Huweki bei so ni kama Maonesho vile au Biashara ni mpya unasubiri upate changamoto... au kuulizwa ulizwa bei ndio unapendelea zaidiHavielewek kivip
Daaah kitomari tenaaJamiiforums Kila Siku Watu Wanasisitizwa Kuweka Sifa Za Bidhaa Yako Hapo Hapo Bei Elekezi Ikiwezekana Unaweza Kuweka Bei Kikomo
Sasa Watu Wanauliza Bei Unawapa Number Yako Ya Kazi Gani Sasa Ama Wewe Ni Kitomari?
Yaani Mtu Ahangaike Kukupigia Wakati Japo Rahisi Kwenye Thread Ungetaja Bei
Sasa mbona hukuweka beiLaki moja unaua bend kiongoz 850000 itapendeza
weka bei ya kila simu tutathminiWewe niulize hipi unahitaji nikupe bei kuna ya kuanzia 250000 mpaka 900000 kiongoz
Samsung galaxy core advance bei 20000Aina ni samsung galaxy s7 edger,lg x400,samsung galaxy core advance,samsung galaxy grand 2,samsung galaxy grand max na huawei na iphone 6 plus karibuniView attachment 656847View attachment 656848View attachment 656849View attachment 656850View attachment 656851View attachment 656853View attachment 656854View attachment 656855View attachment 656856View attachment 656857View attachment 656858
hizo simu kwenye picha ndio pekee ulizo nazo?Hipi kiongoz nikupe bei
Haha mama la mama unashangaaDaaah kitomari tenaa