Simu za kampuni ya Oppo zina ubora?

Simu za kampuni ya Oppo zina ubora?

Oppo A3s hii simu naipenda tokea 2018 mwezi wa 11 nimeinunua mpaka leo sijawahi kurestore wala haijawahi kuniletea tatizo lolote lile.
Screenshot_2020-02-06-08-43-20-37.jpeg
Screenshot_2020-02-06-08-43-24-63.jpeg
Screenshot_2020-02-06-08-43-29-21.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dual apps na second space bado ni vitu muhimu kwanguq
..............Out of topic!

Mkuu Kilangi masanja kama hutojali hii kitu “Second space” kwenye Xiaomi inasimama vipi/inatumikaje?nataka hasa kufahamu umuhimu wake kwenye matumizi,nina Redmi Note 5 naona ina-support hii kitu.

Nifafanulie tafadhali.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
..............Out of topic!

Mkuu Kilangi masanja kama hutojali hii kitu “Second space” kwenye Xiaomi inasimama vipi/inatumikaje?nataka hasa kufahamu umuhimu wake kwenye matumizi,nina Redmi Note 5 naona ina-support hii kitu.

Nifafanulie tafadhali.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Second space inakuruhusu kuifanya simu yako ijigawe pandey mbili, kila upande utajitegemea kwa kila kitu hata email yako . A kuwe na email Z na B kuwe na email Y.
Basi matumiz yote hapo yatakua tofaut ata ukitak kua na wasap
 
Hapa nawaona ndugu zangu bado mnaile kasumba ya kununua vitu kwa kuzingatia majina na sio specification.
Hio oppo ina tumia chip ya mediatek na mnayafahamu madhaifu ya mediatek, developer wengi hawadil nazo hivo, kuchelewa kupata update au kutokupata kabisa.
Nm12, ndio iliotumika hivyo huwezi ishindanisha na note 8 , Nm11imetumika.
Izingatiwe kadri namba ya Nm inavyozid ku ndogo ndipo ukaaji wa chaji na ufanisi wa kubrowse unavyoongezeka.
Oppo inatumia fast chaja ya ten watt ilhali note 8 inatumia 18watt.
Camera ya oppo ni dhaifu sana kwa hio ya note 8 japo zote ni 48mp.
Bei ya simu pia note 8 ni kuanzia laki tatu na hamsini elfu za Kitanzania na hio sijajua bei ila nahisi ni zaidi ya hapo.
Ir blaster ni kitu muhimu pia.
Hakuna cha ziada kinachoishinda note 8 sema mnanunua bidhaa kwa kufuata mkumbo .
Mkuu hiyo Note 8 ni Sumsung au Tecno?
 
nimekubali kua oppo ni machine kunarafiki angu mmoja anaitumia hapa inapiga picha Kali hazina ukungu..ila nimeongeza hela nimedaka Samsung a51 jaman hi simu ni nzuri sana hatakama n ghali
sh. ngapi
 
Naombeni ushauri kuhusu hizi simu za OPPO kwa waliowa
Oppo ni simu za Maana kabisa. Nimetumia sana, zipi ok kabisa

Chaji uhakika.
Camera uhakika.
Network connectivity uhakika.

Zipo za bajeti mbali mbali kwa kutegemea na mfuko wako tu
 
Tatizo la oppo iki-brick ukastuck kwenye bootlop unahitaji neema ya bwana
 
Back
Top Bottom