kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,031
+1
Xiaomi ndo simu pekee ya bei rahisi ikiwa na Ir blaster, muhimu Sana hiyo kitu.
OPPO ana simu nzuri ila nyingi ghali Na ukiona zabei nafuu jua Zina mediatek
Sent using Jamii Forums mobile app
Sh.ngapi?Oppo kampuni kubwa hazina matatizo kama samsung , Hivyo nakushauri ununue Oppo ... Realme model 1805 storage 32GB Ram 2GB, Oppo a3s Model 1803 16GB ,RAM 2GB .... Zote zinatumia processors Snapdragon 450nmView attachment 1338358View attachment 1338359
Sent using Jamii Forums mobile app
Oppo ina potrait ya nyuma tu haina ya mbelemkuu mimi natumia oppo a3s asee ni simu nzuri sana haswa .... Ona picha yakeView attachment 1336631
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nawaona ndugu zangu bado mnaile kasumba ya kununua vitu kwa kuzingatia majina na sio specification.
Hio oppo ina tumia chip ya mediatek na mnayafahamu madhaifu ya mediatek, developer wengi hawadil nazo hivo, kuchelewa kupata update au kutokupata kabisa.
Nm12, ndio iliotumika hivyo huwezi ishindanisha na note 8 , Nm11imetumika.
Izingatiwe kadri namba ya Nm inavyozid ku ndogo ndipo ukaaji wa chaji na ufanisi wa kubrowse unavyoongezeka.
Oppo inatumia fast chaja ya ten watt ilhali note 8 inatumia 18watt.
Camera ya oppo ni dhaifu sana kwa hio ya note 8 japo zote ni 48mp.
Bei ya simu pia note 8 ni kuanzia laki tatu na hamsini elfu za Kitanzania na hio sijajua bei ila nahisi ni zaidi ya hapo.
Ir blaster ni kitu muhimu pia.
Hakuna cha ziada kinachoishinda note 8 sema mnanunua bidhaa kwa kufuata mkumbo .
Acha ujinga wewe, budget phones za oppo nilikuwa nazo mbili zina Qualcom processors.+1
Xiaomi ndo simu pekee ya bei rahisi ikiwa na Ir blaster, muhimu Sana hiyo kitu.
OPPO ana simu nzuri ila nyingi ghali Na ukiona zabei nafuu jua Zina mediatek
Sent using Jamii Forums mobile app
OPPO simu nzuri sana ,tangu nimeanza kutumia sijawahi jutia bidhaa zao, wapo vizuri sanasamahani wajamen naomben ushauri kidogo Nina Tz sh 600k nahitaji kununua simu ila katika kupita pita nmeona matangazo ya oppo a9 2020 yamenivutia kidogo ..ushaur wenu kwangu hi simu au campun ya oppo n nzuri au niachanenayo. Ina megapixel 48
Asante mwerevu zilikuwa na Ir blaster hizo oppo?, halafu si uzitaje kwa majina au zilikuwa zinaitwa oppo tu?Acha ujinga wewe, budget phones za oppo nilikuwa nazo mbili zina Qualcom processors.
Ni matoleo ya mwanzo, hio IR blaster ndio umeona kitu cha maana cha kutambia humu ndani.Asante mwerevu zilikuwa na Ir blaster hizo oppo?, halafu si uzitaje kwa majina au zilikuwa zinaitwa oppo tu?
Sent from my BKK-AL10 using Tapatalk
Kuna uzi nilisoma uliandika uliwahi kuibiwa simu yako ya oppo..vipi ulifanikiwa kuipata mkuu,na mie nimepoteza yanguAcha ujinga wewe, budget phones za oppo nilikuwa nazo mbili zina Qualcom processors.
Nani anakutambia? Usidhan naipigia debe xiaomi kwa sababu Ninatumia hiyo, nilishaacha kutumia xiaomi, ila bado nazikubali kuwa ni simu timamu kwa bei nzuri, IR blaster Kama ingekuwa kitu cha kupuuza mbona Samsung Huawei na LG huwa wa naiweka exclusive kwa simu zao za bei ghali?Ni matoleo ya mwanzo, hio IR blaster ndio umeona kitu cha maana cha kutambia humu ndani.
Oppo ni mashine
samahani wajamen naomben ushauri kidogo Nina Tz sh 600k nahitaji kununua simu ila katika kupita pita nmeona matangazo ya oppo a9 2020 yamenivutia kidogo ..ushaur wenu kwangu hi simu au campun ya oppo n nzuri au niachanenayo. Ina megapixel 48