Simu yangu inagoma kudownload video zenye mb kubwa(mp4)

Dogo G

JF-Expert Member
Jul 6, 2018
1,052
440
Husikeni na kichwa hapo juu.sijui tatizo ni nini? Inataka kudownload video za chini ya mb15.

Msaada maana napakua low quality tuu
 
Inaonekana wew ni mpakuaji mzuri wa video za pilau,
Ila jaribisha kudownload kutumia opera mini itasaidia
Huwa naingia google kwa operamin lakin huwa zinagoma.nadawnload audio tuu
 
Clear cache za apps mbalimbali..
Usi clear data kama Kuna password hujazikariri basi itabidi uanze ku login upya na ku recover passwords au data zingine...
 
Clear cache za apps mbalimbali..
Usi clear data kama Kuna password hujazikariri basi itabidi uanze ku login upya na ku recover passwords au data zingine...
Mkuu kwenye simu yangu kuna hii app ya speed booster ambayo huwa inakuwepo humu humu kwenye simu,au nitumie app gani nzuri kwa kuclear?
 
Mkuu kwenye simu yangu kuna hii app ya speed booster ambayo huwa inakuwepo humu humu kwenye simu,au nitumie app gani nzuri kwa kuclear?
Nenda setting then apps then anza ku clear cache hasa upande wa apps zile zinahusiana na video na app unavyotumia ku download videos..
 
Nenda setting then apps then anza ku clear cache hasa upande wa apps zile zinahusiana na video na app unavyotumia ku download videos..
Ok nikiingia kwenye apps then naclick app husika za kudownloadia then kwenye CLEAR CACHE? Sasa mbona kipengele hiki kinagoma ukiclick
 
Ok nikiingia kwenye apps then naclick app husika za kudownloadia then kwenye CLEAR CACHE? Sasa mbona kipengele hiki kinagoma ukiclick
Ndio unaingia kwenye app husika then unasikilizia i load hivi hiyo option ya clear cache itakuwa highlighted then una tap hapo...

Kama inazingua itakuwa Kuna apps uliinstal zikaenda ku tibua default settings so second option hapa itakuwa ni ku restore hiyo simu..

Unachotakiwa hapo ni kunote down apps zako muhimu, credentials za hizo apps kama zinahitaji username na passwords..

Pia google email address ambayo unaitumia humo na password uzikumbuke ili baadae isije kuwa issue tena ya FRP(factory reset password) Ikatokea..

Kisha restore..
 
Ndio unaingia kwenye app husika then unasikilizia i load hivi hiyo option ya clear cache itakuwa highlighted then una tap hapo...

Kama inazingua itakuwa Kuna apps uliinstal zikaenda ku tibua default settings so second option hapa itakuwa ni ku restore hiyo simu..

Unachotakiwa hapo ni kunote down apps zako muhimu, credentials za hizo apps kama zinahitaji username na passwords..

Pia google email address ambayo unaitumia humo na password uzikumbuke ili baadae isije kuwa issue tena ya FRP(factory reset password) Ikatokea..

Kisha restore..
Ok nashukuru kiongozi.ngoja nijaribu
 
Back
Top Bottom