LG AS330 K Series K7 LTE (LG M1) - Frequency Bands and Network Compatibility
Inamaana ndio haiwezi kutumia zaidi ya 2G?
peleka kwa mafundi wanaofanya unlocking, hizo ndio kazi zao.Je inafanyika vipi?
kama hujainunua kuwa makini, au achana nayo kabisa, hilo ni tatizo moja tu pengine ina matatizo mengi. si busara kununua simu za T-mobile, sprint, verizon etcKwa hapo Dar inaweza kufanyika kwa sh. ngapi hivii. Samahani mkuu maana nataka kuinunua sasa nisjenikajiumiza nataka nijumlishe na gharama za ku unlock kabisa
https://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&cad=rja&uact=8&ved=0ahUKEwjHueL8robYAhXEVxQKHaq3BB0QFggkMAA&url=https://support.t-mobile.com/docs/DOC-30613&usg=AOvVaw0WElp1UhU3gC7A416mbbrfLG-AS330
Kumbe hata kununua bado, sasa mbona pale juu umeandika una LG na haipigi mzigo...Kwa hapo Dar inaweza kufanyika kwa sh. ngapi hivii. Samahani mkuu maana nataka kuinunua sasa nisjenikajiumiza nataka nijumlishe na gharama za ku unlock kabisa
Kumbe hata kununua bado, sasa mbona pale juu umeandika una LG na haipigi mzigo...
Ishu ni kuwa version ya simu yako haijaundwa kutumia masafa ya LTE kulingana na masafa yanayoruhusiwa TZ na TCRA...
Hivyo endelea kutumia 2G au 3G, otherwise fanya kutafuta watundu waondoe lock...
Namna ya Kufanya CDMA/LTE kufanya kaziMkuu Watu nane mwenye hii simu imemsumbua kwenye net so ndio ameinipa nihangaike nayo kwenye net ikifaa nimpe laki. Line inasoma kama kawa ila sasa net ndio inaishi 2g. ndio nafanya ustaarabu hapa nione kama italipa