Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hehehehe namchicha.... umenipotezea balaa. Au ushapata kamchepuko huko kwa Putin?Hhahahahaaha babuuu, shimbony!!!
Hehehehe namchicha.... umenipotezea balaa. Au ushapata kamchepuko huko kwa Putin?Hhahahahaaha babuuu, shimbony!!!
Sasa kama ameshakujibu ni classmates wake unataka nini?Ushauri jmn simu ya mume wangu imejaa majina ya kike tu kila ukimuliza anasema ni classmate wake cha kushangaza anaasave jina kamili na anamalizia clasmate wenye uelewa tafadhali tusaidiane.
Hehehehe namchicha.... umenipotezea balaa. Au ushapata kamchepuko huko kwa Putin?
Hewala mama.... tawile!Ttatizo babu umewahi sana kwenda migombani, haina mbaya lakini labda baada ya mwaka mpya Mungu akijaalia uzima, ujumbe utakufikia.
Ukifa wewe mi sifurahi. Watafurahi funza maana wataila papuchi yako kwa meno wallahWacha nife ili ufurahi wallah@Asprin
Kabsaaa popote ulipo bhna kunywa soda nitalipaMume wa mtu unawasiliana na class mates wa kikee ambao mliachana miaka kibao iliyopita... huyo kuna jambo analo.. Chukuaa sajili namba nyinge alafu save hiyo namba Class mate kama alivyosave yeye kwenye simu yake then mtxt kimahabaa uonee atajibu vip...
Siku hizi hunimisi kabisa. Sijui kwanini wallahPole mama
Kugusa simu ya mpenzi mwiko? Huo mwiko mimi kwangu haupo kabisaWewe kwanini ukapekue simu ya mumeo au umeichoka iyo ndoa.Kama umechoka kaa pembeni waje wengine wanaojua ni mwiko kugusa simu ya mpenzi wako.
Hewala mama.... tawile!
Wanawake tuDarasa linaweza kuwa na wanafunzi 70. Tatizo liko wapi?
Tatizo yuko bize na majina ya kike tu. Angeangalia na ya kiume asingeona tatizo. Labda kama anamhisi mmewe ni bwabwaWanawake tu