Fundi simu anayeweza kunirekebishia hii simu anicheck

Plaintiff

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
308
203
Simu ni LG G8 thinq

Ipo locked na mtandao wa China Unicom.

Ukiweka line za Bongo inashika tu 4G muda wote(Hivyo huwezi kupiga simu wala kupokea message). Except kwenye airtel ambapo ukiweka itashika 4g kama kawaida ila ukipiga simu itajishisha kuja 3G na ukimaliza itarudi 4G.

Mitandao iliyobaki itastick 4G na ukipiga simu inaweza kugoma au kurudi 3G na utakapomaliza kuongea network itakata na kuanza kutafuta tena 4G.

Ukicommand network ikae 3G au 2G network inapotea mazima.

Kuna mtu ana solution au kuna fundi anaweza kunirekebishia?

Karibuni.
 
Tumia vodacom inakitu inaitwa voice over LTE utaweza piga simu kama kawaida ikiwa 4G.
Anahitaji solution ya kudumu sio hii mkuu je kama hatumii vodacom ina maana akasajili laini ya voda? Labda kama kuna Global ROM yake afanye kuiflash kama mdau alivyomshauri hapo juu...
 
Piga global ROM kama itakubali, nimewai kutana na case sampuli ya hii japo sio exactly kama yako kwenye Sony flani hivi.
Global ROM si mpaka iwepo hiyo ROM na hii ni kwa simu common. Au unachukua ROM compatible yeyote ya LG unaweka. Alafu nipe maelezo kuweka ROM ni kitu nilitaka nijifunze YouTube weekend hii.
 
Global ROM si mpaka iwepo hiyo ROM na hii ni kwa simu common. Au unachukua ROM compatible yeyote ya LG unaweka. Alafu nipe maelezo kuweka ROM ni kitu nilitaka nijifunze YouTube weekend hii.
Unaingia google unaserach mfano, LG G8 stock ROM, hakuna stock ROM ambayo inakuja na network lock, so hapo utai download then ingia youtube, mara nyingi kila phone manufacturer hua ana flash tool yake, baada yapo unafuata maelekezo yao chap umemaliza.
Nimewai kufanya hili kwa Sony na Samsung fulani hivi, na hii Xiaomi ninayotumia sasa.
 
Global ROM si mpaka iwepo hiyo ROM na hii ni kwa simu common. Au unachukua ROM compatible yeyote ya LG unaweka. Alafu nipe maelezo kuweka ROM ni kitu nilitaka nijifunze YouTube weekend hii.
Usije ukachukua ROM yoyote ile hiyo simu utai soft brick, inaweza ikawa haiwaki na haipeleki hata charge, jitahidi unapo download ROM uweke model namba ya simu kabisa make unaweza kuta simu moja ina model tofauti tofauti.
 
Back
Top Bottom