Simu yangu ya samsung a 71 naomba msaada

Hizo IC za internet wanazosema inaonyesha hawana uhakika kabisa. Simu ina Modem ambayo ndio inafanya Internet na voice.

Kama simu imekufa Main pcb inatakiwa wakuambie tu kuliko kukuchanganya na maneno ya layman.

Umejaribu simcard za mitandao yote TZ uone kama kuna itakayosoma? Pia jaribu kuweka simcard ambayo haina Pin code.
Mtu anakwambia AC ya internetimekufa, mbona na line hazisomi sasa!!!!

Kkoo bana sometime michosho sana.

Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
 
Hizo IC za internet wanazosema inaonyesha hawana uhakika kabisa. Simu ina Modem ambayo ndio inafanya Internet na voice.

Kama simu imekufa Main pcb inatakiwa wakuambie tu kuliko kukuchanganya na maneno ya layman.

Umejaribu simcard za mitandao yote TZ uone kama kuna itakayosoma? Pia jaribu kuweka simcard ambayo haina Pin code.
Zote nmejaribu imekataa
 
Habari zenu wakuuu, hope ni wazima wa afya !!

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nina Samsung Galaxy A71 ambayo nilinunua mwaka Jana Nilivyojiunga na Chuo Hapa Dar mwezi wa Kumi na moja , nikaitumia Ikaja kudondoka mwez wa kwanza mwaka Huu ikapasuka kioo nkabadilisha Japo ilikuwa ghali Nlijitahidi kwa pesa za boom ,

Sasa kioo kikabadilishwa simu ikawa shwari kabisa Sasa Kama Inavyojulikana A71 ilikuwa na android version 10 U.I 2.5 ikatoka update mpya mwez wa nne nkaamua kuapdate ili nipate Android version 11 U.I 3.1 ambayo imeongezwa Fixtures kibao ,sasa baada ya kuiupdate ikaanza kuzingua line moja ambayo ilikuwa ya Halotel ,by then Ikazingua na

Line ya Pili ya TTCl nayo ikazngua ,ikawa haisomi Line yeyote hile inaandika No network Connection
Nkaamua kupeleka kwa fundi Cha maeneo ya kariakoo ,fundi akaangaika nayoo weee mwisho ikamshinda Hila akaniambia "Itakuwa Imekufa machine Jaribu kwenda samsung house "
Nkaenda Samsung house nkawaachia simu pale wakanipa form ili nkija kesho wanitambue ,sasa kesho nlipoenda wakaniambia simu yako imekufa machine (IC ya internet)inabidi uibadilishe Ambapo ni 600k hila sababu simu ipo kwenye warrant tutakufanyia 300k ulipie kidogokidogo itaagizwa from China ,nkachukua simu nkakimbia Sababu hiyo pesa

Nlikuwa sina Kabisa ,Yeyote mwenye anayejua Namna yakuirekebisha Msaada plz au anayemjua fundi ambaye Ntaweza Pata machine ya Samsung galaxy A71 kwa bei nafuu aniDM
Njia zote za Youtube za kucorrect nimejaribu nimeshindwa na Sitamani kuiuza kwa Bei ya hasara sababu nilinunua Ghali
Mi nnayo A70 ilikufa kioo haziingiliani nikuuzie mashine
 
Machine haziingiliani mkuu.hiyo machine yako wauza bei gani? Na kiio kimekufaje?
Touch haifanyi kazi ila in disply na kuwaka frewsh tatizo touch kuhusu mashine ni maelewano au Kama unakioo cha hiyo used niuzie
 
Ishakufa hiyo..itazidi kumtia hasara tuu. Mimi simu ikipasuka kioo tu huwa sibadilishi nanunua ingine sababu ukipadilisha tu huwa hairudi kuwa kama ilivyokuwa mwanzo...sababu kubwa ni carelessness ya mafundi wengi wa kibongo yaani wanafanya kazi kwa kubahatisha sana.
 
Ishakufa hiyo..itazidi kumtia hasara tuu. Mimi simu ikipasuka kioo tu huwa sibadilishi nanunua ingine sababu ukipadilisha tu huwa hairudi kuwa kama ilivyokuwa mwanzo...sababu kubwa ni carelessness ya mafundi wengi wa kibongo yaani wanafanya kazi kwa kubahatisha sana.
Fundi anashika na mavidole yenye mafuta upande wa ndani wa touch, finally fingerprint zinakuwa zinaonekana kwenye kioo kwa ndani.

Mwingine hii simu ni 1ml,ukikuta ameifungua namna anavyoihandle baada ya kuifungua, ndio utajua hawa jamaa ni wapuuzi kiasi gani.

Nilimpelekea fundi sony xperia abadirishe touch, akanambia ni 80k,akaifumua na kuivua touch, kwenda dukani anakuta spare hakuna na ile aliyoivua kaivunja vunja haiwezekani kuirudisha. Hapa ndipo nilijua kkoo hakuna mafundi kuna wahuni tu na bisi bisi.
 
Fundi anashika na mavidole yenye mafuta upande wa ndani wa touch, finally fingerprint zinakuwa zinaonekana kwenye kioo kwa ndani.

Mwingine hii simu ni 1ml,ukikuta ameifungua namna anavyoihandle baada ya kuifungua, ndio utajua hawa jamaa ni wapuuzi kiasi gani.

Nilimpelekea fundi sony xperia abadirishe touch, akanambia ni 80k,akaifumua na kuivua touch, kwenda dukani anakuta spare hakuna na ile aliyoivua kaivunja vunja haiwezekani kuirudisha. Hapa ndipo nilijua kkoo hakuna mafundi kuna wahuni tu na bisi bisi.
Hahahahaha mimi.yameshanikuta Mkuu, tena kwa Mafundi wanaosifika mjini! wengi wao ni mafundi wa kubadili betri tuu vingine hawawezi kabisaaa yaani wanaharibu zaidi ya kutengeneza, Mimi saivi simu ikizingua wala sihangaiki, huwa nagawa tu kwa ndugu au jamaa akahangaike nayo mbele ya safari.
 
Kwanza pole Sana mkuu simu ya 900k sio mchezo ilipaswa walau ikae 5 years ndio usahau maumivu.

Kwenye hardware bongo hakuna mafundi na nashindwa kuelewa kwanni agents dealer atake Malipo kwenye services ambayo iko kwenye warranty.
Poleni watumiaji wa Samsung maana angekuwa ni mtumiaji ni tecno ungesikia wee itupe tu na takataka hiyo lkn kwa vile ni mkorea wako kimya.
All in all electronical devices sio vitu vya 100% kudu u.
 
Back
Top Bottom