Mimi watu siwaelewi kabisa. Wanashabikia Samsung wakati wanaona bei ipo juu. Simu ya tecno ya laki moja ina specs same na Samsung ya laki nne.
Kwa hiyo pesa yako unapata simu nzuri tu za Tecno. Jaribu c5 au J7. Zina spec nzuri. Kama unataka ya bei ndogo, beba Tecno H6. Hii simu nzuri sana, mimi natumia mwaka wa pili sasa.
Simu za Samsung zenye specs kama hizo

zinaanza 300k kwenda juu. Wenda kama unanunua kwa mtu unaweza kupata kwa bei ya chini.
Kama pesa ni ya Tecno, chukua tu. Watu wamezoea kusema ni mchina lakini zipo poa sana. Suggestion; j7, c5. Mimi ndo nilishawahi zitumia, now nipo na H6 pamoja na iPhone 6. Lakini bado H6 naitumia sana.
-callmeGhost