Wickama
Platinum Member
- Mar 8, 2009
- 1,568
- 1,350
Wakuu,
Kiufupi ukifatilia wimbi la "simu za mkopo" hususan kutoka makampuni makubwa ya mawasiliano ya simu za mikononi utagundua mteja akimaliza mkopo basi kalipia karibu simu mbili za cash. Mteja anakopa Samsung Galaxy A15 (kwa cash ni Tshs 450K) tuseme kwa mwaka. Kila siku anakatwa Tshs 2200. Mwaka ukiisha kalipia Tshs 872 K. Sijui hii imekaaje na mamlaka zinazosimamia makampuni haya wala zile zinazolinda consumers. Sababu hata benki hazitozi riba za kiwango hiki kwenye mikopo yao.
Kiufupi ukifatilia wimbi la "simu za mkopo" hususan kutoka makampuni makubwa ya mawasiliano ya simu za mikononi utagundua mteja akimaliza mkopo basi kalipia karibu simu mbili za cash. Mteja anakopa Samsung Galaxy A15 (kwa cash ni Tshs 450K) tuseme kwa mwaka. Kila siku anakatwa Tshs 2200. Mwaka ukiisha kalipia Tshs 872 K. Sijui hii imekaaje na mamlaka zinazosimamia makampuni haya wala zile zinazolinda consumers. Sababu hata benki hazitozi riba za kiwango hiki kwenye mikopo yao.