Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
1. Futa namba za ma-ex wako wote
2. Hata kama umechoka ni marufuku kumnyima mke wako dudu
3. Unatakiwa umsikilize kwanza mke wako kabla ya watu wengine
4. Hata ule chakula nje umeshiba ukifika nyumbani lazima ule
5. Ni bora mama wa mke wako aje kuishi hapo kuliko kumruhusu mama yako aje kukaa hapo
6. Waheshimu marafiki wa kiume wa mke wako ndio mashemeji zako
7. Marufuku kumkatalia mke wako anachotaka pambana utimizie mahitaji yake
8. Mkeo akikukataza kitu hataki watu fulani msikilize ana hoja
9. Mkeo akikupangia namna ya kutumia pesa zenu msikilize
10. Ukirudi home jioni unamkabidhi simu yako mkeo
," Alisikika mdau mmoja wa Twitter akizungumza".
2. Hata kama umechoka ni marufuku kumnyima mke wako dudu
3. Unatakiwa umsikilize kwanza mke wako kabla ya watu wengine
4. Hata ule chakula nje umeshiba ukifika nyumbani lazima ule
5. Ni bora mama wa mke wako aje kuishi hapo kuliko kumruhusu mama yako aje kukaa hapo
6. Waheshimu marafiki wa kiume wa mke wako ndio mashemeji zako
7. Marufuku kumkatalia mke wako anachotaka pambana utimizie mahitaji yake
8. Mkeo akikukataza kitu hataki watu fulani msikilize ana hoja
9. Mkeo akikupangia namna ya kutumia pesa zenu msikilize
10. Ukirudi home jioni unamkabidhi simu yako mkeo
," Alisikika mdau mmoja wa Twitter akizungumza".