Mimi nilinunua tshs 750,000. Hizi fedha ziliniuma lakini sijutii kwani simu ni nzuri. Ina memory kubwa tu (64gb) na kamera zake zote mbili zinatos clear pictures. Tatizo ninaloona ni kwsmba sijsjua nsmns ys kuhamisha picha ndani ya simu hii kutoka folder moja kwenda jingine. I love my tecno phsnthom 6 plusHATA
me nna mpango wa kuinunua hii ivi bei sasa hivi zipoje, na naomba unipe experience yako since umeanza kuitumia
Hata samsang ya laki Tisa haifui dafu kwa hyo simu yakMimi nilinunua tshs 750,000. Hizi fedha ziliniuma lakini sijutii kwani simu ni nzuri. Ina memory kubwa tu (64gb) na kamera zake zote mbili zinatos clear pictures. Tatizo ninaloona ni kwsmba sijsjua nsmns ys kuhamisha picha ndani ya simu hii kutoka folder moja kwenda jingine. I love my tecno phsnthom 6 plus
Samsang ndio simu gani mkuu?Hata samsang ya laki Tisa haifui dafu kwa hyo simu yak
Acha uwongo boss!!We unaijua note3 wewe?Mnaoponda tecno nawashangaa sana, me sasa hivi natumia tecno J8 baada ya kupoteza Samsung note 3. Lakini tangu nihamie J8 sijawahi kui-miss ile note 3 maana vyote nilivyokuwa napata kwenye note 3 vipo kwenye J8, sometimes watanzania tunajifanya wajuaji matokeo yake tunapoteza pesa nyingi kwenye vitu visivyo na msingi. Mwengine anataka kununua simu ya million 2 lakini hakuna anachofanya katika hiyo simu zaidi ya kuingia fb,JF na instagrama vitu ambayo angeweza kufanya kwa simu ya laki 3. Tuacheni maisha ya maigizo jamani leo umepata pesa itumie vizuri huwezi jua kuhusu kesho
J7 kwa camera iko vizuri sanaSimu ya laki mbili na sabini mpka laki 3 ya tecno hizo Samsung za laki 4 zinaomba pooo... Kikubwa kitakachishinda tecno ni quality ya kamera bas
Ilo si kweli coz simu zote zinakuwa na processors ambazo zinafanana kote sasa ilo la tecno kupunguza nguvu linatoka wapi? Facts ni simple ukiweka application nyingi kwny simu nguvu inapungua ukiformat inakuwa mpya tenaTecno ubaya wake zinakua na specifications nzuri ikiwa mpya ila unapoitumia inapungua performance kila siku kama hujui mchina ni mchina tu
Katika kila type of mashine kuna kitu kinaitwa Depreciation sio tu kwa hard device hata soft onesIlo si kweli coz simu zote zinakuwa na processors ambazo zinafanana kote sasa ilo la tecno kupunguza nguvu linatoka wapi? Facts ni simple ukiweka application nyingi kwny simu nguvu inapungua ukiformat inakuwa mpya tena