fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 882
Wanajanvi kilichonitokea leo sijaamini macho yangu nimeona simu yangu ya kichina ya nokia itoa moshi mfukoni jamaa yangu kaniambia, mwanangu uweweka fegi mfukoni hujanyunda vizuri nikawa nashangaa mfuko unatoa moshi kutoa naona simu imeandika maneno mekundu ya kichina nimeitupa na cjui imelipuka ama vip. HIZI BIDHAA FEK CHANZO CHAKE TANZANIA NI NIN?