Vladmir Putini
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 777
- 1,442
Habari wana jf.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
๐ Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu.
๐ Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa isipokuwa tu haisomi earphones na badala yake huwa natumia earpod za ku-connect na bluetooth.
๐ Specification zake ni RAM 4 GB, Internal storage ni 64 GB, main camera ni 50 mega pixel, uwezo wa kukaa na charge ni uhakika mAh 5000, Android version yake ni 13.
๐ Kila kitu nilichonunua nacho kipo ukitaka hadi box lake nakupa
๐ Picha niliyo ambatanisha nayo nime down load tu kwa sababu nimekosa simu ya kuipiga picha hii, lakini mwonekano wake ndiyo huo haina tofauti hata kidogo.
๐ Location : Napatikana nje kidogo ya jiji la Dar maeneo ya Kibamba, but kama ukiitaka na uko mkoani naweza kukutumia kwa uaminifu kabisa ila kwa gharama zako mwenyewe.
๐ Bei ya simu ni chee kabisa,ni laki mbili na nusu (250,000/=) pesa za kitanzania.
๐ Sababu ya kuiuza ni kwamba nataka ninunue version nyingine ya sumsung hizi zimenichosha ๐ ila siyo kwamba simu ina shida yeyote ya kiutendaji
๐ Kwa mawasiliano zaidi nipie au ni sms what'sapp numba hiyo hapo 0766 084 171
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
๐ Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu.
๐ Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa isipokuwa tu haisomi earphones na badala yake huwa natumia earpod za ku-connect na bluetooth.
๐ Specification zake ni RAM 4 GB, Internal storage ni 64 GB, main camera ni 50 mega pixel, uwezo wa kukaa na charge ni uhakika mAh 5000, Android version yake ni 13.
๐ Kila kitu nilichonunua nacho kipo ukitaka hadi box lake nakupa
๐ Picha niliyo ambatanisha nayo nime down load tu kwa sababu nimekosa simu ya kuipiga picha hii, lakini mwonekano wake ndiyo huo haina tofauti hata kidogo.
๐ Location : Napatikana nje kidogo ya jiji la Dar maeneo ya Kibamba, but kama ukiitaka na uko mkoani naweza kukutumia kwa uaminifu kabisa ila kwa gharama zako mwenyewe.
๐ Bei ya simu ni chee kabisa,ni laki mbili na nusu (250,000/=) pesa za kitanzania.
๐ Sababu ya kuiuza ni kwamba nataka ninunue version nyingine ya sumsung hizi zimenichosha ๐ ila siyo kwamba simu ina shida yeyote ya kiutendaji
๐ Kwa mawasiliano zaidi nipie au ni sms what'sapp numba hiyo hapo 0766 084 171