Simu kali zimesimama ile mbayaa bei sawa sawa na buree

Simu kali zimesimama ile mbayaa bei sawa sawa na buree

Samsung galaxy core advance bei 20000
galaxy grand 2 bei 300000
galaxy grand max bei 350000
huawei y6 bei 300000
lg x400 bei 530000
samsung s7 edger bei 850000
iphone 6 plus bei 900000
Unayo A5(2017)?Nipe na bei tafadhal
 
Samsung galaxy core advance bei 20000
galaxy grand 2 bei 300000
galaxy grand max bei 350000
huawei y6 bei 300000
lg x400 bei 530000
samsung s7 edger bei 850000
iphone 6 plus bei 900000
safi mungu akubariki
 
Za bure nini mbona bei hamuna
Nilisahau boss samahani kwa usumbufu
S6 32gb 510k
S6 edge 620k
S6 edge + 700k
All above 32gb

Iphone 6s 820k
Iphones6s+ 1.050M
All 16gb
Free delivery ndani ya tz yote
 
Bei ni kujipimia...nataka hiyo Samsung yenye kioo kilichojikunja..curved...nina 100k..upo wap niijie?
Hiyo ni s6 edge boss,nilisahau kuweka bei yan nimepata shidah kweli samahani pia kwa usumbufu,
Hiyo unayohitaji ni s6 edge 32gb Gold platinum 540k brand new phones na accessories zake.
Free delivery
 
Sasa kuna faida gani utaipata kama bei ni sawa na bure?au umekwepa kulipia ushuru?
Nilijisahau wakati wa uandishi wa advert yangu boss,simu zote zimelipiwa ushuru,
S6 plain 520k 32gb
S6edge 620k,s6edge + 720k(32gb),iphone6s 850k 16gb,iphone6s+ 1.050M 16gb
 
Jamiiforums Kila Siku Watu Wanasisitizwa Kuweka Sifa Za Bidhaa Yako Hapo Hapo Bei Elekezi Ikiwezekana Unaweza Kuweka Bei Kikomo


Sasa Watu Wanauliza Bei Unawapa Number Yako Ya Kazi Gani Sasa Ama Wewe Ni Kitomari?
Yaani Mtu Ahangaike Kukupigia Wakati Japo Rahisi Kwenye Thread Ungetaja Bei
Nilijisahau mkuu wkt wa uandishi wa tangazo langu samahani kwa usumbufu uliojitokeza.
Bei elekezi ni;
S6 plain 520k 32gb
S6edge 620k,s6edge + 720k(32gb),iphone6s 850k 16gb,iphone6s+ 1.050M 16gb
 
kutokutaja bei ni upanya kauzie sebuleni kwako basi.
Lugha yako kali boss,lakini na heshimu hisia zako,nikujisahau tu na ugeni jamvini,hili halitojirudia boss
Bei ni:
S6 plain 520k 32gb
S6edge 620k,s6edge + 720k(32gb),iphone6s 850k 16gb,iphone6s+ 1.050M 16gb
 
Back
Top Bottom