Huwezi kuwa na warranty kama umeigungua hata uende mahakama ya sharia. Hiyo bei waliokutajia utakuta ndio halisi hakuna warranty ya baada ya kutengeneza simu na kuifungua nje ya authorized dealer. Pole sana A71 ndefu.Nilipeleka kwa fundi na wameona hila waliniambia hvyo
Mkuu ikishindikana kabisa kupona niuzie mie nikauzie sura maana simu kubwa hiyo



Issue ni IC ya internet het ,sasa sjui wanaporeplaceMkuu nina uhakika Tatizo lilianzia hapo ilipoanza kufunguliwa hovyo hovyo na mafundi wetu hawa (umeshavoid warranty hapa) halafu zikiwashinda wanakukataa wanakwambia nenda samsung house! Hizi "simu latest" zinapokuwa released kama imezingua sio za kuwapelekea mafundi wetu hawa kabisa kwasababu wengi wao wanakuwa bado hawana uzoefu nazo, wanabahatisha tu kisa zinafanania kimuundo na nyingine walizozizoea. Hata iwe issue ndogo kama hujui au umecheck youtube ukaona iko nje ya uwezo wako kui-fix wewe mwenyewe ni bora upeleke kwa dealer tu. Yani hata iwe ime-encounter issue ya software/driver ukipeleka kariakoo wataifungua tu. Sina uhakika na hili, inawezekana uli-update manually na sio OTA then ika-encounter issue ya baseband/modem ukakutana na issue ya network halafu ukapeleka kwa fundi sijui aifungue kuichokonoa chokonoa na full kuipasha moto kwa sana tu unategemea nini hapo kama sio kuiua mazimaI guess hata ulivyoenda Samsung wakashtuka ndomana wakakupa alternative hiyo ya kuingia gharama tena, otherwise labda na wao ni wapigaji wameona umehangaika nayo sana huna jinsi na ukute ni issue ndogo sana tu wakaona watafute loophole wakupige. Mkuu (Jaribu Ingia samsung mobile download stock firmware ya hiyo model number ya simu yako then uiflash through Odin) huenda ikasaidia kama issue sio hardware, ila kama ni hardware basi mafundi wetu hawa washaiharibu!
Dealer ukimaanisha jina la mtu au Wanaodeal na simu?Mkuu nina uhakika Tatizo lilianzia hapo ilipoanza kufunguliwa hovyo hovyo na mafundi wetu hawa (umeshavoid warranty hapa) halafu zikiwashinda wanakukataa wanakwambia nenda samsung house! Hizi "simu latest" zinapokuwa released kama imezingua sio za kuwapelekea mafundi wetu hawa kabisa kwasababu wengi wao wanakuwa bado hawana uzoefu nazo, wanabahatisha tu kisa zinafanania kimuundo na nyingine walizozizoea. Hata iwe issue ndogo kama hujui au umecheck youtube ukaona iko nje ya uwezo wako kui-fix wewe mwenyewe ni bora upeleke kwa dealer tu. Yani hata iwe ime-encounter issue ya software/driver ukipeleka kariakoo wataifungua tu. Sina uhakika na hili, inawezekana uli-update manually na sio OTA then ika-encounter issue ya baseband/modem ukakutana na issue ya network halafu ukapeleka kwa fundi sijui aifungue kuichokonoa chokonoa na full kuipasha moto kwa sana tu unategemea nini hapo kama sio kuiua mazimaI guess hata ulivyoenda Samsung wakashtuka ndomana wakakupa alternative hiyo ya kuingia gharama tena, otherwise labda na wao ni wapigaji wameona umehangaika nayo sana huna jinsi na ukute ni issue ndogo sana tu wakaona watafute loophole wakupige. Mkuu (Jaribu Ingia samsung mobile download stock firmware ya hiyo model number ya simu yako then uiflash through Odin) huenda ikasaidia kama issue sio hardware, ila kama ni hardware basi mafundi wetu hawa washaiharibu!
Niliupdate update ilivyokuja Yan nlipopewa notification qqMkuu nina uhakika Tatizo lilianzia hapo ilipoanza kufunguliwa hovyo hovyo na mafundi wetu hawa (umeshavoid warranty hapa) halafu zikiwashinda wanakukataa wanakwambia nenda samsung house! Hizi "simu latest" zinapokuwa released kama imezingua sio za kuwapelekea mafundi wetu hawa kabisa kwasababu wengi wao wanakuwa bado hawana uzoefu nazo, wanabahatisha tu kisa zinafanania kimuundo na nyingine walizozizoea. Hata iwe issue ndogo kama hujui au umecheck youtube ukaona iko nje ya uwezo wako kui-fix wewe mwenyewe ni bora upeleke kwa dealer tu. Yani hata iwe ime-encounter issue ya software/driver ukipeleka kariakoo wataifungua tu. Sina uhakika na hili, inawezekana uli-update manually na sio OTA then ika-encounter issue ya baseband/modem ukakutana na issue ya network halafu ukapeleka kwa fundi sijui aifungue kuichokonoa chokonoa na full kuipasha moto kwa sana tu unategemea nini hapo kama sio kuiua mazimaI guess hata ulivyoenda Samsung wakashtuka ndomana wakakupa alternative hiyo ya kuingia gharama tena, otherwise labda na wao ni wapigaji wameona umehangaika nayo sana huna jinsi na ukute ni issue ndogo sana tu wakaona watafute loophole wakupige. Mkuu (Jaribu Ingia samsung mobile download stock firmware ya hiyo model number ya simu yako then uiflash through Odin) huenda ikasaidia kama issue sio hardware, ila kama ni hardware basi mafundi wetu hawa washaiharibu!
Pale samsung wamekaa kupiga Watu YaanHuwezi kuwa na warranty kama umeigungua hata uende mahakama ya sharia. Hiyo bei waliokutajia utakuta ndio halisi hakuna warranty ya baada ya kutengeneza simu na kuifungua nje ya authorized dealer. Pole sana A71 ndefu.
Mimi situmii Samsung kwa sababu chache kama hizi
Dealer namaanisha Samsung uliponunulia au dukani uliponunulia wakakupa warranty ndo watadeal nayo na sio wewe upeleke kwa fundi wako labda kama umenunua kwa mtu.Dealer ukimaanisha jina la mtu au Wanaodeal na simu?
Nami nilitaka nimuambie hivi! Hiyo laki tatu angepigwa!Hio laki 3 wanataka wakupige, hakuna kitu kama hiki eti Sababu simu ipo kwenye warranty ulipe laki 3. Kama Hilo tatizo lipo covered kwenye warranty hutakiwi kulipia hata sh 10, maana ya warranty ni nini? Na wao wameajiriwa kwa kazi gani?
Sijaangalia vizuri mkataba wa warranty ila kwa kutumia tu akili ya kawaida si kosa lako update ama simu yenyewe kupoteza network.
Kioo alikutengenezea nani? Kama sio Samsung wenyewe kufungua simu umeshavunja warranty bila ruhusa yao.
Sema unaweza ukapotezea, jifanye kama hujabadili kioo, tafuta namna waitengeneze bure si kosa lako Hilo.
Angalia kwanza kama baseband inasoma, kama inasoma bonyeza *#0011# harafu chagua sim 1 au 2 kuna page nyingine itafunguka screen shot uweke hapa ili kutambua kama iko poa cert.Inaandika hvyo na hapo Juu inabaki alama ya line kutokusomaView attachment 1799769
Mkuu hiyo simu yako status ni Mipi device fail
Si unasoma chuo wewe?..au Amazon College?Dealer ukimaanisha jina la mtu au Wanaodeal na simu?
Hizo IC za internet wanazosema inaonyesha hawana uhakika kabisa. Simu ina Modem ambayo ndio inafanya Internet na voice.Fundi alifanya hvyo hila bado ,kaniambia IC za internet zmekufa cjui