weken cm mezan
cm apana pass word
ikiita unaweza mwambia honey pokea sm mwambie naoga...................hahhha hahhaha km xmas haijawatokea pemben...wanaume wanawake wa siku iz simu tatu zikiingia basi moja itakuwa ya NYUMBA MBOVU....hatari!!!!
ukijiamini unakuwa huru na cm yako pia itakuwa huruuuuuuuuuuuuu kinyume na hapo ni cm kuwa kipima joto
asanten.nawasilisha.
unikome.....nyayuweeeeeeeeeeeee:target::target:!!!!!!!mmmh!kweli kumekucha bibie.......!!!!
weken cm mezan
cm apana pass word
ikiita unaweza mwambia honey pokea sm mwambie naoga...................hahhha hahhaha km xmas haijawatokea pemben...wanaume wanawake wa siku iz simu tatu zikiingia basi moja itakuwa ya nyumba mbovu....hatari!!!!
ukijiamini unakuwa huru na cm yako pia itakuwa huruuuuuuuuuuuuu kinyume na hapo ni cm kuwa kipima joto
asanten.nawasilisha.
kibweka, c mbaya kama imejirudia, ndo maana somo la histori lipo mpaka leo, otherwise wangelitoa maana ni mambo yalopita kaka/dada. Changia tuu c mbaya lol
unikome.....nyayuweeeeeeeeeeeee:target::target:!!!!!!!
amen amen
lunch vp sasa?
sjakumiss!!!!!!
Kuwa huru kwa kuepuka kuchunguza cm ya mwenzio. KUWA MUME NA MKE au WAPENZI haina maana kuwa MNASHEA KILA KITU. Vingine vitabaki kuwa siri ya kila mmoja...