Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,057
- 1,572
Uandishi wako umekutambulisha vyema, nakuomba usiache kutumia TECNOTechno 6 plus "phanthom" ndiyo kila kitu. Iko nzuri kuliko hizo Samsung munazozizifia!!!
Yaani unataka iweka meza moja simu yenye SoC za MediaTek na Jiwe lenye Qualcomm Snapdragon processors?
Mama [HASHTAG]#Kajiandae[/HASHTAG]
zinaanza 300k kwenda juu. Wenda kama unanunua kwa mtu unaweza kupata kwa bei ya chini.