Hizi zinaweza kua kamba tu,ctaki kuamini kua mke wako anaweza kuwa na mchepuko akathubutu kuusave "mmewake" kwa nadharia ya ww kutoshika simu yake,inawezekana basi ww ndo mchepuko na huyo jamaa ndo mme wake,au kuna mtu aliiba simu yake akasave hivyo ili ukiiona amuharibie,bt all in all u ar a man brother thnk twice bfore acting!
Utakuta Huyo mwenye namba ana UKUNI balaa ndo' maana mke kanasa..ukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri
hapo ni sawa kabisa i must quit inakera sara sana kwani hakosi chochote! nafikiri labda sio wife material by nature!Taasisi ya ndoa ni mtihani mkubwa sana. Muite bila woga akupe majibu ya kutosha, otherwise mpeleke kwao kabla hajakuunganisha kwenye grid ya taifa.
Malaya ni malaya tu hata kama akipigwa miti mpaka apoteze fahamu! Nje atagawa kama kawa!
kwani kibamia kina tatizogani miss?
Hata mimi nadhani ni wale wanaopenda matani ya kupitiliza wawapo makzini...
atakuwa tahahira kiasi gani mpaka a save jina la mchepuko njia kuu...
Kuna wengine wanaitumia hilo jina kuwaita mababu zao...
Kabla ya kuchukua uamuzi peleleza...
(ila mi siruhusu hubby amsave mtu yeyote kimahaba na simu napekenyua any time t..)
Kinatekenya
Ha ha ha haa unajiumiza bure. Unadhani akimsave vibaya mfano aamsave jambazi ndoo atamuacha?
Utakuta Huyo mwenye namba ana UKUNI balaa ndo' maana mke kanasa..
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".
Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI
NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?
Hizi zinaweza kua kamba tu,ctaki kuamini kua mke wako anaweza kuwa na mchepuko akathubutu kuusave "mmewake" kwa nadharia ya ww kutoshika simu yake,inawezekana basi ww ndo mchepuko na huyo jamaa ndo mme wake,au kuna mtu aliiba simu yake akasave hivyo ili ukiiona amuharibie,bt all in all u ar a man brother thnk twice bfore acting!