Simu ya mchina

Dah... kuna mwenye hiyo dole gumba inayopiga mzigo aniuzie,
Mchicha tupa kuleee

Hiyo dole gumba bado ninayo na inapiga mzigo vizuri tu japo betri imeanza kuzingua. Hii nitaiweka kwenye makumbusho yangu maana ndio simu yangu ya kwanza kuimiliki.
 
Hizi nakumbuka ndo zina tabia hizo

220px-Siemens_A50.jpg


220px-Siemens_C35.jpg

Mkuu umenikumbusha mbali sana,hiyo siemen ndo ilikuwa simu yangu ya kwanza kumiliki
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana,hiyo siemen ndo ilikuwa simu yangu ya kwanza kumiliki

MM nilikua namiliki hicho kitu kwenye red then nikaamia kwenye Hizo nokia mkonga sim zote zilikuwa hazitumii line kama hizi modem za CDMA.

Kipindi hicho mambo ni Mobitel au Tritel aisee
 

Attachments

  • nokia.jpg
    nokia.jpg
    64.9 KB · Views: 40
Hata iPhone inatengenezwa China, tatizo ubora na gharama ambayo upo teyari kulipa. Mara nyingi tatizo la kulipuka ni battery feki hivyo jihadhari wakati unatafuta battery mpya.
 
kama ulijua ni feki na ni yamchina kwa nini uliinunua?
Ni wachache sana ambao tunaweza kujibu swali hilo kwa ufasaha. Atasingizia kipato. Muulize kwenye harusi anachangia kiasi gani kwa mwaka?
 
tunavyo sema za kichina hatumaanishi kila simu zinazo toka china lahasha, tunamaanisha zile ngoma zisizo katika kiwango madhubuti mfano zile za Singsung,Bluetooth,nokai and alike.
 
Wanajanvi kilichonitokea leo sijaamini macho yangu nimeona simu yangu ya kichina ya nokia itoa moshi mfukoni jamaa yangu kaniambia, mwanangu uweweka fegi mfukoni hujanyunda vizuri nikawa nashangaa mfuko unatoa moshi kutoa naona simu imeandika maneno mekundu ya kichina nimeitupa na cjui imelipuka ama vip. HIZI BIDHAA FEK CHANZO CHAKE TANZANIA NI NIN?

Japo ni ajali lakini jinsi ulivyoiripoti nimecheka mpaka nikapaliwa!
 
MM nilikua namiliki hicho kitu kwenye red then nikaamia kwenye Hizo nokia mkonga sim zote zilikuwa hazitumii line kama hizi modem za CDMA.

Kipindi hicho mambo ni Mobitel au Tritel aisee
Kweli tumetoka mbali,wakati huo kumiliki simu haikuwa mchezo
 
Kweli tumetoka mbali,wakati huo kumiliki simu haikuwa mchezo

Sema ilikuwa ni anasa hasa kama ulikuwa unaishi uswazi kila ukipiga au kupigiwa unaongea kwa sauti kuu ili wajue unayo.
Sasa hivi ata vitoto vinamiliki cm za bei mbaya aiseee!!!
 
tunavyo sema za kichina hatumaanishi kila simu zinazo toka china lahasha, tunamaanisha zile ngoma zisizo katika kiwango madhubuti mfano zile za Singsung,Bluetooth,nokai and alike.

Pia kuna nokla, oking, for me, nckia na nyngnezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom