device is overheating" Na wakati huo ina disable baadhi ya vitu.

Naombeni msaada wakuu, ni mimi nakosea matumizi au ni simu zina hili tatizo?

CHIEF MKWAWA
Hawakwambii tu, looks like factory error. Kuna batch ya hizi simu zilikuja na mawenge hatari, ila generally ziko vzr

Kati ya bidhaa za china nnazozikubali ni bidhaa za Xiaomi, including hizo redmi
 
Back
Top Bottom