S6 plain 520k 32gbSamsung hipi hyoo
S6edge 620k,s6edge + 720k(32gb),iphone6s 850k 16gb,iphone6s+ 1.050M 16gb
S6 plain 520k 32gbSamsung hipi hyoo
Samahini mkuu,bei niJaman sio hvyoo
Samahini mkuu,bei niHahaha 200000 samsung galaxy core advance
Samahini mkuu,bei niHavielewek kivip
Samahini mkuu,bei niWa hitaji simi gan boss
Samahini mkuu,bei niHuweki bei so ni kama Maonesho vile au Biashara ni mpya unasubiri upate changamoto... au kuulizwa ulizwa bei ndio unapendelea zaidi
Samahini mkuu,bei niHipi kiongoz nikupe bei
Samahini mkuu,bei niLaki moja unaua bend kiongoz 850000 itapendeza
Samahini mkuu,bei niHayaa poa asante kwa ushaur wako
Samahini mkuu,bei niSasa mbona hukuweka bei
Samahini mkuu,bei niWewe niulize hipi unahitaji nikupe bei kuna ya kuanzia 250000 mpaka 900000 kiongoz
Samahini mkuu,bei niweka bei ya kila simu tutathmini
mifukoni mwetu sasa tangazo lako zuri, bidhaa haina bei
Samahini mkuu,bei niNimesha andika tayari
Samahini mkuu,bei nihizo simu kwenye picha ndio pekee ulizo nazo?
Samahini mkuu,bei niSiku ingine ukiwa na bidhaa weka wazi bei hapo hapo banaa
Samahini mkuu,bei niUnazigawa? Anza na mimi... unauzaje bila bei
Semaga na bei sasa
yani unamaanisha kwamba unagawa bureee auBei sawa na bure......nasubir hzo bei
Samahini mkuu,bei niUmeambiwa bei.... ambayo ni sawa na bure. Hii bei sijui ndo nini sasa.
Samahini mkuu,bei niyani unamaanisha kwamba unagawa bureee au